msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Idugunde

    Kiongozi wa wajasiriamali Magufuli bus terminal safarini Chato kwa baiskeli ili kumuenzi hayati JPM kwa msaada wake kwa wajasiriamali wadogo

    Ameamua kuendesha baiskeli toka Dar mpaka Chato. Huu ni uzalendo wa kweli.
  2. King TKM

    Msaada kwa anae fahamu hili swali, an appraisal of handling of exhibits in law enforcement agencies practice: Tanzania police force

    Habari za mda huu, Ikiwa kama kuna regulations, laws au Act zozote zinazoweza kutoa majibu ya hilo swali naomba mnisaidie.
  3. Pastory Kimaryo

    Msaada kwenye hii VPN

    Habari za jion wana tech wa JF. Leo nimeshtuka kidogo, muda wote kwasababu nipo Twitter natumia VPN, sasa kuna muda nilienda Google ile paa nikajikuta nascroll mpaka chini kabisa bwana ee nikaona location nipo huku kwetu maeneo fulan Morogoro nyumban kwetu kabisa, sasa najiuliza hii Google ina...
  4. Dr Rutagwerera Sr

    Msaada kujaza fomu za Express Canada Visa

    Mwenye uzoefu wajuvi wa kujaza hizi fomu za Express Visa Canada. Naomba anicheki. Hela ya usumbufu ipo. Anayehitaji anahitaji haraka iwezekanavyo. UPDATED: Mdau hapo chini Mung Chris amefanikisha. Suala closed.
  5. Airmanula

    Msaada wa kampuni gani ya usafiri kutoka Dodoma kwenda Mbeya?

    Habari Husika na kichwa cha habari hapo juu, wadau wa kusafiri tushirikishane kampun gani ya basi zuri, either luxury au semi luxury ya kutoka Dodoma kwenda Mbeya. Asante.
  6. X

    Naomba kuelekezwa namna ya kufuta post zote za Instagram

    Wadau habari za Asubuhi hope ni kwema,Poleni na majukumu. Kifupi tu nahitaji msaada jinsi ya kufuta post zangu zote za Instagram kwa pamoja. Post zaidi ya 900. Nafanyaje? Msaada plz #Forgive Me
  7. Pastory Kimaryo

    Naombeni msaada kwenye Twitter

    Habarini za jioni wana JF, Nina shida moja kwenye app ya Twitter, nikitazama video halafu ikiisha nikirudi nyuma kuendelea na mambo mengine ile sauti ya video inaendelea kuplay, na hata nikitoka kabisa nje hadi homescreen inaendelea kuplay, inakata pale tu niki-clear kwenye recent activity...
  8. X

    Msaada namna ya kufuta akaunti ya Instagram

    Ndugu poleni na majukumu, Naombeni msaada namna ya kufuta Account ya Instagram isionekane tena. Msaada kwa anaefahamu. Ni hayo tu. #Forgive Me
  9. Binadamu Mtakatifu

    Msaada! Kufuta namba contact

    Habari! 🖐️ Natumai mu wazima nimepata matatizo ya kushindwa kufuta majina hasa yanayo nambia read-only contact from whatsapp naomba msaada kwa yeyote anayejua kwani hunikera sana sio siri nahitaji kuyaondoa nipo nasubiri majibu yenu yakiugwana 🤝🤝🤝
  10. N

    Msaada jamani jinsi ya kufanya conference/merge calls kwa laini iliyozuiwa

    Nina laini ya halotel ambayo wamelock conference/merge calls. Kw yeyote anaejua jinsi ya kutoa msaada tafadhari.
  11. S

    Wachache wanaojitoa kuelezea mapungufu ya Magufuli, wana msaada mkubwa kwa Taifa kuliko mamia au maelfu walio huru kueleza mazuri yake

    Habari wakuu, Ni hivi: Ingekuwa ni jambo la hatari sana kama kila mtu angejitoa akili (angejisahaulisha) kuhusu mapungufu ya Marehemu Magufuli na utawala wake na kisha wote tungeungana katika kusifu pamoja na kuendesha hizi propaganda zinazoendelea kwa kutumia vyombo vya habari. Ukweli ni...
  12. Kategele

    Bima ya mtoto wa mtumishi wa umma itasaidia matibu ya Moyo Taasisi ya Jakaya Kikwete?

    Habari wana JF, na poleni kwa msiba pia. Mwanangu mwenye miezi 10 kaonekana ana shida ya moyo na madakitari wa BUGANDO wamesema suala lake lipo serious inabidi kupewa rufaa ya Taasisi ya Moyo ya JAKAYA. Hivi Bima ya mtoto itasaidia gharama zote za matibabu na Operation?
  13. Baba Rhobi

    Msaada kuinstall custom ROM

    Kama title inavojieleza, nahitaji kuinstall custom rom kwenye kimeo changu sony xperia z3 compact, specifically rom yenyewe ni Lineage Os. Changamoto ni moja hii simu bootloader yake ni unlockable, sasa je naweza fanikiwa kweli. Tayari nimesha iroot na nimeinstall TWRP. Msaada bandugu...
  14. THE FIRST BORN

    Nini tafsiri ya kifungu hiki cha sheria kutoka kwenye National Leaders' Funeral Act

    Ningependa kuomba ufafanuzi kidogo nipate kuelewa hapa maana naamini humu kuna wanasheria wazuri Je hiki kifungu kinamaanisha nini? Section 26(a) (b)?
  15. N

    Msaada wenu tafadhali

    Naombeni tafsiri ya nyimbo hizi za fally ipupa 1. Ecole 2. Allo telephone
  16. Harrykany

    Msaada: Kila nikijaribu kujiunga na Twitter inagomea penye namba ya simu

    Kila nikijaribu kujiunga Na Twitter inagomea penye namba ya simu, hata aileti maelezo yoyote
  17. A

    Msaada wa kupata diagnosis

    Hello wa kuu za muda huu nimeshindwa kupata diagnosis kwenye hii case. Samahani kuna ili tatzo ana vipele vidogo vidogo kwenye corona grands penis ambavyo ni vidogo vidogo sana haviwash, wala havitoi maji,wala kuuma. Vina zaid ya miaka 4 ila mwez wa kwanza alienda hospital wakamchukua damu na...
  18. G

    Rais anapofia madarakani, utaratibu ni upi kwa sheria za nchi yetu?

    Ningependa kujua ikiwa ikatokea bahati mbaya amefariki katika ajali au namna yoyote iwayo, nani ateyeshika nafasi ya uongozi wa taifa letu? ====== 37(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na...
  19. JAY EXCLUSIVE

    Naombeni kushauriwa ni ninayoweza kuajiriwa kwa haraka na kujiajiri?

    Mimi nimemeliza elimu ya secondari 2020 naitaji ku apply chuo nina ufaulu wa 4 ya 27, naombeni kushauriwa ni kozi gani yenye ajira? Ninayoweza kuajiriwa kwa haraka na kujiajiri vile vile, naombeni msaada wa JF Nilikuwa nimshafanya uchaguzi nikasomee IT but nimegundua ajira ni ndogo kiteknolojia...
Back
Top Bottom