humphrey polepole

Humphrey Polepole is a Young Tanzanian politician presently serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district

View More On Wikipedia.org
  1. N

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Tupo tayari kumsimamisha Heche pindi atakapopatikana Humphrey Polepole aje kuchukua nafasi yake

    Kazi kwenu kwa mnaotaka Heche awekwe pembeni inabidi apatikane Humphrey Polepole ili aje kuchukua nafasi yake. Ni jukumu lenu sasa kumtafuta Polepole popote alipo hii inaitwa ukisimama mshale ukikimbia mshale. Tume ya jaji Chande iliyochunguza yaliyotokea kabla na baada ya uchaguzi cha ajabu...
  2. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Maali alipo Humphrey Polepole tuhakikishe tunampeka Abdul pia

    Hii ni solution rahisi sana ndugu zangu na itakomesha kabisa matukio hatarishi katika jamii yetu.
  3. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Hatukumlinda Polepole sasa tumlinde Yuda

    Enzi zile Polepole akifanya hikihiki tuliambiwa mengi sana, wengine walisema maigizo,wengine walisema ni shujaa tuliyemsubiri muda mrefu lakini hatukumlinda, kwa kuwa Yuda amekuja kuomba msaada kupata nguvu ya Umma basi tuache maneno tumlinde,asijekupotea kama Polepole ndio tujilaumu hatukumlinda.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Katambi kuhusu Kesi ya kupotea kwa Polepole 'Vyombo vya usalama vinaendelea na upelelezi'

    Akijibu swali la mwandishi kuhusiana na habari za kupotea kwa aliyekuwa Balozi wa Cuba Humphrey Polepole, Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi amesema kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea na upelelezi na uchunguzi wa kina juu ya kesi ya kupotea kwa Humphrey Polepole ili kubaini...
  5. Etwege

    JamiiForums Tanzania Niliyojifunza kutoka kwenye utekwaji wa Humphrey Polepole

    Utekwaji wa balozi Humphrey Polepole na kupotezwa mazima umeacha mafunzo kadhaa kwa nchi yetu. 1. Adui wa maendeleo ya Tanzania siyo mabeberu mbali ni watanzania wenzetu waliojificha kwenye tawi la Chama cha Mapinduzi linaloitwa CCM mtandao. CCM hawana nia ya dhati ya kutatua matatizo ya...
  6. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Bongo Zozo amempost Humphrey Polepole, anadai amemmiss sana rafiki yake

    Leo nimeona Bongo Zozo amepost video ameweka na Caption "Nimemkumbuka sana rafiki yangu jamani 🥲🥲" Imefanya niwaze, ndugu, jamaa na marafiki wa Humphrey Polepole watakuwa wanaumia sana. Tunakoelekea Watanzania wataanza kuikimbia nchi yao wataanza kudhalilika kwenye nchi za watu kama Wanigeria...
  7. W

    JamiiForums Tanzania CCM ilishindwa kumtumia Humphrey Polepole Sasa inatafuta mchawi

    CCM inapaswa kuacha kutafuta visingizio kuhusu kuporomoka kwa mvuto wake kisiasa. Tatizo kubwa haliko kwa wapinzani, bali kwenye maamuzi ambayo chama chenyewe kimekuwa kikiyafanya. Baada ya kifo cha Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, kulikuwa na kundi kubwa la wanachama na wafuasi waliotaka kuona...
  8. Superbug

    JamiiForums Tanzania Maswali kuhusu hatma ya Humphrey Polepole

    1. Je Yuko hai? 2. Kama Yuko hai anafanywaje? Kula na kulala milele au ? 3.Je anayemtunza kama Yuko hai Huwa anaongea nae? 4. Au anampa Chakula na kuondoka? 5. Je kama Yuko hai anawaza nini? Kwamba kuna siku nitaliona jua? 6. Je anayemtunza/mfuga anamwambia maneno gani? 7. Kwamba pengine...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Hivi Polepole anafaa kuchukuliwa kama shujaa kweli ? Haya yaliyomtokea yeye na bosi wake Magufuli si ndo waasisi

    Sifurahii utekaji au mauaji ya wananchi kutokana na misimamo na maoni yao kisiasa au kidini. Hebu watanzania tuwe wakweli na tuachie unafiki swala la utekaji na mauaji ya wanasiasa na wana harakati lilianza wakati gani. Huyu Polepole anayeonekana shujaa kwa kuthubutu kuwananga wezi na mafisadi...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Watanganyika tunamlilia Humphrey Polepole

    Mimi kama mtanganyika nilimkubali sana hamphrey polepole kutokana na elimu aliyokuwa anatupa watanganyika kwenye kipindi chake cha elimu ya uongozi. Toka yaanze maandamano sikuwahi kushiriki lakini kwa kumteka polepole na wengine zaidi ya miamoja kama inavyoonesha taarifa ya TLS iliyosomwa na...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Inatia majonzi, kama Humphrey Polepole hàmja muua mwachieni jamani.

