Dejavu
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 1,568
- 3,424
Aha ha ha! We jamaa bhana. Binafsi nina mkeka mmoja kibindoni wenye risk sana una timu mbili tu za direct win nimeuwekea 50k. Risk yake ni kubwa sana inataka moyo wa chuma na ball of steel. Hatari tupu!Dejavu naomba bet slip yako...
Jana ndio nilikuwa na mkeka wa hela ulikuwa na odds 14 nikauwekea 10k likapita lisaa kabla hata game hazijaanza Mrusi akataka aununue kwa 14k sababu aliona hawezi kuruka, na hatimae ulitick but ndio niliuza kwa elfu 36 nikaacha malaki.
Leo nascratch sana kuweka mkeka timu ninazozijua uwezo wake zipo chache sana kwenye Europa ya Leo.
Ila najikakamua kusuka betslip moja hapa nikimaliza ntakuwekea hapa punde tu tujaribu bahati.
Bet responsibly.