Ichwampaka
Senior Member
- Nov 19, 2018
- 135
- 109
Wananchi wa Tanzania tunakupongeza kwa mazuri ambayo unayatenda. Usikatishwe tamaa na kelele sisi tulioishi muda mrefu na kujua mwenendo wa nchi tunakuona unaenda vyema sana. Furaha, amani, mshikamano miongoni mwa watanzania ni wa hali ya juu.
Uhuru wa kuabudu, uhuru wa kutoa maoni, hata uhuru wa kutukana viongozi pia upo juu sana.....labda wale wanaopitiliza kutukana hata shetani mwenyewe anashangaa. Lakini matusi ya reja reja watu wanatukana tu kwa raha zao. Usalama pia ni mkubwa, hakuna wasiwasi wa ujambazi, ugaidi wala utekaji.
Serikali inalipa madeni ya ndani, madai ya malipo, hakuna kukatwa deni, sijui kuhakikiwa deni. Pia huna wasiwasi kuwa fedha ikiingia kwenye akaunti utakuta imechukuliwa au kupunguzwa. TRA wamekuwa wakifanya kazi kwa weledi na very friendly, wanatuma meseji kila mara kukumbusha wajibu wa kulipa kodi.
Ndugu zetu CHADEMA wanajimwaga kwa raha zao na maandamano; hakuna anayewabughudhi kwamba wawe na term limit kwa Mwenyekiti wao.
Naona Sam Nujoma rd na Old Bagamoyo rd unataka kufanya jambo jipya........
Hongera sana Rais
Uhuru wa kuabudu, uhuru wa kutoa maoni, hata uhuru wa kutukana viongozi pia upo juu sana.....labda wale wanaopitiliza kutukana hata shetani mwenyewe anashangaa. Lakini matusi ya reja reja watu wanatukana tu kwa raha zao. Usalama pia ni mkubwa, hakuna wasiwasi wa ujambazi, ugaidi wala utekaji.
Serikali inalipa madeni ya ndani, madai ya malipo, hakuna kukatwa deni, sijui kuhakikiwa deni. Pia huna wasiwasi kuwa fedha ikiingia kwenye akaunti utakuta imechukuliwa au kupunguzwa. TRA wamekuwa wakifanya kazi kwa weledi na very friendly, wanatuma meseji kila mara kukumbusha wajibu wa kulipa kodi.
Ndugu zetu CHADEMA wanajimwaga kwa raha zao na maandamano; hakuna anayewabughudhi kwamba wawe na term limit kwa Mwenyekiti wao.
Naona Sam Nujoma rd na Old Bagamoyo rd unataka kufanya jambo jipya........
Hongera sana Rais