Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 416
- 1,042
Buguruni haitamaniki kipindi hiki. Yaani ninaposema haitamani ni haitamaniki kweli.
Kapicha basiBuguruni haitamaniki kipindi hiki. Yaani ninaposema haitamani ni haitamaniki kweli.
Dar nzima haitamanikiBuguruni haitamaniki kipindi hiki. Yaani ninaposema haitamani ni haitamaniki kweli.
Hata katika hali gan pale sipapendiSijawahi kuitamani Buguruni. Sijui wenzangu
Pole sana MkuuBuguruni haitamaniki kipindi hiki. Yaani ninaposema haitamani ni haitamaniki kweli.
Kuna baadhi ya maeneo hakutamaniki zaidi wengine wana nafuu
Wanachukulia kawaida. Yaani hawataki kuwakubali TMAKuna wale jamaa wabishi sijui bado wanabishana na TMA?
Usafiri leo ni changamoto kwelikweli, hapa ni asubuhi kimbembe jioni ikiwa imeshapiga ya kutoshaMjini umekuwa wa hovyo mpaka sasa kuna kiza.
Kuna wale jamaa wabishi sijui bado wanabishana na TMA?
Wanachukulia kawaida. Yaani hawataki kuwakubali TMA