humphrey polepole

Humphrey Polepole is a Young Tanzanian politician presently serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district

View More On Wikipedia.org
  1. Boss la DP World

    JamiiForums Tanzania Lengo la kumteka Humphrey Polepole Lilikuwa ni Kututisha tu Au Kuzuia tusifahamu Uovu wenu?

    Kama lengo lilikuwa kututisha basi lengo hilo limefeli, kwa taarifa yenu ndiyo kwanzaa kumekucha. Kama lengo lilikuwa kuficha uovu wenu, hilo pia limefeli mchana kweupe na mtawajibika kwa kila tendo mlilotenda. Nawahakikishia kuwa HAKUNA atakayesalimika kuanzia aliyewatuma mpaka watekelezaji...
  2. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Ndejembi Kumtembelea Mama yake Humphrey Polepole Jumapili Hii

    Ndejembi hiyo ziara umetumwa au umeipanga kwa utashi wako? Kama hutakwenda na Humphrey Polepole ni bora usiende kabisa. Hatuhitaji drama katika hili.
  3. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali (JasusiTV): Dr Emmanuel Nchimbi Yuko mahututi; Taarifa kamili hii hapa

    https://youtu.be/j3sXSrK1IgY?si=ciaUzrI93iD8PAfG Kwa mujibu wa Evarist Chahali, mfanyakazi wa zamani wa TISS aliyeko uhamishoni Uingereza, kwa taarifa zilizothibitishwa ni kuwa Vice President Dr Emmanuel Nchimbi aliye wekwa kwenye kizuizi cha ndani (House Arrest) Yuko mahututi.. Inasemekana...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole alisisitiza kwamba Samia na Kikwete lazima watashitakiwa na kunyongwa. Unabii utatimia wengi tukiwa hai

    Utawala wa Samia umefanya makosa makubwa ya kimkakati (strategic mistakes) yaliyoweka fursa ya kushitakiwa na kunyongwa. Kosa la kwanza ni "Coup D'etat" mtu yoyote anayejua siasa na sheria anafahamu October 29 Samia na Washirika wake walifanya mapinduzi dhidi ya maamuzi ya kiraia (Katiba...
  5. Etwege

    JamiiForums Tanzania Nimejiridhisha laana ya damu ya Humphrey Polepole na Mdude Nyagali ni kali

    Kwa yanayoukuta utawala wa awamu ya pili wa Rais Samia ni balaa . 1. Rais Samia alijigamba kuifungua nchi lakini amekuja kuifunga kuliko Rais yoyote tangu uhuru. 2. Serikali ya Samia imetengwa kutoka ndani ya nchi hadi nje ya nchi, Rais Samia amepigwa marufuku ziara za Ulaya na America 3...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Barua kwa Emanuel Nchimbi jifunze kwa Humphrey Polepole

    Makamu wa rais aliyelazimika kujiuzulu akadai kajiuliza mwenyewe Emaruel Nchimbi, Japo umeondoka kimya kimya, umeacha kelele kila mahari. Japo, umesema kuwa umeachia ngazi na si kuachiswa madaraka au tuseme kutemeshwa bungo, umeacha kitendawili ambacho anayeweza kukitegua ni wewe ama rais...
  7. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Maneno ya Humphrey Polepole yametimia. CCM mtandao ni watu waovu, mtu mwema yoyote hawezi kufanya nao kazi

    Haya maneno alipoyatamka Humphrey Polepole baadhi ya watu walibeza wakadhania anawasingizia. Ukweli umeeanza kuthibitika na huko mbeleni yataibuka mengi. Watu watafanyiwa mambo maovu sana
  8. Etwege

    JamiiForums Tanzania Ewe mtoto mwenye kiburi, ipo siku utatuonyesha ulikomficha Humphrey Polepole

    Historia ya watoto wa Mobutu Sese Seko, Muammar Gaddafi na Saddam Hussein ina somo moja kubwa: watoto wanaporithi mamlaka ya baba zao bila kuwajibika kwa sheria, huanza kujiona warithi wa taifa badala ya raia wa taifa. Lakini mamlaka ya baba yalipoanguka, kinga yao pia ilianguka. 1. Watoto wa...
  9. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Kampeni ya kumtafuta Humphrey Polepole Nyumba kwa Nyumba

    Kwakuwa serikali dhaifu na haramu ya Samia imeshindwa kumtafuta ndugu yetu Humphrey polepole, tutaanza kampeni nyumba kwa ngumba mpaka tumpate ndugu yetu. Nyumba tunazotilia shaka: Nyumba zote zinahohusianishwa na Daudi Albert Bashite, nyumba zote zinazo husishwa na Abduli, nyumba ya Muliro na...
  10. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania CAF Msije mkaleta AFCON Tanzania ni hatari sana

