Mkuu upoo aiseeHuyu bi mdashi kakomaaa kisiasa zaid ya mamvi
Haha haha"musinipangie, mimi sipangiwi"
Tuache hizi longolongo za uzalendo sasa,zimepitwa na wakati.Mara wapiga dili sijui mafisadi na wala rushwa mambo ya kizamani hayo. Mhenga mkuu aliyezifanya mbingu na nchi alishasema ni halali kwa mlawi kula vya madhabahuni.
Unategemea nini kuniweka juu ya hazina yako wakati nina kiu na njaa balaa!naanzaje mimi kutunza hiyo hazina bila kuitiatia mkono?
Njaa siyo mchezo,Mfalme Daudi alikula mikate ya wonyesho akijua si halali kwake, Hivi vijichenji mnavyo walipa watumishi wenu havikidhi njaa zao mjue.Lipeni mishahara ya maana muone watu wanavyopiga kazi.Kazi na njaa ni kama mbingu na ardhi bana.
Hebu jaribuni hilo mjionee maajabu.
Post sent using JamiiForums mobile app
Kwani hizo wanazojilipa wao zinatoka wapi?tugawane hizo hizo sawa bin sawia,sote tule na tunywe.Ni kama Yai na Kuku kipi kilianza, sasa hela za kuwalipa Wafanyakazi vizuri zitatoka wapi kama hawafanyi kazi kwa bidii?
Kwani hizo wanazojilipa wao zinatoka wapi?tugawane hizo hizo sawa bin sawia,sote tule na tunywe.
Post sent using JamiiForums mobile app