volcano

A volcano is a rupture in the crust of a planetary-mass object, such as Earth, that allows hot lava, volcanic ash, and gases to escape from a magma chamber below the surface.
On Earth, volcanoes are most often found where tectonic plates are diverging or converging, and most are found underwater. For example, a mid-oceanic ridge, such as the Mid-Atlantic Ridge, has volcanoes caused by divergent tectonic plates whereas the Pacific Ring of Fire has volcanoes caused by convergent tectonic plates. Volcanoes can also form where there is stretching and thinning of the crust's plates, such as in the East African Rift and the Wells Gray-Clearwater volcanic field and Rio Grande Rift in North America. Volcanism away from plate boundaries has been postulated to arise from upwelling diapirs from the core–mantle boundary, 3,000 kilometers (1,900 mi) deep in the Earth. This results in hotspot volcanism, of which the Hawaiian hotspot is an example. Volcanoes are usually not created where two tectonic plates slide past one another.

Large eruptions can affect atmospheric temperature as ash and droplets of sulfuric acid obscure the Sun and cool the Earth's troposphere. Historically, large volcanic eruptions have been followed by volcanic winters which have caused catastrophic famines.

View More On Wikipedia.org
  1. Nyendo

    Serikali: Mafuriko ya Katesh ni kuporomoka kwa mchanga wa mabaki ya mlipuko wa volkano uliotokea maelfu ya miaka

    Msemaji wa Serikali amesema Wananchi wa Hanang katika mji mdogo wa Katesh, na vitongoji vyake, mji mdogo wa Kateshi walisikia kelele ambazo walifananisha kama gari moshi likipita kwa kasi katika mlima wa Hanang ambapo katika usiku huo kulikuwa na mvua ya kawaida na si mvua kubwa sana ya kutisha...
  2. Donnie Charlie

    Uganda: Mabasi ya Volcano na Oxgen yagongana na kusababisha vifo vya watu sita

    Watu sita wamefariki papohapo baada ya Basi la Kenya la Kampuni ya Oxygen kugongana na Basi la Rwanda la Kampuni ya Volcano katika Kijiji cha Rwahi kinachounganisha Wilaya za Ntungamo na Rukiga magharibi kwa Uganda,Polisi Uganda wamethibitisha.
  3. BARD AI

    Mlima mkubwa zaidi duniani wa Volcano walipuka huko Hawaii

    Mlima wa volcano mkubwa zaidi duniani, Mauna Loa wa Hawaii, umelipuka kwa mara ya kwanza baada ya takriban miaka 40. Huduma ya Jiolojia ya Marekani (USGS) imeonya hali ya mazingira na hewa inaweza kubadilika haraka kuwa ya hatari kwa haraka sana. =================== Mauna Loa, the largest...
  4. P

    Je, moto wa ajabu ardhini rombo ni dalili za kulipuka volcano iliyolala ya mlima Kilimanjaro?

    Kwa wakaazi wa Wilaya ya Rombo na maeneo mengine yote kuuzunguka mlima Kilimanjaro chochote kinachotokea kuhusiana na Mlima huu ni lazima kiwaguse moja kwa moja kutokana na maisha yao kutegemea miteremko yake kwa maelefu ya miaka iliyopita. Ingawa uwezekano wa Volcano ya mlima huu kulipuka...
  5. Jacobus

    Inakuwaje milipuko ya ardhi ( volcano ) hutokea milimani?

    Wakuu, naomba tukumbushane ni sababu zipi zinazopelekea milipuko mingi kutokea milimani?
  6. jitombashisho

    DRC: Maelfu waukimbia mji wa Goma kukwepa mlipuko wa awamu ya pili wa volcano ya mlima Nyiragongo

    Mamlaka mjini Goma nchini Congo DR zimewataka waakazi wa mji huo kuondoa kwa hofu ya volcano ya mlima Nyiragongo kulipuka kwa mara ya pili. Mji jirani wa Gisenyi,Rubavu Nchi ya Rwanda umeshuhudia mamia ya makumi ya waakazi wa mji wa Goma wakikimbilia hapo kwa minajili hiyo ya kukimbia madhara...
  7. jitombashisho

    DRC: Mlima Nyiragongo wa huko Goma waalipuka Volcano

    Wakazi wengi wa mji wa Goma nchini Congo wanakimbilia nchini Rwanda katika mji wa Gisenyi kujiokoa na mlipuko wa volcano inayolipuka muda huu katika mlima Nyiragongo. Chanzo ni mimi mwenyewe nipo hapa Gisenyi. ===== FACT: More than 3,500 DR Congo nationals have crossed to Rubavu, Rwanda...
Back
Top Bottom