msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania Msaada: Wanaoijua Mgambo JKT Tanga ikoje mazingira yake?

    Mwenye kuifahamu Mgambo anisaidie mazingira yakoje> Panafaa kwenda? au ni mateso? Haya makambi yanatofautiana ingawa kote ni mitulinga ya Jeshi.
  2. ANT DRUGS

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninasumbuliwa na mafua kwa siku tatu

    Habar zenu wakuu.Nina shida ya mafua kwa siku tatu sasa nimejaribu kupiga nyungu ila wapi,Nasikia vitunguu swaumu vinasaidia ila sijui namna ya kuvitumia naomba msaada. Au kama kuna dawa yeyote ya asili naomba nielekezwe altleast njlale na mm leo kama wengne. Asanten
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuhusu bacherol of science in real estate finance and envestment

    Mimi ni kijana niliyemaliza form 6 mwaka 2019 nakupata DIV 2 kwa combination ya EGM nilikuw naomba msaada wenu kuhus hii koz inahusian n nin,pia kweny kuajiria unaweza kupiga kampuni kama zipi pia kweny kujiajiri wew kam ww unaweza kupiga issue kam zipi.Nawasilisha hoja kwenu wadau n mm ndio...
  4. Quavohucho

    JamiiForums Tanzania Infinity hot6 x imekata network kbsa ya mtandao wowote

    Wakuu kuna simu hapa infinity hot6 x Inashida imekata network kbsa ya mtandao wowote, Yaana inaonyesha kabsa line zipo lakini network aishiki, Tukiangalia upande was hardware Hamna shida yyote Kuna baadhi ya watu wanasema imei zinasoma nje lkina mwanzo network ilikuwa fresh kabsa H wadau...
  5. Aijohn

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada na ufafanuzi kuhusu uvimbe kwenye mayai na tiba yake

    Wataalam habari za Muda huu? Naomba msaada wa elimu katika hili. Baada ya kuishi na mke wangu kwa muda wa miaka mitatu Sasa bila kupata hata dalili yoyote ya mimba maana hata period yenyewe haieleweki unakuta mwezi huu kaingia tarehe hii mwezi ujao tarehe nyingine tena au inatokea inapita Ata...
  6. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Wapi hapa tanzania naweza Pata betrii la simu ya xiaomi redmi note 3

    Wakuu wa jukwaa hili naombeni msaada wapi hapa tanzania naweza Pata betrii la simu ya xiaomi redmi note 3. Msaada tafadhali wapendwa.
  7. Saul goodman

    JamiiForums Tanzania PS4 Kuwaka kwa sekunde na kuzima msaada wa kiufundi

    Habari wanajukwaa, Nina mashine yangu ya PS4 FAT, Kuna siku ilizima ghafla, Tangu izime inashindwa kuwaka ukibonyeza inatoa tu mwanga wa blue kwa sekunde kadhaa then inazima haimalizi kuwaka. Nimejaribu kutafuta solution Google Bado hazijanisaidia kwa Mwenye ujuzi wa Jambo hili au aliyewahi...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Msaada: Theories on the origin of the earth

    Habari wakuu...poleni na kazi nlikuwa naomba mnipe mwanga kidogo kuhusu hizi theories on the origin of the earth nebular theories protoplanet theory encounter theory big bang theory fission theory accretion theory gas cloud theory stellar collision theory
  9. H

    JamiiForums Tanzania Msaada: Natafuta kibarua au kazi yeyote ile halali

    Habari ndugu zangu. Mimi ni kijana wa kiume Elimu: Bachelor of science in mathematics and statistics. Ninatafuta kazi au kibarua chochote kile halali, hata kuwa msaidizi kwenye shughuli yeyote ile halali. Hata kazi za kuanzia jioni mpaka usiku sana nafanya. Ninaweza kufanya masuala yahusiyo...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuhama fani kutoka uhasibu na kuhamia fani nyingine, mwaka wa masomo ujao. Hatua ipi nifanye?

