Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,915
- 2,430
Ila hawa wa sasa ni urefu wa kwamba zaoJiwe alikuwa mtu wa kupiga michuzi ya watanzania
Ila hawa wa sasa ni urefu wa kwamba zaoJiwe alikuwa mtu wa kupiga michuzi ya watanzania
Aliekuwa anawananga wenzie kuwa walikuwa na serikali za ovyo! Ni ******** au mhe. Samia? Hyo ndo heshima iliyorudishwa serikalin na ********! Mlez wa sabaya amrish puriUnawahusu watawala wa sasa pia. Na kikubwa zaidi unamhusu Magufuli pia.
Ccm wote ni maadui waustawi wa watanzaniaIla hawa wa sasa ni urefu wa kwamba zao
Amrish PuriiAliekuwa anawananga wenzie kuwa walikuwa na serikali za ovyo! Ni ******** au mhe. Samia? Hyo ndo heshima iliyorudishwa serikalin na ********! Mlez wa sabaya amrish puri
Hakuna shida tupo tunajadili ufisadi wa awamu ya 5 hapa chini ya ccm.Ha ha ha haaaa aa! Mchana Mwema. Mkuu.
Watapigwa mawe hadi wafe,.....
Itisheni mikutano ya hadhara muwaeleze wazi wazi wananchi vitu hivi. Mbona mnajifungia kwenye kumbi na magazeti? Mje mbele ya raia muwaeleze haya tote mnayoandika magazeti, na kuyasema kwenye viako vyenu vya ndani, na kumbi mbali mbali wawaelewe vizuri wananchi. Rahisi tu!
Nimecheka Sana .. eti mwendakuzimu...Serikali ya chama cha mapinduzi, ndiyo inayowajibika! Kuanzia Sukuma gang, mwendakuzimu mpaka Mama Jamila mpaka Humphrey Hadi kina Kayanda na wazanzibara wote wanahusika!
Siyo mwenyekiti Tu peke yake!
Awamu chafu kabisa na bado madudu yao kwanza yanaanza kufukuliwa.Watu wanasema kuwa dunia ya leo ogopa sana technology na watawala.
Leo hii tumeanza kugundua na kujuzwa na vyombo vya habari kuwa awamu ya 5 iliongoza kwa ufisadi.
Waliokuwa wanajiita wazalendo kumbe walikuwa ndio wapigaji wakubwa wa mali ya umma.
Source:raia mwema.
View attachment 2187981
Hakika nchi ilikwamaAwamu chafu kabisa na bado madudu yao kwanza yanaanza kufukuliwa.
CAG kicheele na CAG Asad wote wanamchafu jiweMnajitahid sana kumchafua mzeee wa watu
Umesoma ripiti kuchafuliwa na nani?Ni suala la muda tu, huyu naye akiondoka madarakani atachafuliwa na anayekuja.
Basi likipata ajali na dereva akafa. Utingo huwa anashtakiwa au kubeba lawama kwa sababu alikuwa mtumishi wa basi?Msidhanie watu wote ni wajinga. Kuna mabadiliko ya serikali tangu JPM afe?
Hii ni serikali ilele na na wala hakuna uchaguzi mpya uliofanyika.
Ufisadi huu unawahusu hata watawala wa sasa.
View attachment 2187985
wewe lofa mimi naongelea hayo hayo masahihisho, wamenunua pikipiki 268 kwa cash ila wamepokea 68 tu, yaani pikipiki zimekua ndege, unanunua kwa awamu?Typing error, serikali imesahihisha, ni pikipiki 268, nyie ndio mwalimu anawaambia darasani, "sema A" na wewe unamjibu "sema A"
Acha ubwege, unadhani pikipiki mi sawa na sahani ya makande unayonunua kwa mia tano mtaani kwenuwewe lofa mimi naongelea hayo hayo masahihisho, wamenunua pikipiki 268 kwa cash ila wamepokea 68 tu, yaani pikipiki zimekua ndege, unanunua kwa awamu?
"Usahihi ni kuwa pikipiki zilizonunuliwa zilikuwa 268 na pikipiki zilizopokelewa kwa awamu ya kwanza ni 68 ambazo zimesambazwa kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa, tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza"
2020/2021 mzee alikuwa anapigania roho yake, haya madudu ni yakeReport ni ya 2020/2021 kwanini utake Samia aandikwe na sio Magufuli?
Kwani kabla alikuwa ukrane? Mkia na mbwa utawatenganishajeMkuu, tumpe mama muda, Samia kaipokea nchi ikiwa imeharibika kimfumo, utawala wa sheria uliwekwa kampuni, Sasa mama anayafufua mambo yote na kuyaboresha