Iishie kukutafutia, wewe tafuna umeze.lipi na uhuni ni upi
NYAMAZA, NYAMAZA NYAMAZA, SIPANGIWI!Nimefanya kazi na watu wengi sana,amini usiamini Rais wangu hakuna binadamu mkamilifu,utateuA na kutengua sana mpaka 2020, nakushauri badili style unayoenda nayo,hutakaa upate mtanzania aliyekamilika anayekwenda na wewe unavyotaka
Kumbuka Kikwete aliwapa semina elekezi,na wewe njoo na aidea tofauti uone kama hawatafanya kazi,tatizo sio wao ni kwamba hawajazoea kufanya unavyotaka
Ikiwa ataamua hivyo nadhani bashite segerea itamwita.Itakuaje kama ;
Magufuli ataamua bunge lipitie mikataba yote ya madini,mafuta na gas na ifanyiwe marekebisho kwa faida za watanzania wote
Magufuli ataamua kila mwanafunz anayejiunga na elimu ya juu na mwenye sifa ya kupata mkopo apate mkopo
Magufuli ataamua kutangaza baraza jipya la mawaziri lenye wapinzani ndani ake
Magufuli ataamua bunge lipitie rasimu ya warioba na ikiwezekana ipitishwe
Magufuli ataamua vyombo vya habari kuwa na uhuru wa kuhoji jambo lolote bila kuvunja sheria zilizowekwa
Magufuli ataamua kuwaomba msamaha jamii zote ambazo pesa zao za rambirambi zilizotumika na serikali
Magufuli ataamua kutoa ajira mpya na kujaza zile ambazo ziliachwa na wenye vyeti feki
Magufuli ataamua kuanza kusimamia moja baada ya lingine yote aliyotoa ahadi kuyafanya kipind cha uchaguzi
Magufuli ataamua mkuu wa mkoa wa dsm kutoa vyeti vyake na hadharani na kukaguliwa na mamlaka husika
Hili sio la rais kuamua bali ndio hali ilivyo sasa, vyombo vya habari viko huru kuhoji jambo lolote!.Itakuaje kama ;
Magufuli ataamua vyombo vya habari kuwa na uhuru wa kuhoji jambo lolote bila kuvunja sheria zilizowekwa
Yote umeona ya huyo jamaa tyu.....Ikiwa ataamua hivyo nadhani bashite segerea itamwita.
Una kielehele sana mkuu alishasema ashauriki bado unajikomba
Swissme
mbona ameshauliwa sasa.Una kielehele sana mkuu alishasema ashauriki bado unajikomba
Swissme