Hii imekaa kama blackmailing ya aina fulani. Huyo mrithi wake Rais Samia alimfunga bosi wa TRA kuanzia anaingia ikulu mpaka mwaka 2020 ndio akawaachia. Hivyo suala la Mbowe lisitumike kama njia ya kujengea hoja, sheria ifuate mkondo wake.Mama Samia,
1. Unajua kuwa una maadui wa ile timu aliyoiacha "mwenzio"?
2. Unajua hao ndugu wa mwezio hawajaridhika Bado wewe kuwepo hapo?
3. Unajua kuwa kuna hujuma dhidi yako? Unahujumiwa nawe umejisahau.
Sasa mama umepigwa hujuma nzito, huku mtaani haunogi, wasikupambe hao wanaokubebea miavuli, wanakudanganya kulinda ugali wao. Watu wana chuki na wewe.
Fanya hivi.
(a) Mtoe FREEMAN MBOWE gerezani kupitia DPP, hapo umehujumiwa na hujashtuka(umepigwa kanyanga na wazandiki, mmoja huyo mvaa gwanda la policcm).
Ukitaka uupige mwingi, Mtoe mwenyekiti wa chama Chao hao CHADEMA na weka maridhiano nao, naapa utakuwa umeupiga mwingi.
(b) Kuna wajinga wanakuhujumu kwenye upandaji wa bidhaa, kaa chini, utafakari, una vyanzo vingi vya kupata taarifa, ila kwa hapa umepigwa.
Kidumu chama chenu Cha Mapinduzi!!!!!!!!
Acha hizo, kesi za masheikh wa uamsho zilikuwa mahakamani mbona mlishangilia na kusema mama Samia kawatoa, ana huruma. Iweje kesi ya mbowe ndio mseme eti tuiachie mahakamaKesi iko mahakamani Kama nyinginezo.......
Rais hayuko mahakamani......
Huku mitaani mzunguko wa pesa umeanza kuonekana na mh.Samia ananoga haswa......
#Siempre JMT
Kwani anavyowaacha huru wafungwa katika sikukuu kwa kitaifa huwa ni lazima afanye hivyo?!!Acha hizo, kesi za masheikh wa uamsho zilikuwa mahakamani mbona mlishangilia na kusema mama Samia kawatoa, ana huruma. Iweje kesi ya mbowe ndio mseme eti tuiachie mahakama
😁😁😁Kumbe watu mitaani hawampendi Rais kwa sababu Mbowe kawekwa ndani!
Kilio kilio. Tumalize mwaka salama. Wanafamilinwengine watakula Christmas na mwaka mpya bila wenzao. Lakini Mungu yukoSauti inatosha bila shaka.
Leo ndiyo kalikoroga zaidi ni heri angekaa kimya kama hajamsikia zitto. Ugaidi na heshima wapi na wapi?Kwa mujibu wa Jarida la Sauti Kubwa rais ameambiwa na mkwe Mchengerwa na Zerro kuwa kuna watu wanamdharau hasa Mbowe
Bila kujiridhisha ana react kwa hasira
Mpuuzi wewe,Sauti inatosha bila shaka.
Na mie nimeanza kuogopaKilio kilio. Tumalize mwaka salama. Wanafamilinwengine watakula Christmas na mwaka mpya bila wenzao. Lakini Mungu yuko
Kuna jambo sio bure! Likitimia tutajua.