    Kitendo cha magaidi kuua maelfu ya watu tarehe 29 mwezi October 2025 na hakuna gaidi hata mmoja aliyekamatwa ni chakutisha Nawasihi CAF wafikirie nchi nyingine salama isiyo na ugaidi ili wapeleke michuano hii. Pia magaidi wengine wameweza kumteka kiongozi mkubwa serikalini ambaye alikuwa...
  11. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu Hassan Hili la Humphrey Polepole Halitapita hivihivi

    Haki ya Mungu tena nakwambia hili halitapita hivi hivi. Ni either umtafute na arudi akiwa hai au ulipe gharama ya uhai wake.
  12. N

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Tupo tayari kumsimamisha Heche pindi atakapopatikana Humphrey Polepole aje kuchukua nafasi yake

    Kazi kwenu kwa mnaotaka Heche awekwe pembeni inabidi apatikane Humphrey Polepole ili aje kuchukua nafasi yake. Ni jukumu lenu sasa kumtafuta Polepole popote alipo hii inaitwa ukisimama mshale ukikimbia mshale. Tume ya jaji Chande iliyochunguza yaliyotokea kabla na baada ya uchaguzi cha ajabu...
  13. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Maali alipo Humphrey Polepole tuhakikishe tunampeka Abdul pia

    Hii ni solution rahisi sana ndugu zangu na itakomesha kabisa matukio hatarishi katika jamii yetu.
  14. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Hatukumlinda Polepole sasa tumlinde Yuda

    Enzi zile Polepole akifanya hikihiki tuliambiwa mengi sana, wengine walisema maigizo,wengine walisema ni shujaa tuliyemsubiri muda mrefu lakini hatukumlinda, kwa kuwa Yuda amekuja kuomba msaada kupata nguvu ya Umma basi tuache maneno tumlinde,asijekupotea kama Polepole ndio tujilaumu hatukumlinda.
  15. R

    JamiiForums Tanzania Katambi kuhusu Kesi ya kupotea kwa Polepole 'Vyombo vya usalama vinaendelea na upelelezi'

    Akijibu swali la mwandishi kuhusiana na habari za kupotea kwa aliyekuwa Balozi wa Cuba Humphrey Polepole, Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi amesema kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea na upelelezi na uchunguzi wa kina juu ya kesi ya kupotea kwa Humphrey Polepole ili kubaini...
  16. Etwege

    JamiiForums Tanzania Niliyojifunza kutoka kwenye utekwaji wa Humphrey Polepole

    Utekwaji wa balozi Humphrey Polepole na kupotezwa mazima umeacha mafunzo kadhaa kwa nchi yetu. 1. Adui wa maendeleo ya Tanzania siyo mabeberu mbali ni watanzania wenzetu waliojificha kwenye tawi la Chama cha Mapinduzi linaloitwa CCM mtandao. CCM hawana nia ya dhati ya kutatua matatizo ya...
  17. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Bongo Zozo amempost Humphrey Polepole, anadai amemmiss sana rafiki yake

    Leo nimeona Bongo Zozo amepost video ameweka na Caption "Nimemkumbuka sana rafiki yangu jamani 🥲🥲" Imefanya niwaze, ndugu, jamaa na marafiki wa Humphrey Polepole watakuwa wanaumia sana. Tunakoelekea Watanzania wataanza kuikimbia nchi yao wataanza kudhalilika kwenye nchi za watu kama Wanigeria...
  18. W

    JamiiForums Tanzania CCM ilishindwa kumtumia Humphrey Polepole Sasa inatafuta mchawi

    CCM inapaswa kuacha kutafuta visingizio kuhusu kuporomoka kwa mvuto wake kisiasa. Tatizo kubwa haliko kwa wapinzani, bali kwenye maamuzi ambayo chama chenyewe kimekuwa kikiyafanya. Baada ya kifo cha Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, kulikuwa na kundi kubwa la wanachama na wafuasi waliotaka kuona...
  19. Superbug

    JamiiForums Tanzania Maswali kuhusu hatma ya Humphrey Polepole

    1. Je Yuko hai? 2. Kama Yuko hai anafanywaje? Kula na kulala milele au ? 3.Je anayemtunza kama Yuko hai Huwa anaongea nae? 4. Au anampa Chakula na kuondoka? 5. Je kama Yuko hai anawaza nini? Kwamba kuna siku nitaliona jua? 6. Je anayemtunza/mfuga anamwambia maneno gani? 7. Kwamba pengine...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Hivi Polepole anafaa kuchukuliwa kama shujaa kweli ? Haya yaliyomtokea yeye na bosi wake Magufuli si ndo waasisi

    Sifurahii utekaji au mauaji ya wananchi kutokana na misimamo na maoni yao kisiasa au kidini. Hebu watanzania tuwe wakweli na tuachie unafiki swala la utekaji na mauaji ya wanasiasa na wana harakati lilianza wakati gani. Huyu Polepole anayeonekana shujaa kwa kuthubutu kuwananga wezi na mafisadi...
Back
Top Bottom