KAMUULIZE MAMA YAKO AKUPE SOMO ZURI KUHUSU YUPI ANAFAA KUOA! INAONEKANA BADO HUJAKUA KIAKILI....TRUMP MWENZAKO KAOA KAHABA NA DUNIA INAJUA, AMEKWENDA NAE IKULU, THE SAME TO OBAMA. VIPI WEWE? ACHA CHUKI NGOJA UKUE

Wewe ukimuangalia Trump akili zake zipo sawa?
Nilikuwa najiuliza kwa nini Trump ana mawenge sasa sababu nimeipata
 
Dah hii mada inanisisimuaga Sana..Juzi tu nilienda na duu wangu kila nikijaribu kuforce Yani hata nusu ya kichwa hakipiti anajibana Sanaa sas sielewi nakosea style nayomueka(kifo ch mende) au ni vipi nishajaribu Karibu Mara 5 wapi nampenda Sana ni wamaisha ila napata ugum Sana.. inafkia hatua nawaza kumuekea pombe kwenye juice au niweke kidonge cha kumlegeza nashindwa make naona Kama ukatili..sijui nifanyaje yani
 
Acha uzembe na mawazo ya kijinga
 
Peter Crouch ana urefu wa mita 2.01 (6ft 7inch), sio mchezo!
 
Kulewa mapenz kubaya sana. Ungefunga mdomo kupunguza aibu. Wachapaji usikute walikuwepo. Byee
 
Nilijipa ban...ila nimerudi..

Mkuu..Mimi nadhani ungezinadi hizi sifa za mkeo huko mTaani kwenu wanapomjua..wakuone KWELI wewe kidume na UNAJUA KUCHAGUA..

Kwamba..Ana trako kilo 100...(Obesity)
Ana chuchu sasita....(Ok)
Ni doctor ( Tena hua Ana night shift)
Anarangi ya majiyakunde...(Sawa)

Alafu...BIKRA YA MKEO sisi wa JF..inatusaidia Nini?

Yaaani kwa mkeo alivyo mzuri..Mimi nadhani uanze kuhadithia sifa zake..Huko mtaani...Tena uzinadi haswa..Hadi kipofu apate picha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…