    Msikilize dada wa Polepole
  12. R

    JamiiForums Tanzania Dada yake Polepole aliomba Bunge la Ulaya kutoliadhibu Taifa nzima bali wawekewe vikwazo wanaohusika na ukiukwaji wa haki za binadamu

    Akizungumza mbele ya Tume ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ulaya Juni 22, 2026, Agnes Polepole Lerdorf, ametoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi huru wa kimataifa kuhusu kutoweka kwa kaka yake, Humphrey Polepole, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba anaripotiwa kutekwa mnamo Oktoba 26, 2025...
  13. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Napata utata kuhusu video za Humphrey Polepole

    Kwamba ndugu Polepole alikuwa hajui kama kujirecord vidio kama zile na upo ndani ya nchi ingemletea shida? Kwamba alikuwa na uelewa mdogo kuhusu teknolojia? Inakuwaje unajipiga picha au recording na kusema hapa ni wapi kwa jinsi teknolojia ilivyokuwa Au kipindi anafanya hayo alilewa🙄 Pia...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kupotea kwa Humphrey Polepole kumefanya hata walio CCM wajione wao sio lolote wala chochote. Ni onyo ma kitisho

    Hamjambo! Moja ya athari za kupotea kwa Humphrey Polepole ni kuwadogodesha hata wale waliowahi kufikiri ni wakubwa ndani ya CCM iwe kwa nafasi walizowahi kuzishika au wanazozishika hivi sasa. Ni wanaccm wachache sana waliowahi na watakaowahi kufika level ya kisiasa aliyofika Humphrey Polepole...
  15. Q

    JamiiForums Tanzania Godfrey Polepole: Ndani ya siku 4 nitaweka wazi ufisadi wa ndege ya Rais

    Godfrey Polepole ambaye ni mdogo wa Humphrey Polepole ametishia kuweka wazi ufisadi unaofanywa na ndege za rais Gulf Stream 550 na Gulf Stream 700 kama wasipo muachia Balozi Humphrey Polepole. Yetu masikio.
  16. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Je, Baadhi ya Mambo Aliyoonya Humphrey Polepole Yameanza Kujitokeza?

    Tangu alipoamua kuzungumza wazi kuhusu masuala mbalimbali ya uongozi, siasa na utawala nchini, Humphrey Polepole amekuwa mmoja wa viongozi waliozua mjadala mkubwa katika jamii. Wapo waliomuunga mkono wakisema alikuwa anatoa tahadhari muhimu kwa mustakabali wa taifa, huku wengine wakiona kauli...
  17. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Je, ya Humphrey Polepole ndio ya Paschal Mayalla?

    Wakuu hongereni na poleni sana na harakati za maisha. Mtaji wa kwanza kwa mwanadamu ni Afya tusiache kulingia afya tuliyonayo maana wapo wenzetu humu na wengine ma hospitalini huko wana pambania Afya zao. Turudi kwenye mada tajwa hapo juu leo nikaona sio sawa kupita hivi hivi bila kurejea visa...
  18. Etwege

    JamiiForums Tanzania CCM mtandao waonesha sura zao halisi kwenye ujenzi wa refinery Tanga, Humphrey Polepole alishatuonya

    CCM mtandao waonyesha sura zao halisi kwenye ujenzi wa refinery Tanga. CCM mtandao kwa mara nyingine tena wameonyesha nani hasa ni adui wa maendeleo ya nchi ya Tanzania baada ya kupinga mradi wa billionea Aliko Dangote wa kujenga kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta takribani mapipa 650, 000...
  19. Etwege

    JamiiForums Tanzania Waliomsaliti Humphrey Polepole waanza kuonja joto ya jiwe

    Mara baada ya kutekwa balozi Humphrey Polepole na kuacha damu nyingi sana, mama yake alitembelea nyumba aliyotekwa Polepole na kuahidi kuwa kila aliyeshiriki kwa namna yoyote ile kupanga, kufanikisha na kumteka balozi Polepole lazima atapatwa na jambo kila mmoja kwa wakati wake. MZEE JOSEPH...
  20. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Uwe hai au umeuliwa, Humphrey Polepole umeliponya taifa la Tanganyika

    Ni kweli Humphery sababu ya kisema ukweli tu kuwa Rais Samia anaiba rasilimali za Watanganyika? Kosa lako lilikuwa ni nini? Kuwaeleza ukweli Watanganyika kuwa Samia ni zao la wanaCCM chini ya mstaafu?
Back
Top Bottom