Blackbeard Agenda
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 1,500
- 3,673
Kwaio ulikuwa unataka El Nino itokee kweli, sio??Walituambia elnino itaanza mwishoni mwa september, leo ni mid October
Kwaio ulikuwa unataka El Nino itokee kweli, sio??Walituambia elnino itaanza mwishoni mwa september, leo ni mid October
Sasa tatizo unauliza swali ambalo Tayari mimi nimekuuliza!Ni akina nani ambao kila wanalolitabiri hutokea?
Mbona tangazo la tahadhari halitaji tarehe Inayotegemewa kutokea hiyo tsunami?Hivi huko TMA mna uhakika kuna meteorologist wazoefu au kuna wanafunzi wa Fied wanjifunza kufanya kazi..
Maana Imekuwa kama Ofisi ya Ramli ya Taifa Sasa!
Zamani tuliiamni sana ila kwa sasa naona imekuwa Too much..
Walivyoona Elnino haitakuwepo tena sasa wameona ni bora waje na Utabiri mwingi ilimradi tu tusiishi kwa Raha tuishi kwa Mashaka mashaka ndo furaha yao..
Sasa leo wanasema kuna Tsunami Dah haaya bhna ..
View attachment 2785593
Haya yamekuja baada ya Biteko kuwekwa kuwa NWM 😀😀(kdn)
Kutisha WaTz, kuwafanya waoga ndio aina ya uongozi wetu, na wanaofanya haya huzawadiwa na mama yao.Hivi huko TMA mna uhakika kuna meteorologist wazoefu au kuna wanafunzi wa Fied wanjifunza kufanya kazi..
Maana Imekuwa kama Ofisi ya Ramli ya Taifa Sasa!
Zamani tuliiamni sana ila kwa sasa naona imekuwa Too much..
Walivyoona Elnino haitakuwepo tena sasa wameona ni bora waje na Utabiri mwingi ilimradi tu tusiishi kwa Raha tuishi kwa Mashaka mashaka ndo furaha yao..
Sasa leo wanasema kuna Tsunami Dah haaya bhna ..
View attachment 2785593
Haya yamekuja baada ya Biteko kuwekwa kuwa NWM (kdn)
Hapana sijamaanisha hivyo,itokee ili nifaidike na niniKwaio ulikuwa unataka El Nino itokee kweli, sio??
Mafia Iko Mkoa wa Pwani. Huko kwingine ulikotaa siyo Tanganyika. Ni nchi jirani huko na TMA yao.🤓🤓🤓🤓🤓🤓Mbona sielewi ni vipi mikoa ya pwani ya bara ichukue tahadhari (jambo ambalo ni jema kabisa) ilhali visiwani hasa Zenji, pemba na Mafia ambako ndio kumezungukwa na maji kusiwe na angalizo wakati ni kilomita chache kutoka pwani ya TZ bara, au mie ndio sijaelewa vizuri hii tsunami inakujaje?
Kwenye hili overall score ya TZ itakuwa ni 17%.Hakuna tsunami. Wanasema walilikuwa kwenye majaribio ya utayari na kuona uharaka wa kusambaa kwa taarifa😂🖖🏾
View attachment 2785679
Kwanini mkuuKwenye hili overall score ya TZ itakuwa ni 17%.
Tuone na source zingine zinasemaje
Ziko zaidi ya 80..me pia nimefanikiwa kufanya kazi field ya meterelogy tena TMA headquarter na model zote tunazotumia kufanya forecasting ziko advanced sana.na kila mchana lazima wafanye presentation mbele ya watalaamLakini ziwe angalau ziko from 75-95 accuracy
Wataelekeza lawama kwa yule nabii aliyesema Dar itafutika 2024Hivi huko TMA mna uhakika kuna meteorologist wazoefu au kuna wanafunzi wa Fied wanjifunza kufanya kazi..
Maana Imekuwa kama Ofisi ya Ramli ya Taifa Sasa!
Zamani tuliiamni sana ila kwa sasa naona imekuwa Too much..