humphrey polepole

Humphrey Polepole is a Young Tanzanian politician presently serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district

View More On Wikipedia.org
  1. Etwege

    JamiiForums Tanzania CCM mtandao waonesha sura zao halisi kwenye ujenzi wa refinery Tanga, Humphrey Polepole alishatuonya

    CCM mtandao waonyesha sura zao halisi kwenye ujenzi wa refinery Tanga. CCM mtandao kwa mara nyingine tena wameonyesha nani hasa ni adui wa maendeleo ya nchi ya Tanzania baada ya kupinga mradi wa billionea Aliko Dangote wa kujenga kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta takribani mapipa 650, 000...
  2. Etwege

    JamiiForums Tanzania Waliomsaliti Humphrey Polepole waanza kuonja joto ya jiwe

    Mara baada ya kutekwa balozi Humphrey Polepole na kuacha damu nyingi sana, mama yake alitembelea nyumba aliyotekwa Polepole na kuahidi kuwa kila aliyeshiriki kwa namna yoyote ile kupanga, kufanikisha na kumteka balozi Polepole lazima atapatwa na jambo kila mmoja kwa wakati wake. MZEE JOSEPH...
  3. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Uwe hai au umeuliwa, Humphrey Polepole umeliponya taifa la Tanganyika

    Ni kweli Humphery sababu ya kisema ukweli tu kuwa Rais Samia anaiba rasilimali za Watanganyika? Kosa lako lilikuwa ni nini? Kuwaeleza ukweli Watanganyika kuwa Samia ni zao la wanaCCM chini ya mstaafu?
  4. Etwege

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Humphrey Polepole waanza kutimia

    Balozi Humphrey Polepole kabla ya kutekwa na kupotezwa alitabiri mambo mengi kwa nchi yetu Tanzania ikiwa itaendelea kuwa chini Rais Samia (2025-2030). Leo nawaletea tabiri mbili tu ambazo nimeona zimeanza kuonekana dhahiri. Rais Samia kutowaheshimu watanzania baada ya uchaguzi mkuu Humphrey...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Kuna Uwezekano mkubwa anayejiita kaka yake Humphrey Polepole akawa na matatizo ya akili na msongo wa mawazo

    Ndugu zangu Watanzania, Kuna uwezekano Mkubwa sana mtu anayejiita Kaka Yake Humphrey polepole Akawa na Matatizo ya akili pamoja na Msongo Wa Mawazo. Ni mtu ambaye ukimsikiliza vizuri na kwa umakini unabaini wazi kabisa ni mtu ambaye hayupo sawa kichwani na pengine ameelemewa na msongo wa mawazo...
  6. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Augustino Polepole: Najua Humphrey Polepole yupo Kigamboni, mumpeleke kwa mama yake, mkimhamisha mtajuta

    Wakuu, Kuna habari gani kuhusu huyo Mafwele, naona mapichapicha tu huko mtandaoni! Kweli jamaa aliingia kwenye kumi na nane za Kanali? Baada ya kaka wa Augustino Polepole kuongea mchana wa leo, amerusha tena video nyingine akisema amepata habari wanataka kumhamisha Polepole kutoka hapo...
  7. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Kaka yake Humphrey Polepole nadhani hayupo Serious ni wa kumpuuza kwa sasa

    Kama angekuwa amemkamata Mafwele sidhani kama mtu serious anamkamata na kumwachiai. Huo ni uongo wa mchana. Mtu ambaye amemteka ndugu yako au kamuua. Unamkata unamwachia? Yaani unaona adhabu yake ni hiyo kama ni kweli? Ni uongo. Aanze kuwa serious. Huyu bwana mdogo anaongea sana vitendo hamna...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Wakili Massawe: Kwani Ali Kibao aliposhushwa, si alishushwa na Polisi, walisema ni Polisi?

    Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Haki za Binadamu (LHRC), Wakili Fulgence Massawe akijibu maswali ya Waandishi wa Habari Februari 10, 2026 wakati akitoa taarifa kuhusu hali ya Haki za Binadamu nchini amesema matukio mengi yanayofanyika kama yale ya Mzee Ali Kibao na Humphrey Polepole, Polisi...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Butiku: Sijui Polepole alipo, ingawa aliniaga

    Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema hajui aliyekiwa Balozi, Humphrey Polepole, alipo hadi sasa ingawa mara kadhaa alikuwa akikutana naye. "Kabla ya kuacha kazi aliniambia, nifanyaje? Nikasema sikiliza ridhaa yako, lakini mara ya mwisho...
  10. Etwege

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole hata wakikuua ulishamaliza wajibu wako kwa taifa, nyeti za CCM mtandao ziko hadharani

