Habari zenu wana jamvi, jamani naombeni kusaidiwa maswali yanayotoka kwenye mtihani wa written interview katika kada ya Relationship Officer tafadhali.
Nawakaribisha wanajamii wenzangu tupeane uzoefu hapa kwenye hii thread karibuni sana.
Kwa wale ambao tuna nywele asilia a.k.a natural hair, tayari tunafahamu changamoto kadhaa tunazokumbana nazo. Kwa wale mnaofikiria kuanza kuwa na nywele asilia, karibuni sana tuendelee kujuzana namna ya kutunza nywele zetu kama tulivyopewa na Mungu
Katika mada ya leo,nitakwenda kuzungumzia vitu...
Habari zenu wadau.
Kama kichwa cha habari kinavyoonyesha. Ni wapi naweza pata engine ya 1HZ iliyo katika ubora mzuri. Pamoja na swala hilo la ununuzi, pia ningependa kufahamu mambo yafuatayo juu ya hiyo engine.
1. Bei yake inaweza range kiasi gani?
2. Ni vitu gani vya kuzingatia katika...
Wakuu za mwaka mpya,
Mwenzangu anataka kufanya biashara ya boda boda sasa ameniomba ushauri anunue used 2 au mpya moja na ana 1.8 M. Mimi nimemwambia anipe muda ili nimshauri vizuri, kwa kuwa mimi sijui chochote kuhusiana na biashara hii nikaona nije huku wakuu. Naomba pia kujuzwa utaratibu wa...
Jana ilikuwa siku mbaya kwangu baada ya mtoto wa jirani kufanya hii kazi hapo juu. Naomba clue kwa anaefahamu bei ya windscreen kwa sasa ni Tsh. ngapi maana tuko kwenye negotiation na mzazi wake kwa sasa ili kipengele cha “indemnity” kichukue nafasi yake.
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU BAKTERIA HUYU
Habari wanajamvi!!!
Naomba kujua tiba ya Helicobacter pylori( H-pylori) ni ipi? Na je huu ugonjwa unatibika ? Je wapo watu walioumwa wakapona?
Nina ndugu yangu yapata sasa miezi 6 anateseka na huu ugonjwa, anatapika sana sana mpaka...
Habari wakuu,
Kama kichwa kinavyoeleza naomba msaada kwa yeyote anayeijua App ya kuvuta sauti kwa mfano upo kwenye mkutano mwishoni na hakuna spika yaani mkutano hawatumii redio, so we ukifungua hio App inavuta sauti na utaisikia vizuri.
Nawasilisha.
Hichi kituo cha kutetea haki za binadamu hakina msaada wowote kwa raia wa kawaida na inaonekana wao wapo kisiasa tu na kujaza matumbo yao kwa misaada ya pesa wanayopata toka huko nje.
Wapo tayari kupiga kelele na kulaani pale wanasiasa wa upinzani wanapokamatwa au alipokamatwa mfanyakazi wao...
Mkuu wa wilaya ya Tunduru Mh Julius Mtatiro amepiga marufuku sherehe za kuhitimu elimu ya msingi yaani Darasa La Saba wilayani kwake.
Mtatiro amesema kuhitimu darasa la saba ni sawa na Sifuri hivyo kufanya sherehe ni kuwadumaza wanafunzi na kuwafanya wawe na mawazo ya kimasikini yatakayoharibu...
Heri ya mwaka mpya wakuu..
Kuna fundi kamfungia bi mkubwa solar, tangu tarehe 30 December
Sasa taa zinawaka ila inverter inawasha taa nyekundu na kupiga alarm. Fundi aliwaahidi kuwa jua likiwaka hali itakuwa shwari. Ila hali bado ni ile ile. Inverter ina 1000W batteries mbili za 12V.
Kwenye...
Heri ya Mwaka Mpya wana- Mmu. Imenibidi nitafute ID mpya ili nijielezee vizuri mana original ni verified. Stori inaanza hivi:
Baada ya mizunguko ya hapa na pale kwenye mahusiano nikaja na wazo kwamba kama mtu sio mkeo it’s better to have backup plan, yaani plan B. Namaanisha nakuwa na mpenzi...
Habari za muda huu wadau!!!
Aisee kuna denti mmoja baada ya kumaliza kidato cha nne kaja kukaa hapa home kwa ndugu yake ambaye ni mpangaji katika nyumba tunayoishi.
Sasa katika kuzoeana siku nikakapiga sound kakakubali lakini kakaniambia kuwa ni bikra na hajawahi kukutana na mwanaume...
Salaam wakuu,
Rejea kichwa cha habari hapo juu, natafuta boda boda ya mkataba au kwa siku, maongezi zaidi nipo hapa kujibu, nipo Dar es Salaam. Tufanye biashara.
Wakuu habari zenu poleni na majukumu.
Nina tatizo kidogo nahitaji msaada wenu, mimi nina tatizo la mafua la mara kwa mara lakini hii ya kipindi hii imenishika kweli na kama siku ya tatu hivi mafua yamenibana 2 usiku silali. Ni kwamba napumulia mdomoni puani siwezi kupumua kabisa napata shida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.