A6F7D4F BETPAWA

92A387A SPORTY
98B7B6
3842A0
Bigboi umenifanya nisajili line ya Tigo kwa ajili ya Sportybet.
Nimeshatembea na codes zote hizi isipokuwa hizo za betpawa maana nimekuta timu kama 5 zimeshaanza mchezo nikaacha.
Nimeweka 7000 tu kwenye akaunti ya Sportybet, sasa ni kuimega kila ukileta Code hadi iishe au ishinde. Sitaedit chochote yaani ni C&P.

So ukisikia mkeka mmojawapo wa Sportybet umetiki kutoka kwenye codes zako basi nami nimo.
Nasemaje!! Vilio sasa basi.
Kwa wengine ambao mnalalamika kuwa haleti za Betpawa (nami nilikuwa naumia kwa nini Betpawa anatutupa sana) naomba mjikaze,fungua akaunti ya Tigo au Voda,au Airtel ili mu access Sportybet.

Bigboi Mungu akutunze! Kwa shuhuda za humu naamini siwezi chana mikeka mitatu mfululizo. Naanza leo kuhesabu!.
 
Bigboi umenifanya nisajili line ya Tigo kwa ajili ya Sportybet.
Nimeshatembea na codes zote hizi isipokuwa hizo za betpawa maana nimekuta timu kama 5 zimeshaanza mchezo nikaacha.
Nimeweka 7000 tu kwenye akaunti ya Sportybet, sasa ni kuimega kila ukileta Code hadi iishe au ishinde. Sitaedit chochote yaani ni C&P.

So ukisikia mkeka mmojawapo wa Sportybet umetiki kutoka kwenye codes zako basi nami nimo.
Nasemaje!! Vilio sasa basi.
Kwa wengine ambao mnalalamika kuwa haleti za Betpawa (nami nilikuwa naumia kwa nini Betpawa anatutupa sana) naomba mjikaze,fungua akaunti ya Tigo au Voda,au Airtel ili mu access Sportybet.

Bigboi Mungu akutunze! Kwa shuhuda za humu naamini siwezi chana mikeka mitatu mfululizo. Naanza leo kuhesabu!.
 
Tokea kuanzishwa hii michezo inaitwa sijui tatu mzuka, sijui namba ya bahati, mimi kwangu naona kama kuna harufu ya kautapeli ambako hata hakuna mtaji unaoweza kuweka.

Hii michezo bahati nasibu ujui nani kapata wala nini kama ni giza tu.

Nimejaribu kumuuliza mtu kuhusu ili naye kashangaa hata ulaya halipo.

tanzania unaweza kutajirika kwa ujanja kama muwekezaji aliyakataliwa mkataba hata shingimia ajaweka tu ila kataka mabilioni alipwe.
 
Tokea kuanzishwa hii michezo inaitwa sijui tatu mzuka !, sijui namba ya bahati ! mimi kwangu naona kama kuna harufu ya kautapeli ambako hata hakuna mtaji unaoweza kuweka.

Hii michezo bahati nasibu ujui nani kapata wala nini kama ni giza tu !.

Nimejaribu kumuuliza mtu kuhusu ili naye kashangaa hata ulaya halipo.

tanzania unaweza kutajirika kwa ujanja kama muwekezaji aliyakataliwa mkataba hata shingimia ajaweka tu ila kataka mabilioni alipwe.
 
Tokea kuanzishwa hii michezo inaitwa sijui tatu mzuka, sijui namba ya bahati, mimi kwangu naona kama kuna harufu ya kautapeli ambako hata hakuna mtaji unaoweza kuweka.

Hii michezo bahati nasibu ujui nani kapata wala nini kama ni giza tu.

Nimejaribu kumuuliza mtu kuhusu ili naye kashangaa hata ulaya halipo.

tanzania unaweza kutajirika kwa ujanja kama muwekezaji aliyakataliwa mkataba hata shingimia ajaweka tu ila kataka mabilioni alipwe.
Kamari inalifilisi taifa
Kamari inawatia ufukara wananchi
Kamari inaangamiza vipaji na vipawa vingi
Kamari ni janga la taifa.. Lakini kuipiga vita kwakuwa washika dau ndio wafaidikaji wakubwa na badala ya kula siha wanaambulia makombo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom