Ndugu watanzania wenzangu, leo ni siku tulipotangaziwa kuzimika kwa nuru ya ukombozi wa watanzania.
Tuunganane pamoja kuomba Mungu awaibue akina Hayati Magufuli wengi maelfu kwa mamilioni hasa tunapoelekea kufanya chaguzi za serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.
Kila mtanzania kwa sasa ameshaona mateso makali wanayoyapata wananchi kutokana tu na ulegevu, ubinafsi na uzembe wa viongozi wetu.
Mungu atuongoze katika hilo.
Tuunganane pamoja kuomba Mungu awaibue akina Hayati Magufuli wengi maelfu kwa mamilioni hasa tunapoelekea kufanya chaguzi za serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.
Kila mtanzania kwa sasa ameshaona mateso makali wanayoyapata wananchi kutokana tu na ulegevu, ubinafsi na uzembe wa viongozi wetu.
Mungu atuongoze katika hilo.