uzuri

Imani Uzuri is an American vocalist and composer.Uzuri has collaborated with a cross section of artists across various disciplines including Herbie Hancock, John Legend, Vijay Iyer, Sanford Biggers, Carrie Mae Weems, Wangechi Mutu and Robert Ashley.
In 2012 Uzuri released her critically acclaimed second album, The Gypsy Diaries, which was funded with a successful Kickstarter campaign. Uzuri was a 2015 Park Avenue Armory artist-in-residence. March 2016 will mark Uzuri's Lincoln Center's American Songbook series debut.

View More On Wikipedia.org
  1. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Uzuri ni kwamba namba wote tunaisoma. Wakosoaji wa serikali waimba mapambio na kusifu na kuabudu serikali wote tuko kapu moja.

    Uzuri ni kwamba sukari ikipanda bei haichagui wewe ni mwimbaji mzuri wa mapambio au ni mkosoaji wa serikali namba inasomeka maumivu yako palepale. Ukienda kituo cha mafuta kuweka mafuta kwenye gari. wote tunaugulia maumivu kwenye bei ya mafuta haichagui wewe unasifia serikali au ni mkosoaji wa...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Uzuri wa Kiongozi kuwa Mhandisi na ubaya wa Kiongozi kuwa mtu wa Sanaa

    China is an engineers' country, but US and Germany are now lawyers' countries: former German chancellor By: Global Times | Published: May 04, 2026 04:01 PM "China is, as the US and Germany in the 19th century, an engineers' country. And now we are lawyers' countries," said former German...
  3. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    ‎kwa dakika moja fikiria hii: umesimama kwenye fukwe ya bahari jioni Jua linazama. Rangi nzuri za machweo ya jua zinaenea angani kama picha iliyochorwa na mkono wa ustadi usio wa kawaida. Moyo wako unashikwa na kitu kitu ambacho huwezi kukieleza kwa maneno hisia ya kwamba unashuhudia kitu...
  4. Red black

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana kuweni makini usiloweka kama hujacheki afya na huyo Binti usidanganywe na uzuri wa njee

    its weekend usijisahau ukaloweka kizembe..zinaa ni mbaya..kula gambe ukikaa vizuri upstairs tembea zako ghetto. #play SaFe
  5. haszu

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisikii mashindano ya Mr. World kama ilivyo Miss World? au dunia haitambui uzuri wa mwanaume

    Tangu utotoni nasikia tu Miss World, why sisikii Mr World? Kunahitajika kuwepo kwa Mr World ili dunia ijue kua wanaume wazuri/handsome wapo na mchango wao katika maisha. Kama ikiwezekana tuanze na Mr Tanganyika, na niko tayari kuiwakilisha Dar-es-salaam na hata Tanganyika katika Mr World...
  6. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzuri wa kiazi kitamu kidogo hauhitaji kukikatakata wakati wa kupika kwahiyo hakisumbui na wala hakiumizi kooni

    Uzuri wa kiazi kitamu kidogo hauhitaji kukikatakata wakati wa kupika kwahiyo hakisumbui na wala hakiumizi kooni Changamoto ya kiazi kikubwa lazima ukikatekate jambo ambalo linapoteza muda na mara nyingi vinashambuliwa na wadudu na kuoza ukilinganisha na viazi vidogo .. Faida yake tu ni kwamba...
  7. Funny boe

    JamiiForums Tanzania UZURI MBINGUNI HAKUNA MPIRA NA MPIRA NI DHAMBI

    Kwenye mechi inayoendelea sasa kati ya Dodoma Jiji na Simba Sc ikiwa simba hatopata goli na kufuzu kwenye haya mashindano nitatangaza rasmi kuachana na masuala ya mipira ikiwa ni kufatilia matokeo wala kuangalia zikiwa mubashara. Uzuri ni kuwa hivi karibuni nimegundua kuwa mbinguni hakuna mpira...
  8. haszu

    JamiiForums Tanzania Kama uzuri ingekua unagaiwa, ningempunguzua dada angu

    Dada angu amechukua sura ya baba, mimi nimechukua sura ya mama, dada angu sio mbaya, hapana, ila tu hua inaonekana kama nimemzidi uzuri, watu wanasema mbona dada ako umemzidi uzuri. Kuna muda ndio nawaza, kama uzuri ungekua unagaiwa, ningempunguzia dada angu ili watu waache kusema sana kuhusu...
  9. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Wengi hawapendi JPM akumbukwe kwa Uzuri: lakini atabaki kuwa chaguo la watanzania wengi

    Kwa TZ, JPM was a prophet of our time , ni kama maji hata ukiyakataa utayanjwa. Kwa uharamia uliotokea 29 baada ya mwendawazimu kupewa rungu, we learned kuwa JPM was a prophet of our time. Alikuwa mtume na alimaanisha mengi kwa watanzania. Haya majambazi ya sasa yaliyoingiza ngono ...
  10. W

    JamiiForums Tanzania Siku 100 za Rais Samia vingapi ametekeleza?

