Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,068
- 11,125
Nikijua tu uzi wako hauwezi kunoga bila kumtaja JPM.
Nadhani Mkuu unaanza kunifumbua macho! Yawezekana wanajua kinachoendelea.Watashambuliwa kwa mawe
Labda raisi bora nyumbani kwako"Msipate taabu uchafu wa Serikaki ya marehemu unapofunuliwa. Aliufunika kwa udikteta, utaendelea kuwekwa wazi, na kuna siku atatangazwa rasmi kama mtawala dhalimu aliyewahi kuongoza nchi kwa ukatili,bila weledi, matumizi mabaya ya fedha za umma, kuwapora watu mali zao, upendeleo, n.k.
Zoeeni kwa haya machache yanavyofunuliwa ili yatakapoanikwa yote msife kihoro, na kujilaumu kwa nini mlimwamini sana mtu ambaye alitenda uovu mwingi"
Bams
Sidhani kama kuna wakati litafika unalolikusudia..
Pia na kama litafika bado tupo tutakaobaki na misimamo yetu
"JPM ni moja kati ya marais bora Africa"
Iko hivo na haiwezi kubadilika daima.
Sukuma gang mnateseka sana na mtaendelea kuteseka sana kwa miaka 10Bado hajasikika kuwa wananchi zaidi ya milioni arobaini!
Ccm hakuna msafiUfisadi awamu ya tano? 80% ya watendaji wa awamu ya sita ni walewale wa awamu ya tano.
Nashauri tuuite Ufisadi wa awamu ya tano na sita
Malizia kabisa kaburiniKkkkenge ww, Wai chatttle kaimarishe lindo
Wamebakia kuwayawaya tuJiwe alikuwa fisadi mkuu, nyie wafuasi wake mmekuwa mazezeta
Hata wewe uliye kuwa unamwimbia pambio,pamoja na mjomba mtuHuyu ndiye alikuwa Katibu Mkuu wizara ya fedha. Aitwe atoe maelezo, kama vipi aelekezwe kisutu Kisha segere matata
Shida Iko hivi Fanya mema buku na kosa Moja laweza futa mema yote buku🤔,Sasa iwe bahati mbaya mema10 na mabaya 1000,lazima utamani ardhi ipasuke uzamemoo🤭Kwa sasa kila awaye na ghadhabu na JPM lolote lile baya akikutana nalo humsingizia Hayati Magufuli.
Tupo wengi wenye chuki/husda/hasira na JPM na hii ni kwa sababu ALITUVUNJIA NYUMBA ZETU,ALITUFUKUZA WAFANYAKAZI TULIOKUWA HATUNA SIFA na ALITUZIBIA MIANYA FULANI; Pengine.
Sasa hofu yangu ni muda wa kuendelea kumsingizia unakaribia kukoma na haupo mbali.
Ripoti ijayo ya CAG kwa mfano sioni ni kwa namna ipi ikija na mapungufu atasingiziwa Hayati!
Upigaji wa 2022 na kuendelea sioni ni kwa namna ipi atasingiziwa Hayati!
Hasara ya ATCL na Mashirika ya Umma ijayo sioni ni kwa namna ipi atasingiziwa Hayati!
Hakika nauona mwisho wa kumsingizia Hayati Magufuli ukija kwa kasi na binafsi nausubiri mwisho huo kwa hamu.
Leta habari ya ubadhilifu ulioonwa na CAG huku kitaa kwa njia ya mikutano ama muadhara ili watu wapunguze stress. Kwa nini hamtaki kuleta habari hizi uraiani ili watu wasahau mnachotaka wasahau kama kipo lakini!? Ha ha ha ha haaaa!!.... miaka 10
Iwe iweje hakuna binadamu anapenda mambo ya kishetani🤭Hata Mimi hili naliwaza sana hili muda unakwenda kasi sana na kichaka cha kufichia udhaifu kinafyekwa.
Mkuu unaonekana una makasiriko sana,Labda raisi bora nyumbani kwako
Haituhusu hiyo ni kazi ya CAG kuanika maovu ya serikali yenu ya kifisadiLeta habari ya ubadhilifu ulioonwa na CAG huku kitaa kwa njia ya mikutano ama muadhara ili watu wapunguze stress. Kwa nini hamtaki kuleta habari hizi uraiani ili watu wasahau mnachotaka wasahau kama kipo lakini!? Ha ha ha ha haaaa!!
Makonda alikuwa na vyeti feki lkn hakutumbuliwaMkuu unaonekana una makasiriko sana,
Vip ukitumbuliwa cheti feki?
Jiwe alikuwa mtu wa kupiga michuzi ya watanzaniaNi suala la muda tu, huyu naye akiondoka madarakani atachafuliwa na anayekuja.
Ha ha ha haaaa aa! Mchana Mwema. Mkuu.Haituhusu hiyo ni kazi ya CAG kuanika maovu ya serikali yenu ya kifisadi
Aliekuwa anawananga wenzie kuwa walikuwa na serikali za ovyo! Ni ******** au mhe. Samia? Hyo ndo heshima iliyorudishwa serikalin na ********! Mlez wa sabaya amrish puriUnawahusu watawala wa sasa pia. Na kikubwa zaidi unamhusu Magufuli pia.