DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,016
- 18,687
Hawa itakuwa mitishamba 😀😀
Hawa itakuwa mitishamba 😀😀
Kama zoezi linafanyika kwa community level ukiangalia kwa maeneo tajwa ambayo yangeathirika kulikuwa na utayari upi kwa vyombo husika na jamii kwa ujumla? Hata hapa comments zetu sisi wachangiaji wa mada ni kielelezo halisi cha response yetu sisi jamii kudhihirisha kwamba hatuna preparedness yoyote kukabiliana na janga hilo.Kwanini mkuu
Beach plots leo zinakimbiwa, watu wamejaa mlimani City.Hivi huko TMA mna uhakika kuna meteorologist wazoefu au kuna wanafunzi wa Fied wanjifunza kufanya kazi..
Maana Imekuwa kama Ofisi ya Ramli ya Taifa Sasa!
Zamani tuliiamni sana ila kwa sasa naona imekuwa Too much..
Walivyoona Elnino haitakuwepo tena sasa wameona ni bora waje na Utabiri mwingi ilimradi tu tusiishi kwa Raha tuishi kwa Mashaka mashaka ndo furaha yao..
Sasa leo wanasema kuna Tsunami Dah haaya bhna ..
View attachment 2785593
Haya yamekuja baada ya Biteko kuwekwa kuwa NWM 😀😀(kdn)
Haahhahaha Wameshapindua meza 🤣🤣🤣😅😅😅Hakuna tsunami. Wanasema walilikuwa kwenye majaribio ya utayari na kuona uharaka wa kusambaa kwa taarifa😂🖖🏾
View attachment 2785679
Sasa wao badal ya kuchunguza wanakuja hadharani 🤣🤣Kumbe UNESCO ndiyo waliotabiri tsunami!
Wamebadili Gia angani hao baada ya kuona sio kweliKama zoezi linafanyika kwa community level ukiangalia kwa maeneo tajwa ambayo yangeathirika kulikuwa na utayari upi kwa vyombo husika na jamii kwa ujumla? Hata hapa comments zetu sisi wachangiaji wa mada ni kielelezo halisi cha response yetu sisi jamii kudhihirisha kwamba hatuna preparedness yoyote kukabiliana na janga hilo.
🤣🤣Wataelekeza lawama kwa yule nabii aliyesema Dar itafutika 2024
🤣🤣🤣🤣🤣 Dah kddki wallah 🤣🤣🤣🤣Sijaelewa hiyo tsunami itatokea lini? Kwa sasa ngoja nikale tizi la kuogelea huko mitaa ya youtube.View attachment 2785685
Kula nchi Mkuu hayo ni mazoezi ya utayari tu!
Kwa kweli kwa wanaokula mishahara ya bure na marupurupu ni hawa jamaa wa TMA, kila tukio au taarifa ni fyongo kwa kwenda mbele. Labda tumpe DP WORLD.Hivi huko TMA mna uhakika kuna meteorologist wazoefu au kuna wanafunzi wa Fied wanjifunza kufanya kazi..
Maana Imekuwa kama Ofisi ya Ramli ya Taifa Sasa!
Zamani tuliiamni sana ila kwa sasa naona imekuwa Too much..
Walivyoona Elnino haitakuwepo tena sasa wameona ni bora waje na Utabiri mwingi ilimradi tu tusiishi kwa Raha tuishi kwa Mashaka mashaka ndo furaha yao..
Sasa leo wanasema kuna Tsunami Dah haaya bhna ..
View attachment 2785593
Haya yamekuja baada ya Biteko kuwekwa kuwa NWM 😀😀(kdn)
_______________________
UPDATE...
------------------------------
Nimepata Update ya tovuti Ya Hali ya Hewa Ya Shirika la Kimataifa Na East African Weather forecasting kutoka East Africa Hazards Watch (EAHW)
Inaonyesha hali ya mvua kubwa katika nchi za Somalia,Ethiopia ,Kenya kidogo na Sudan ya kusini na Uganda
Ila hilo swala la volcano wala elnino halipo kwa miezi yote miwili wa kumi na kumi na moja hakuna mvua ya elnino...
View attachment 2785713
Kwahyo tumpe mwarabu 😅😅Kwa kweli kwa wanaokula mishahara ya bure na marupurupu ni hawa jamaa wa TMA, kila tukio au taarifa ni fyongo kwa kwenda mbele. Labda tumpe DP WORLD.
Pamoja na wafanyakazi wake....Kwahyo tumpe mwarabu 😅😅
Uzi wa kwako halafu unaufuatilia kwa wasiwasi. Hata hujui nani kasema au kauliza kipi?!Ni akina nani ambao kila wanalolitabiri hutokea?
Unaepata wasiwasi ni wew Sijawahi kuwa na wasiwasi na wala sina kamusi ya Hofu kichwani mwangu...Uzi wa kwako halafu unaufuatilia kwa wasiwasi. Hata hujui nani kasema au kauliza kipi?!
Mvua ni kubwa kwenye nchi mojawapo inamwagika na upepo mkaliHivi huko TMA mna uhakika kuna meteorologist wazoefu au kuna wanafunzi wa Fied wanjifunza kufanya kazi..
Maana Imekuwa kama Ofisi ya Ramli ya Taifa Sasa!
Zamani tuliiamni sana ila kwa sasa naona imekuwa Too much..
Walivyoona Elnino haitakuwepo tena sasa wameona ni bora waje na Utabiri mwingi ilimradi tu tusiishi kwa Raha tuishi kwa Mashaka mashaka ndo furaha yao.
Sasa leo wanasema kuna Tsunami Dah haaya bhna.
View attachment 2785593
Haya yamekuja baada ya Biteko kuwekwa kuwa NWM (kdn)
_______________________
UPDATE...
------------------------------
Nimepata Update ya tovuti Ya Hali ya Hewa Ya Shirika la Kimataifa Na East African Weather forecasting kutoka East Africa Hazards Watch (EAHW)
Inaonyesha hali ya mvua kubwa katika nchi za Somalia,Ethiopia ,Kenya kidogo na Sudan ya kusini na Uganda
Ila hilo swala la volcano wala elnino halipo kwa miezi yote miwili wa kumi na kumi na moja hakuna mvua ya elnino...
View attachment 2785713