msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania China yaipatia Tanzania msaada wa TSh. Bilioni 35

    Serikali ya China imeipatia Tanzania msaada wa Sh35.37 bilioni zitakazotumika katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo iliyokubaliwa na kuridhiwa na mataifa hayo mawili. Hayo yameelezwa leo Jumatano Mei 12, 2021 na Katibu mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Emmanuel Tutuba wakati...
  2. Kigger

    JamiiForums Tanzania Msaada wa wipe data/factory reset

    Msaada wa kurestore simu imejiweka pin Mara nyingi sasa inanipa 24 hours ndio niweze weka pin na mi nahitaji kutumia muda huu nisema ni flash kila kitu kitajifuta msaada wenu nitumie njia gani niweze weka pin bila kufuta vitu kwenye simu
  3. N

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kutengenza Website

    Msaada wa kutengenezewa webiste. Kwa anayejua aje inbox anipe gharama yake tufanye kaz
  4. M

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

    Habari wakuu, naomba kwa anayeweza kujua hili tatizo anisaidie. Nataka kufanya application ya hizi nafasi za ualimu zilizotangazwa, nakutana na changamoto moja, kila nikijaribu Ku log in naaambiwa unauthorized user, nikafili nakosea password. Nikataka kubadili password ikashindikana, coz ili...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naomba kufahamishwa zilipo ofisi za TBC kwa hapa mjini kati

    Naomba msaada kwa anaejua ofisi ya TBC hapa city centre wapo wapi? Zamani walikua Zanaki Street, ila naambiwa wamehama ila sijui wapi, nataka kutoa tangazo, please. Sitaki kejeli na mapovu. Ka huna jibu kaa kimya.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu Written Interview ya TTCL nafasi ya Afisa Mauzo

    Habari za jioni wadau. Ninaomba msaada kwa waliowahi kuhudhuria interview Utumishi kwa nafasi ya SALES OFFICER . Ni maswali gani wanapendelea kutoa? Asanteni sana.
  7. ANT DRUGS

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa kupata simu ya nzuri za iPhone

    Habari zenu wakuu, Naomba msaada wa kujua aina gani ya Iphone ni nzuri ambayo bei yake ni kati ya laki 5 mpka laki 6? Simu ambayo ina storage kubwa (64GB above) na camera yake ni nzuri. Itapendeza zaidi nikipewa chimbo zuri la kuipata Dar. Asanteni.
  8. Traveller_mona

    JamiiForums Tanzania Leo nimepoteza simu ni samsung galaxy A31 hivi naweza kuipata?

    wakuu habari za mda huu, Wakuu leo nimepoteza simu ni samsung galaxy A31 hivi naweza kuipata nna imei namba zake kwa sababu box lake ninalo. Naomba kuwasilisha.
  9. EMMANUEL JASIRI

    JamiiForums Tanzania Jamani naomba msaada kuhusu maana ya majina haya kwa kiswahili

    Hii mimea kwa kiingereza 1.Unaitwa -chamomile 2.Unaitwa-nutmeg nimejaribu kutafuta maana yake kwa kiswahili mpaka sasa sijafanikiwa. Tafadhali yeyote unaye fahamu jina la mimea hii kwa kiswahili,nakuomba unisaidie hapa tafadhali.
  10. GIRITA

    JamiiForums Tanzania Msaada naomba kufahamu desktop computer ya kawaida sana kwa kazi za video editing

    Salam ndugu zanguni. Naomba kufahamu ni desktop computer yenye sifa zipi inauwezo wa kufanya kazi za kuzalisha na kuhariri picha za video, naomba kusaidiwa hili kwa wataalamu wa humu jukwaani wanaofanya kazi hizi na wasiofanya. Inatakiwa iwe ya gharama za chini kabisa kuliko zote,Nataka kujua...
  11. Shadow7

    JamiiForums Tanzania Taiwan yapeleka msaada India

    Shehena ya kwanza ya msaada wa Taiwan kwa India kusaidia nchi hiyo kukabilina na wimbi la maambukizi ya virusi vya corona imeondoka leo kwenda mjini New Delhi ikiwa na mashine 150 za kupumua na mitungi 500 ya hewa ya Oksijeni. Rais wa Taiwan Tsai Ing-wen Wizara ya mambo ya kigeni ya Taiwan...
  12. Y

