mwenge hauna maana yeyote ni uharibifu wa hela za walipa kodi tu bure... mbaya zaidi unaabudiwa ni kama ushirikina tu huo. siupendi na wala siutaki mwenge. toka utotoni tunachangishwa sh. 20 za mwenge nilikuwa sipendi
 
mbaya zaidi kila unapolala asubuhi utakuta viokotwa vivelo vya kondomu zilizotumika hapo hapo uwanjani mbele ya mwenge. Kama kuna ubaya wa mwenge basi huu umekithiri
 
Umepita tarime(Nyamongo) Usiku wa kuamkia Jana...disco limepigawa mpaka saa saba za usiku...wakina mama wa halmashari ya tarime na viongozi wengine walikuwapo...wakinywa na kucheza mziki...kwa tathimini ya haraka hawakuwa na waume zao...hapa sasa sijui hata kama walirudi lala tarime mida hiyo au walila pale shuleni.Na vijana wa kazi.

Watoto wadogo maarauf skauti...walikuwepo kulinda mwenge...kwa haraka utaona wanatakiwa kuwa shule wale watoto lakini walikuwa pale mpaka mida hiyo na asubuhi wanao kwenda nao uko sehemu nyingine..

Kusimama kuulinda mwenge ulipo ni hazard(hatari) kwanza moshi wake ni una madhara kiafya..ni moshi kama wa kibatali...tulio kulia vijijini twavijua...mweusi..hawana PPE(Personal Protective equipment) askari hawana rotation masaa manne uko kwenye moshi pale...kama sio kujiua taratibu ni nini...baada ya hapo waenda kufa tu.

Ule mwenge unapigiwa saluiti na watu wenye akili timamu kabisa...ni nini hiki jamani..kama si kuwalazimisha tu.

Zamani ulikuwa unakuja na ujume this time wamesema umekuja na ujumbe wa kupunguza mapigano ya kikabila eneo hili at the same time nimemuona mgombea wa CCM ubunge akiwa ameambatana naoo...Kuna sababu za kisiasa ndani yake.

Mafuta ya taa sijui petrol au disel itumikayo wananchi wanachangia kama kawa...sasa wewe ndio ujifanye kichwa ngumu.
 
Ninawashukuru kwa majibu yenu mpaka sasa!Hili swali nimeamua kuliraise sababu ni jana tuu mimi na watu wengine kwenye Manispaa ya Arusha tulipewa barua za kuchangia hizi gharama na cha ajabu sana tumeandikiwa angalau Laki moja hata mmoja wa clients wangu ambaye ni Mwekezaji alishindwa kuelewa umuhimu wake akabaki ananiuliza nikashindwa cha kumjibu.
Mimi nalonelea ni wakati sasa hili suala la mwenge liishe maana hizo fedha zingetumika hata kwa shughuli zingine za maendeleo maana am very sure kuna ufisadi hapa!
 
Mwenge ni alama ya uhuru wetu.ndio maana kuna mwenge wa hata wa olympic nao ukiwa na maaana yake.lazima kila nchi iwe na alama za matikio muhimu ya nchi hio,
 
Mwenge umebeba ujumbe mkubwa wa utu. Uhuru wa taifa la tanzania ni uhuru wa utu. Uhuru huo ni mahali pasipo na Chuki ila upendo. Uhuru huo ni mahali apsipo na dharau za kifisadi ila kuheshimiana. ni mahali pasipo na Kukata tamaa ila matumaini.

Ni kweli mafisadi wa leo wa mekiuka yote hayo.

But

Moment is coming all this wll come to re_ actuvate through our unconsciuose mind na hapatakalika.

Nguvu ya Utu si mchezo!!!!
 
Mwenge ni alama ya uhuru wetu.ndio maana kuna mwenge wa hata wa olympic nao ukiwa na maaana yake.lazima kila nchi iwe na alama za matikio muhimu ya nchi hio,
Acha kufikiri kizembe kaka...Mwenge has nothing to do with US...haukuwa na maana hapo kabla...na Hadi sasa hauna maana!!! zaid ya wake zetu na watoto kufanyiwa Uhuni..nasi kutozwa pesa ambazo hazina Auditing....
 
Mwenge umebeba ujumbe mkubwa wa utu. Uhuru wa taifa la tanzania ni uhuru wa utu. Uhuru huo ni mahali pasipo na Chuki ila upendo. Uhuru huo ni mahali apsipo na dharau za kifisadi ila kuheshimiana. ni mahali pasipo na Kukata tamaa ila matumaini.

Ni kweli mafisadi wa leo wa mekiuka yote hayo.

But

Moment is coming all this wll come to re_ actuvate through our unconsciuose mind na hapatakalika.

Nguvu ya Utu si mchezo!!!!

Mkuu hudhani kweli mwenge unaongeza maambukizi ya Ukimwi hasa ambapo huwa unalala?Hapo kuna ujumbe wa utu?
 
