Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,959
- 95,282
Awamu ya 5 ilikuwa ni janga la taifaTuanze sasa kunadi ripoti ya CAG wa awamu hii mbele ya wananchi kwa njia ya mikutano ya hadhara Tena tuanzie pale pale Dar es Salaam ndani pale viwanja vya Zakieem, twende viwanja vya Kawe na kwingineko ili wananchi waelezwe "ukweli huu wa wazi" wa CAG machachari wa sasa. Ha ha ha haaaa!