hayati dkt. magufuli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Zawadi B Lupelo

    Ni sikio la kufa? Mama anaitupa kadi yake muhimu ya kukubalika kwake

    Salamu mbele! Walio wengi huku mtaani wanaona hafai kuvaa si tu viatu bali hata soksi za mwendazake, sifa pekee inayomtofautisha na mtangulizi wake ni hii Sifa ya demokrasia na utawala bora. Hivi karibuni ameonekana anaitupa hata hii karata muhimu inayomtofautisha na mtangulizi wake ambayo...
  2. Mmawia

    Kumbukizi: Kipanya aibuka na Hayati Dkt. Magufuli

    Mwana katuni maarufu nchini leo tena ameamua kutuwacha kwenye mataa. Ametupia picha ambayo binafsi nimeshindwa kuisoma na kulazimika kwaomba wataalam wa kusoma picha. Naombeni tusaideni sisi tusiyo na utaalam husika.
  3. voicer

    Wosia wa Hayati Magufuli ”Mtanikumbuka” Unatimia

    "Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini" ~ Hayati. John Magufuli (RIP). Ingawa najua kuna lile kundi lililojaa sumu, kwa machungu ya kukaa vijiweni baada ya kukumbwa na "Panga" la JPM kwenye...
  4. JackisonDubai

    Picha ya Membe na Magufuli imenitoa machozi

    Wakati wa mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM mwaka 2015 marehemu Magufuli na Membe walipiga picha ambayo baada ya kuiangalia leo imenitoa machozi na kunikumbusha maisha ya mwanadamu si chochote kabisa. Leo ndiyo mazishi ya Bernard Membe kule kijijini kwake Rondo.
  5. T

    TRC kusitisha safari mikoa 6 sababu ya mvua ni ushirikiano na wamiliki wa mabasi. Mvua hazikuwepo kipindi cha Hayati Magufuli?

    Kuna tangazo la kusitishwa kwa safari za train ya abiria safari za Dar - Kigoma kupitia mikoa kadha ya kuelekea bara. Sababu wanazotoa ni miundo mbinu kuharibiwa na mvua. Swali la kujiuliza ni mvua gani zilizonyesha kuzidi awamu ya miaka 6 ya Magufuli? Mbona hatukuona usimamishaji wa safari...
  6. Y

    Kitu gani alitumia Hayati Magufuli kuzima maandamano ya UKUTA mwaka 2015 tena kwa tamko tu bila hata bunduki kulipuliwa?

    Salute wakuu, mie mpaka leo ninakuna kichwa, ni kitu gani JPM alitumia kuzima maandamano yaliyokuwa yameitishwa na CHADEMA baada ya uchaguzi wa 2015 maarufu kwa jina la UKUTA?, kipindi kile JPM ndio tu alikuwa ameapishwa, hata baraza la Mawaziri alikuwa bado hajateua. Je ni nguvu gani ya kiupako...
  7. je parle

    Siku ambayo Hayati Magufuli alimshangaa Mufti Aboubakar Zuberi

    Leo katika historia. Moja katika masiku katika historia ya rais aliefanya makubwa sana hapa nchini Tanzania. Rais aliekuwa wa wanyonge haswa japo Kuna watu bado wanaandama kivuli chake kwa kuwa hayupo nasi Wakati akiwa hai waliufyata mkia kama sungura. Tukubali katika hii Dunia huwezi...
  8. Sir robby

    Hayati Magufuli na Job Ndugai walivunja Katiba kuwaruhusu Wabunge 19 wasio na chama kuendelea kuwa Bungeni, mahakama inatupiwa zigo

    Wadau ni ukweli usiopingika kwani katiba iliyopo ipo wazi juu ya mbunge kupotexa ubunge wake na moja ya sababu ni kufukuzwa ktk chama chake. Suala la kuutetea uanachama wake ni jukumu lake lakini anautetea uanachama wake akiwa tayari kaondolewa bungeni. Kitendo cha Hayati Magufuli na Spika...
  9. USSR

    Kwa akili za Kiafrika Demokrasia bado sana. Hayati Magufuli alikuwa sahihi; kujituma ndilo suluhisho

    Tangu wamepewa mamlaka ya mikutano umeona nini cha wananchi kujivunia. waafrika tunamezeshwa mambo ya ajabu sana na wazungu nasi tunayachukua mazima mazima Democracy was just a little chunt system of exploitation. Maisha ya Mwafrika yameharibiwa na mzungu kwa kiasi kikubwa sana. Waafrica ndio...
  10. H

    Rais Samia siyo wote walioachishwa kazi kipindi cha Magufuli walighushi vyeti, wasaidie

    Habari Rais Samia, Nianze kwa kukupongeza kwa uamuzi wako wa kuwalioa waliofukuzwa kazi kwa kughushi vyeti, ila napenda utambue kuna wengine hawaghushi vyeti bali waliachichwa kazi kwa sababu tofauti kabisa na hiyo. Mimi nitazungumzia wale walioachishwa kazi kwakuwa tu walibadili kada zao...
  11. ChoiceVariable

    Hivi ndivyo Hayati Magufuli aliharibu Uchumi wa Tanzania. Takwimu huwa hazidanganyi

    Habari zenu wanabodi.. Ushahidi wa Takwimu umebainisha jinsi Serikali ya Magufuli iliharibu Uchumi wa Tanzania Kwa kiwango Kikubwa. Kwa mujibu wa jarida la Tanzania Business Insight likinukuu taarifa za Benki Kuu na Ofisi ya Taifa ya Takwimu limefanya ulinganisho wa ukuaji wa Uchumi Kwa awamu...
  12. J

    Kwenye Ufisadi Magufuli hakutaka ujinga, hata ndugu zake walizitapika hela za Escrow. Mkwe wa Lowassa na yule Miss akawatupa jela!