Mwenge wa uhuru ni dalili ya uzembe! kwani kabla ya kuja wilayani, watendaji wote hupoteza hata zaidi ya mwezi mzima wakiwa katika maandalizi ya mwenge kwa kupita sehemu mbali mbali kuomba michango kwa ajili ya gharama za mwenge. Muda wote huo ungetumika kwa kazi za maana nchi yetu ingepiga hatua kimaendeleo.
La pili ni hili la maambukizi ya gonjwa la Ukimwi, kwani hata hawa wakimbiza mwenge hutayarishiwa "wenza" ili wawapoze kwa safari kila wilaya wanayotembelea!! Na tunajua jinsi siku ya kulala mwenge inavyokuwa hasa, ni ngono na ulevi tu mpaka asubuhi!!
 
Mwenge wa uhuru ni dalili ya uzembe! kwani kabla ya kuja wilayani, watendaji wote hupoteza hata zaidi ya mwezi mzima wakiwa katika maandalizi ya mwenge kwa kupita sehemu mbali mbali kuomba michango kwa ajili ya gharama za mwenge. Muda wote huo ungetumika kwa kazi za maana nchi yetu ingepiga hatua kimaendeleo.
La pili ni hili la maambukizi ya gonjwa la Ukimwi, kwani hata hawa wakimbiza mwenge hutayarishiwa "wenza" ili wawapoze kwa safari kila wilaya wanayotembelea!! Na tunajua jinsi siku ya kulala mwenge inavyokuwa hasa, ni ngono na ulevi tu mpaka asubuhi!!

Mimi what still disturbs me is the amount of money that is wasted on all these things?
It could be invested wisely in other things like building xulz and hospitals!
Why do we have to entertain these?
 
Kevo ... this is budgeted from peoples pockets ... barua zinatembezwa kila ofisi .. kama omba omba .. funny wakipitia wanakuwa wakali as if pesa zenyewe wameweka wao ... we usually tell them mhusika hayupo till they give up ... its true this encourages uzinzi tu ... watu wanalewa mpaka .. they should find an alternative way of celebrating this event .. thats if it really matters to them that much
 
Kevo ... this is budgeted from peoples pockets ... barua zinatembezwa kila ofisi .. kama omba omba .. funny wakipitia wanakuwa wakali as if pesa zenyewe wameweka wao ... we usually tell them mhusika hayupo till they give up ... its true this encourages uzinzi tu ... watu wanalewa mpaka .. they should find an alternative way of celebrating this event .. thats if it really matters to them that much

Believe me I have been there and am there right now!Yaani its phone calls from morning to evening with insults juu yake!
That propelled me to start this thread!Hiyo disturbance is a real headache!
 
Aisee wana JF mnaonaje umuhimu wa kuwepo kwa mwenge wa uhuru?
Je, madhumuni ya kuwepo kwa mwenge yamefikiwa?
Je, kuna haja ya kuendelea kukimbiza mwenge?
Asanteni kwa maoni yenu.
 
Hauna maana, unaongeza ukimwi vijijini kwenye mikesha ya mwenge mahali unapolala na kusumbua wakulima na wanafunzi kuchangia mbio za mwenge. Wenyeviti wa vijiji ni miungu mtu fulani hivi inapofika muda wa kukusanya michango hiyo.
 
SISI TUNATAKA KUWASHA MWENGE ..Mlima Kilimanjaro
Umulike nje ya mipaka yetu...ulete tumaini
pale ambapo hakuna matumani, upendo mahali ambapo pana chuki na heshima ambapo pamejaa dharau


Huo wimbo ulikuwa unaelezea madhumini ya kuwasha na kukimbiza mwenge!
Je kwa miaka yote zaidi ya 40, mwenge umekamilisha nini kati ya hivyo?
 
wos,
Hapa Mwalimu alifikiri nini sijuwi, hebu nifahamisheni!
Hivi mambo hayo yote yasingefikiwa mpaka litafutwe dudana kama hilo watu wanakimbiza kama wehu vile. Kuna nchi zimeasisi malengo na madhumuni kama hayo wameyafikia na wapo mbali bila ya kufanya vitu vya kiwazimu kama hivyo vya kupoteza fedha, nguvu na wakati bure. Kumbe ufisadi na mipango mibovu ina mizizi yake katika serikali ya CCM saivi tunaumizana vichwa tu.
 
labda tuufananishe na mwenge wa olympic - huo angalau unaona unaashiria kuanza kwa michezo ya Olympic.... siyo kama huu...unaokimbizwa nchi nzima watu wakitolewa michango kwa lazima na kuchezewa ngoma usiku kucha utadhani ni mtu...
umekaa kiuchawiuchawi hivi!
 
It must be ulikuwa mradi mahsusi wa kiujanjaujanja wa kunya'nganya wafanyakazi na wakulima masikini vihela vyao vya kazi ngumu.
 
Back
Top Bottom