    H Polepole alishatusanua, tatizo la nchi hii siyo mabeberu ni ccm mtandao. 1. Ndiyo maana Singa singa wa Iptl alitolewa harakaharaka na kulipwa billioni 349 za kodi za watanzania kinyume kabisa na agizo la bunge. 2. ⁠Ndiyo maana wabunge wote waliokuwa wanahoji kuhusu masilahi ya taifa na...
  11. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa adai Polepole bado yupo hai

    Alichosema mtengeneza maudhui ya kukosoa serikali ya Tanzania ni kuwa Humphrey Polepole amekuwa akihamishwa hamishwa sehemu anazohifadhiwa. Amedai kuwa anapohamishwa huvishwa nguo nyeusi. Amepelekwa Mbweni kisha Kigamboni. Rachel amesema wanajisumbua wanaofanya juhudi ya kufungia account zake...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Mama Polepole: Wamrudishe mwanangu akiwa mzima, lolote litakalotokea na mimi nimezaliwa na Mungu kutoka mbinguni nitajua cha kufanya

    Wakuu Mama yake na aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba (Humphrey Polepole) ameomba arudishiwe mwanawe akiwa mzima na kama lolote baya litamkuta huko alipo basi atajua cha kufanya. Mama Polepole ameeleza kuwa lolote baya likitokea kwa mwanawe huko alipo basi kila aliyemgusa naye atakufa...
  13. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Video: Ndugu wa Humphrey Polepole wakimwombea ndugu yao

    Ndugu wa aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Malawi na Cuba 'aliyetekwa' takribani miezi mitatu iliyopita leo, Jumanne Januari 06.20226 wamefanya maombi kwenye nyumba aliyokuwa akiishi mpendwa wao wakimuomba Mwenyezi Mungu amlinde mpendwa wao huko aliko na arejeshwe akiwa salama...
  14. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Augustino, kaka yake Humphrey Polepole?

    Mara ya mwisho alitoa masaa 24 na tishio kali sana kwa samia na genge lake. Kwa alivokuwa anazungumza inaonekana lilikuwa ni jambo lilio ndani ya uwezo wake kuwadhuru magaidi hawa. Kinachonishangaza ni ukimya wake tangu siku hio, hata attempt yoyote haijaonekana hata kwa hawa askari wadogo...
  15. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Wewe Samia Suluhu Hassan unajua alipo Mteule wako Humphrey Polepole?

    Nakuagiza ututangazie alipo kama tulivyo tangaziwa alivyo teuliwa. Hii ni amri sio ombi.
  16. B

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam Regional Commissioner Albert Chalamila asked about the whereabouts of the abducted ambassador Humphrey Polepole

    Dar es Salaam Regional Commissioner Albert Chalamila asked about the whereabouts of the abducted ambassador Humphrey Polepole The most contentious questions asked by the press to governor of Dar es Salaam county Mr Abert John Chalamila revolved around the intelligence failures leading up to...
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Polepole: Wapo wanaotengeneza orodha ya watakaoshiriki Katika 'Maridhiano' Baada ya Uchaguzi

    "Kuna watu wakiwemo wazee wanatengeneza orodha ya nani na nani watashiriki kwenye maridhiano baada ya hii kitu kinaitwa uchaguzi mkuu mimi naita kiini macho watakao shiriki kwenye maridhiano kutupatanisha, sasa hivi wamekaa kimya kwa sababu wanaulaji, mimi naanza kuwakataa leo mmepoteza uhalali...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kaka yake Polepole, Augustino Polepole ametoa saa 24 kaka yake aachiwe, kinyume na hapo atalipa kisasi

    Kaka yake Humphrey Polepole, anayejitambulisha kama Kanali Augustino Polepole ametoa saa 24 kaka yake aachiwe au apelekwe Segerea kwa Mama yake, vinginevyo Kikwete, Ridhiwani, Samia, IGP na wengine waongeze ulinzi maana atalipa kisasi
  19. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Kaka wa Humphrey Polepole, Kanali Augustino Polepole azungumza mazito zaidi ikiwa leo ni kumbukizi ya mdogo wake

    Baada ya kimya kirefu kidogo, kaka wa balozi Humphrey Polepole, Kanali Augustino Polepole atokea na kuzungumza na umma wa watanzania yasikilize aliyosema leo ikiwa ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya balozi humphrey polepole Habari njema: Tanzania mpya imeshakuja na hakuna wa kuizuia kwa namna...
  20. ChekoFagia

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Humphrey Polepole, Watanzania wanakukumbuka sana

    Happy birthday. Lakini moyoni mwangu bado nakuwaza. Mimi, pamoja na wengi, tunaendelea kutumai kuwa huenda siku moja tungepata majibu, kwa kuwa bado kuna sauti ndani yetu inayosema labda bado upo hai. Hilo ndilo linalouma zaidi. Maumivu yangu huwa makubwa ninapomuona mama yako akiendelea kuomba...
Back
Top Bottom