    Kwenye ufisadi yule Mwamba alikuwa hatakagi ujinga kabisa na hili hata CHADEMA wanalielewa vizuri. Escrow hakuna aliyeambiwa arudishe hela kama kwenye EPA lakini mafisadi wa kanda ya ziwa walipanga foleni BoT kuzirejesha wakiongozwa na Ngeleja na Tibaijuka wote kutoka kanda pendwa. Mwamba...
  13. USSR

    Zitto amsifia Hayati Magufuli kuleta nidhamu ya kazi kwa kipindi chake

    Mwangalie alivyomsifia kinafiki baada ya kubanwa maswali na wanahabari. Amekubali kuwa watanzania walitaka Rais dikteta tangu awali kutokana na ufisadi na uzembe kazini ila kwa unyonge sana. Zitto anaumia sana kuona watu hata hao wanahabari bado wanamuona Magufuli kama shujaa anakosa amani...
  14. Y

    Wapinzani ni lazima wamtukane Hayati Magufuli kwani aliyowafanyia yanaumiza mioyo yao

    Salute, vyama vya upinzani viwili vikubwa Tanzania,badara ya kueleza namna nzuri ambayo watatumia kuondoa kero za wananchi na kuwapunguzia mzigo wa maisha magumu, badara yake vimejikita kumshambulia mtu ambae hayupo madarakani wala duniani. Matusi ambayo sina uhakika kama wanahitaji kuyasikia...
  15. H

    Kuna agenda gani ya Upinzani kumshambulia Hayati Magufuli?

    Habari wakuu, Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona. Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli? Kuna nini nyuma...
  16. K

    Lissu na wasaliti wenzake walikuwa wanakata mkono unaowalisha? Wapoteza mvuto baada ya Magufuli kuondoka

    Tundu Lissu anajua kutoka moyoni kwa uhakika kabisa kwamba Magufuli hakuhusika na shambulio lake lkn kwa kuahidiwa hela akakubali kulichafua Jina la Magufuli kwa kumsakizia mambo ya uongo akamdhalilisha mpaka amelala umauti hakuwahi kumuomba msamaha. Lakini cha kushangaza sana Sana kwa utu...
  17. F

    Bora Hayati Dkt. Magufuli, haya yamerudi tena!

    Magazeti dada mawili ya The Citizen na Mwananchi yameripoti ukwepaji kodi wa kupindukia (Tzs.3.3 tr) huku tukikuza deni la taifa kwa kukopa hadi Mhimili wa Bunge unastuka. Magazeti haya yamejizolea sifa lukuki kwa uandishi wenye weledi. Kauli ya Rais ni Sheria Kaulimbiu ya kila mtu ale kwa...
  18. J

    Sikubaliani na Tundu Lissu kwa sababu Mbowe ni maarufu kuliko CHADEMA. Hata Magufuli na Maalim Seif walivizidi vyama vyao!

    Nakubaliana na Tundu Lissu kwamba yeye ndio mdogo kuliko Chadema na wanategemeana. Ila siyo kweli kwamba mtu hawezi kuwa maarufu kuliko Taasisi. Mifano ni mingi tu wapo akina Nyerere na Magufuli kule CCM. Maalim Seif kule ACT Wazalendo. Chama pale Simba SC. Mbowe hapo Chadema nk.
  19. Kaka yake shetani

    Biashara ya usafirishaji wa anga ni biashara kichaa, sijui nani alimshauri Hayati Magufuli

    Hii biashara ya usafirishaji wa ndege ni ngumu sana ndio usishangae taifa kubwa kama USA kupitia serikali yake kutojiusisha na biashara hii. Pesa tulizopoteza kununua madege kwa nchi changa kama hii zingeweza kuboresha viwanja vya ndege kwenye mikoa iliyo na kuitaji huduma na kuita wawekazaji...
  20. Chizi Maarifa

    Nape Nnauye aliwageuka wenzake akaenda kuwachoma kwa Hayati Magufuli

    Ila hii Dunia acheni tu. Huyu Nape sijui anapokutana na Bernard Membe, Makamba, Kinana et al anawasalimiaje. Katika Dunia epuka sana kuwa na ukaribu na mtu anayeweka pozi hii ya mikono anapokuwa na Boss wake/wenu. Baba yako, Mkubwa wenu au mtu flani mwenye uwezo. Anayeweka hivi mikono muogope...
Back
Top Bottom