Unawahusu watawala wa sasa pia. Na kikubwa zaidi unamhusu Magufuli pia.
Aliekuwa anawananga wenzie kuwa walikuwa na serikali za ovyo! Ni ******** au mhe. Samia? Hyo ndo heshima iliyorudishwa serikalin na ********! Mlez wa sabaya amrish puri
 
.....
Itisheni mikutano ya hadhara muwaeleze wazi wazi wananchi vitu hivi. Mbona mnajifungia kwenye kumbi na magazeti? Mje mbele ya raia muwaeleze haya tote mnayoandika magazeti, na kuyasema kwenye viako vyenu vya ndani, na kumbi mbali mbali wawaelewe vizuri wananchi. Rahisi tu!
Watapigwa mawe hadi wafe,
 
Serikali ya chama cha mapinduzi, ndiyo inayowajibika! Kuanzia Sukuma gang, mwendakuzimu mpaka Mama Jamila mpaka Humphrey Hadi kina Kayanda na wazanzibara wote wanahusika!
Siyo mwenyekiti Tu peke yake!
Nimecheka Sana .. eti mwendakuzimu...
 
Watu wanasema kuwa dunia ya leo ogopa sana technology na watawala.

Leo hii tumeanza kugundua na kujuzwa na vyombo vya habari kuwa awamu ya 5 iliongoza kwa ufisadi.

Waliokuwa wanajiita wazalendo kumbe walikuwa ndio wapigaji wakubwa wa mali ya umma.

Source:raia mwema.

View attachment 2187981
Awamu chafu kabisa na bado madudu yao kwanza yanaanza kufukuliwa.
 
Typing error, serikali imesahihisha, ni pikipiki 268, nyie ndio mwalimu anawaambia darasani, "sema A" na wewe unamjibu "sema A"
wewe lofa mimi naongelea hayo hayo masahihisho, wamenunua pikipiki 268 kwa cash ila wamepokea 68 tu, yaani pikipiki zimekua ndege, unanunua kwa awamu?

"Usahihi ni kuwa pikipiki zilizonunuliwa zilikuwa 268 na pikipiki zilizopokelewa kwa awamu ya kwanza ni 68 ambazo zimesambazwa kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa, tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza"
 
wewe lofa mimi naongelea hayo hayo masahihisho, wamenunua pikipiki 268 kwa cash ila wamepokea 68 tu, yaani pikipiki zimekua ndege, unanunua kwa awamu?

"Usahihi ni kuwa pikipiki zilizonunuliwa zilikuwa 268 na pikipiki zilizopokelewa kwa awamu ya kwanza ni 68 ambazo zimesambazwa kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa, tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza"
Acha ubwege, unadhani pikipiki mi sawa na sahani ya makande unayonunua kwa mia tano mtaani kwenu
 
Mkuu, tumpe mama muda, Samia kaipokea nchi ikiwa imeharibika kimfumo, utawala wa sheria uliwekwa kampuni, Sasa mama anayafufua mambo yote na kuyaboresha
Kwani kabla alikuwa ukrane? Mkia na mbwa utawatenganishaje
 
Back
Top Bottom