Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,383
- 81,846
Kwa huu upeo wako wa kufikiri, hukutakiwa kabisa kuchangia chochote kwenye huu mjadala. Ulitakiwa usome tu na kwenda zako kujitafutia huo mkate wako wa kila siku!Wanasiasa,mjuwe sisi wananchi,hatutaki madaraka yoyote kwenye siasa,kwetu sisi twahitaji mkono wende kinywani,tukishapata mahitaki muhimu,hatuna zaidi ya hapo.
Ila kwa bahati mbaya umeamua kujidhalilisha.