    Leo, Februari 10, 2026, ni siku ya 100 tangu Rais Samia Suluhu Hassan aapishwe kuanza awamu yake ya pili ya uongozi wake Novemba 03, 2025. Siku 100 ni muda mfupi katika uongozi wa taifa, lakini mara nyingi ndiyo kioo cha kwanza cha mwelekeo wa mamlaka. Kwa Rais Samia, siku hizi hazikupita...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Uzuri wa Gen Z hawana ujinga wa Udini

    Tuko salama! Yaani katika vitu ambavyo Gen Z wapi smart zaidi ya sisi kaka zao na baba zao ni ujinga wa Udini wala uchama. Hiyo ni moja ya tofauti kuu tuliyonayo na wao. Gen z wao huwezi mletea hadithi za kizamani au kufikirika atabaki kukudharau tuu. Gen Z hawaamini kwenye kumuachia Mungu...
  12. haszu

    JamiiForums Tanzania Nilipata kazi sababu ya uzuri

    Pamoja na kua na vigezo, ila muonekano wangu ulifanya mkuu wa panel awe mpole sana na kuonesha kuvutiwa na mimi, nilipata kazi kirahisi sana. Baada ya kuingia kazini, nikawa namkwesikutaka ku date eneo la kazi. Kuna vitu haviwezi ongelewa ila vina athar sana mupnekano ikiwepo, people do judge...
  13. Anthony Kabeho

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia Kafanya Makubwa na anaelezea kwa uzuri sana Mipango yake Mikubwa na mizuri kwa Tanzania yetu

    Msimu wa kampeni ndio huu umezinduliwa,Jukwaa kwa Mh.Rais Samia Suluhu analimudu vyema kwani kashafanga makubwa na wananchi tumejionea. Kila anachosema kinaendana na tunachokiona katika Mikoa,Wilaya,Kata na Vijiji vyetu yaani kila pahala kaweka alama kwa kujenga na kuboresha miundo mbinu ya...
  14. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Nchi zenye kupendeza, uzuri na mpangilio wa Ujenzi mzuri zaidi Duniani

    Nchi Zinazojulikana kwa Uzuri na mpangilio mzuri wa Muundo na Mazingira 1. Italy Inajulikana kwa mafanikio ya kipekee ya usanifu kama miundo ya Kirumi, Renaissance, Baroque, na Neoclassical. Mijini kama Rome, Florence, Venice ina majengo ya kihistoria kama Duomo ya Florence, Colosseum, na...
  15. haszu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watoto wangu wakikua watanipenda zaidi wakijua wamechukua uzuri wangu

    Kila nikiwaangalia, najiona mimi, ni warembo kwelikweli, kitu ambacho watafurahi sana wakikua na kuniona mimi, wataona nimewarisisha kitu kilicho chema. Napenda sana Uzuri
  16. Mfilisti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna uzuri wa mwanamke ambao mwanaume maskini hafai kuutamani?

    Kwenye maisha ya sasa, kuna wanaume wanajishusha kutokana na hali zao za kifedha – wakiamini kwamba uzuri fulani wa wanawake hauwahusu, yaani zile pisi kali tuwaachie watu flani wenye kipato. Wengine wanasema: “Uzuri ni wa wale wenye uwezo wa kuutunza.” Swali: Kuna uzuri ambao mwanaume maskini...
  17. Mi mi

    JamiiForums Tanzania Uzuri wa mwanamke ni Uwembamba wake

    Sifa ya mwanamke mzuri ni wembamba wake. Mwanamke akiwa mwembamba automatic tu anakuwa mzuri. Ki Korean figure fulani hivi
  18. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzuri wa kibamia hakifiki IKIMWI ulipo

    Kama we ni mwanaume mwenye kibamia na unajiona mnyonge kutokana na maumbile yako basi ondoa shaka Tafiti zinaonyesha wanaume wenye uume mdogo(kibamia) ni vigumu sana kupata magonjwa ya zinaa ikiwemo UKIMWI pindi wanapofanya ngono na mwanamke kwasababu ni vigumu kupata michubuko wakati wa tendo...
  19. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Hivi unajua tofauti kati ya uzuri na utamu. Hivi ni vitu viwili tofauti japo unaweza uvipate sehemu moja

    Hivi unajua tofauti kati ya uzuri na utamu...😊 Hivi ni vitu viwili tofauti japo unaweza uvipate sehemu moja, na wakati mwingine unaweza kupata kimoja kingine kikakosekana. Nijuacho mimi ni kwamba, Utamu ni intimacy, is how you feel. Na Uzuri ni Muonekano wako wa nje.... Pa kubonyeza...
  20. A

    JamiiForums Tanzania Huwezi kuona uzuri wa Tanzania ukiwa Tanzania

    Waafrika tunakasumba ya kuwaona wazungu wanaoishi Ulaya kama watu wenye maisha mazuri kuliko Waafrika wanaoishi Afrika. Tumeitukuza Ulaya na Wazungu wanaoishi huko kuliko waafrika wanaoishi Afrika. Wazungu wamejitahidi kujipamba na kujipambanua kwa Waafrika kuwa Ulaya ni kuzuri na kuna maisha...
Back
Top Bottom