makene makene
Member
- Dec 24, 2016
- 58
- 86
bashite awe katibu mkuu wa chama ccmAu tule rambi rambi
bashite awe katibu mkuu wa chama ccmAu tule rambi rambi
Ka utetezi kadogo sana haka, kujitetea hata kwenye mambo ya duni kiasi hiki nayo huwa ni sehemu ya kushindwa. Ndo maana kuna haja ya watu kufundishwa ujasiriamali. Kupewa ofisi kubwa hivyo na ukawa mweupe unaweza kila siku ukaishia kushindwa, uongozi unakwenda sambamba na creativity mkuu vinginevyo hata ofisini kwako utafika sehemu utakalia jamvi kwasababu huwezi kuwaza mbaliKama hakuna hela za kulipia hiyo website(host) afisa habari awe analipia?
Ka utetezi kadogo sana haka, kujitetea hata kwenye mambo ya duni kiasi hiki nayo huwa ni sehemu ya kushindwa. Ndo maana kuna haja ya watu kufundishwa ujasiriamali. Kupewa ofisi kubwa hivyo na ukawa mweupe unaweza kila siku ukaishia kushindwa, uongozi unakwenda sambamba na creativity mkuu vinginevyo hata ofisini kwako utafika sehemu utakalia jamvi kwasababu huwezi kuwaza mbali
Thread yote Rubbish..
Rais ana mipango mingi na Nchi hii mlikutana wapi akakwambia??
Mbona unajipendekeza namna hiyo..??
Au ndio walewale.
Ongea kiume acha kulamba lamba watu miguu.
Leo hii wakati unasisitiza uwajibikaji na watumishi kujituma, kuzingatia semina ambazo zimetolewa hivi majuzi kwa maafisa habari kila mkoa juu ya kuweka habari zao na mipango yao wazi, bado hawaonekani kwendana na kasi yako. Hazionekani si habari za biashara tu bali hata za uchumi, idadi za watu, miradi, fursa za uwekezaji zilizo tayari na vitu vya namna hiyo. Hakuna hata kimoja. Waliojaribu utakuta habari iko robo na zingine zina miezi ya kutosha kila ukiingia unaambiwa taarifa zinaandaliwa. Yaani mtu anahitaji data leo ili alete miradi yake anataka kujua baadhi ya vitu kwenye hilo eneo ama mkoa bado tovuti inaendelea kusomeka loading... Miezi mitatu yote inaload nini?
Sii imla mkuu Ujumbe umefikaUkiandika katika utaratibu unaotakiwa ingependeza zaidi.
Mfano, ukiacha kuweka herufi kubwa mwanzo wa maneno yaliyo katikati ya sentensi ambayo sio nomino
Kuandika maneno ya kiswahili kwa ufasaha, mfano "Iyunda sio sahihi bali ni iunda"
Pia kutumia punctuation marks kama nukta na mikato.