    JamiiForums Tanzania Msaada wazo la biashara, nifanye biashara gani ninaishi jijini Dodoma nina mtaji wa 380000/=naombeni ushauri

    Habar wana JF Mimi ni graduator wa chuo kimojawapo jijini Mbeya mwaka wa jana, kutokana na tatizo la ajira niliamua kutafuta mtaji kwa kufanya kazi vibarua na nimefanikiwa kukusanya kiasi cha tshs 380000. Hivyo naombeni ushauri nifanye biashara gani ambayo itanipa...
  13. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania TUCTA genge la wanyag'anyi lisilo na msaada kwa watumishi wa wafanyakazi. Linatakiwa kupungwa na kufumuliwa upya.

    Hili shirikisho la vyama vya wafanyakazi hapa nchini Tanzania ni wala michango ya wafanyakazi pasipokuwa na msaada wowote kwa wafanyakazi, kwa ujumla ni wanyag'anyi wasio na msaada kwa wafanyakazi. Kwa zaidi ya miaka sita wafanyakaz wanapigwa sound na viongizi wa nchi huku hali na ughali wa...
  14. never Se me

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimepoteza uwezo wa kutongoza nisaidiwe kabla sijawa domo zege

    Dunia imejawa na wanawake wazuri siku izi wanajiita pisi kali, bwana weeee mimi nimepoteza uwezo wakutongoza japo izo pisi kali zipo nyingi kama Mchele wa kyela mwezi wa 6 si unajua lazima ushuke bei kwa buku kapu linajaaa , Na kwambia ukweli wasingekuwapo dadapoa ningepewa umakamu mwenyekiti...
  15. Ellon

    JamiiForums Tanzania Msaada Samsumg J2 inaandika Emergence call nifanyaje

    Habari Nina Simu aina ya Sumsung J2 iliokotwa week iliyopita, nimeweka laini ikawa inafanya kazi vizuri kilakitu leo asubui kuifanya imeandika EMERGENCE CALL maana yake haisomi mnara...kingine hii simu Icon ya mnara ipo hata kama ujaweka Laini so inaandika Emergence Call kwa uuwelewa wangu...
  16. E

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kazi yoyote ya halali

    Habari za saizi wakuu? Mimi ni kijana wa kiume mwenye elimu ya diploma kozi ya ualimu, lakini bado sijafanikiwa kupata kazi.Hivyo naomba kazi yoyote ya halali ambayo itaniwezesha kupata hela ya kujikimu kimaisha au kuishi mbali na nyumbani...
  17. Fohadi

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu specifications za simu

    Habarini wakuu. Nimeibiwa simu yangu hivyo uamuzi niliochukua ni kutafuta nyingine kwani kuifatilia iliyopotea naona nitapoteza muda mwingi na hela nyingi... Nimeamua kutafuta simu nyingine ambayo bajeti yake haizidi 350k. Katika pitapita zangu mtandaoni nimevutiwa na VIVO Y20 ambayo...
  18. C

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ufadhili kusomea urubani

    Ndugu ktk forum hii, mwanangu wa like kamaliza kidato cha NNE, na kupata division one point 12, anapenda tokea utoto wake kusomea u-pilot Kutokana na changamoto ya kukosa ada familia tunaelekea kufeli kumfikisha ktk malengo, je naweza kupata scholarship? kwa namna yoyote, na huku mm am blind...
  19. Maria Nyedetse

    JamiiForums Tanzania Msaada wa vitabu

    Habari za asubuhi wanajamvi, Samahani naomba mwenye vitabu hivi PDF anisaidie tafadhali 1. Rich Dad Poor Dad 2. Why A students Work for C students 3. Cash Flow Quadrant Vitabu vyote hivi vimeandikwa na mwandishi Robert Kiyosaki. Kama kuna vitabu vingine mfano wake pia itakuwa vizuri
  20. U

    JamiiForums Tanzania Mwenye ujuzi kuhusu tatizo hili la e-mail naomba msaada!!!

    Kwa miezi sasa nimekuwa kila nikifungua e mail yangu nakutana na email za watu wakiniomba kazi wakiwa wameambatanisha na CV zao!Nadhani labda kuna watu wasiowaadilifu wametumia email address yangu kwenye matangazo yao ya kazi!Ninaomba mwenye ujuzi wa namna ya kufanya anijuze ili watu wasiendelee...
Back
Top Bottom