    Habari za wakati huu, Mimi ni Mwanafunzi wa Chuo kikuu, mwaka wa kwanza katika fani ya uhasibu. Naomba msaada katika mambo yafuatayo: 1.Nahitaji kuhama fani kutoka uhasibu na kuhamia fani nyingine, mwaka wa masomo ujao. Hatua ipi nifanye? 2.Nina mkopo kutoka HESLB, nitaweza vipi kubaki kuwa...
  11. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania TANESCO wapata hitilafu katika mfumo wa kununua umeme wa LUKU

    TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MANUNUZI YA LUKU KWA BAADHI YA WATEJA Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi wateja wake kutokana na hitilafu iliyotokea kwenye mfumo wa manunuzi ya umeme wa LUKU siku ya Jumatatu, Mei 17, 2021 na kusababisha baadhi ya wateja kushindwa kununua...
  12. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kusaidia wenye uhitaji ni baraka

    Nilikutana na mama mmoja ana real estate, nyumba zake hazipungui 20. Nilikua na hamu ya kufahamu alianzaje. Aliniekeza kuwa alipata ajira yake ya kwanza akiwa na miaka 26. Kazi ilikua nzuri na hakua na maisha ya anasa. Alinunua kiwanja na kujenga nyumba ya nyuma kuanzia. Ilkua na vyumba...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Msaada ku-upgrade Android 7 to Android 8 Tecno

    Habari wakuu. Nina simu ya Tecno POP1 ina Android 7. Naomba muongozo namna ya kwenda Android 8. Natanguliza shukrani za dhati.
  14. donlucchese

    JamiiForums Tanzania Msaada: Baadhi ya App za simu yangu hazifunguki

    Salaam wakuu, Straight to the point, simu yangu imeanza behavior Moja ya ajabu sana. Baadhi ya apps hazifunguki (zinazotumia internet access), kwa mfano uc browser turbo ilikua my favorite browser kwa fast downloading lakini saivi yaan hamna access kabisa mpaka nimeidownload dolphin ndio...
  15. DESDERIUS KWIZERA MATITI

    JamiiForums Tanzania Napata kizunguzungu kila nikiamka kutoka sehemu niliyokaa

    Hivi kupatwa na kizunguzungu wakati wa kuamka kutoka ulipokuwa umekaaa hii inasababishwa na nini? Na kiafya shida ni nini na nini madhara yake.
  16. Umuzukuru

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada ili niweze kupata platform itakayonipa nafasi ya kunisajilia uwezo na kipaji changu cha kuimba

    Habari wakuu, Naomba niende Moja kwa Moja kwenye mada husika Wakuu naombeni msaada ili niweze kupata platform itakayonipa nafasi ya kunisajilia uwezo na kipaji changu cha kuimba ili kutengeneza nafasi ya kuweza kupata udhamini Pia kwa mwenye connection na wadau wa muziki nahitaji msaada wake...
  17. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kitaalam viungo vyangu vya mwili vinakosa nguvu

    Habari zenu wakuu, Naomba msaada wa kidaktari, mimi mwana Jf mwenzenu ninatatizo la kiafya linalonipelekea kuhisi kwamba mwili wangu hauko timilifu kiutendaji, yaani mfumo wa fahamu unafanyakazi chini ya kiwango. Ni hivi nimezaliwa nikiwa mzima wa afya sina tatizo lolote, ila baada ya kufikia...
  18. U

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuuza hisa zangu!

    Naomba mwenye ujuzi wa taratibu za kufuata ili niuze hisa zangu naomba mwongozo!Mwaka 2013 nilinunua hisa za benki ya Mwalimu.Hadi leo hakuna kinachoendelea nimeishiwa kupewa tu risiti.Kila nikiuliza nakutana na "uswahili"uliosheheni na majibu yasiyoeleweka!Naombeni utaratibu wa kuuza hisa hizo...
  19. Richmoto Kushmoto

    JamiiForums Tanzania Chunusi zinasumbua sana msaada wenu wakuu

    Nimetumia dawa za aina nyingi na hizi tube zinapungua kidogo zen zinarudi sasa hivi ndio zimeongezeka msaada wenu hapo wakuu tiba ipi ni nzuri.
  20. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Amesoma kombi ya HGE, kozi zipi anaweza kusoma katika level ya university?

    Hamjambo wana JamiiForum? Naombeni mnijuze, mtoto wangu kamaliza form six wiki hii iliyoisha. Amesoma kombi ya HGE, hivi ni kozi zipi anaweza kusoma katika level ya university? Natanguliza shukurani kwenu.
Back
Top Bottom