Habari wanajukwaa,
Nina mashine yangu ya PS4 FAT, Kuna siku ilizima ghafla, Tangu izime inashindwa kuwaka ukibonyeza inatoa tu mwanga wa blue kwa sekunde kadhaa then inazima haimalizi kuwaka.
Nimejaribu kutafuta solution Google Bado hazijanisaidia kwa Mwenye ujuzi wa Jambo hili au aliyewahi...
Habari wakuu...poleni na kazi
nlikuwa naomba mnipe mwanga kidogo kuhusu hizi theories on the origin of the earth
nebular theories
protoplanet theory
encounter theory
big bang theory
fission theory
accretion theory
gas cloud theory
stellar collision theory
Habari ndugu zangu.
Mimi ni kijana wa kiume
Elimu: Bachelor of science in mathematics and statistics.
Ninatafuta kazi au kibarua chochote kile halali, hata kuwa msaidizi kwenye shughuli yeyote ile halali. Hata kazi za kuanzia jioni mpaka usiku sana nafanya.
Ninaweza kufanya masuala yahusiyo...
Habari za wakati huu,
Mimi ni Mwanafunzi wa Chuo kikuu, mwaka wa kwanza katika fani ya uhasibu. Naomba msaada katika mambo yafuatayo:
1.Nahitaji kuhama fani kutoka uhasibu na kuhamia fani nyingine, mwaka wa masomo ujao. Hatua ipi nifanye?
2.Nina mkopo kutoka HESLB, nitaweza vipi kubaki kuwa...
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MANUNUZI YA LUKU KWA BAADHI YA WATEJA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi wateja wake kutokana na hitilafu iliyotokea kwenye mfumo wa manunuzi ya umeme wa LUKU siku ya Jumatatu, Mei 17, 2021 na kusababisha baadhi ya wateja kushindwa kununua...
binafsi
ccm
hujuma
ikulu
kutumia
luku
mabadiliko
madeni
msaada
mtandao
njia
palestina
rais samia
siku
tanesco
tatizo la umeme
umeme
upinzani
watanzania
zanzibar
Nilikutana na mama mmoja ana real estate, nyumba zake hazipungui 20. Nilikua na hamu ya kufahamu alianzaje. Aliniekeza kuwa alipata ajira yake ya kwanza akiwa na miaka 26. Kazi ilikua nzuri na hakua na maisha ya anasa. Alinunua kiwanja na kujenga nyumba ya nyuma kuanzia. Ilkua na vyumba...
Salaam wakuu,
Straight to the point, simu yangu imeanza behavior Moja ya ajabu sana. Baadhi ya apps hazifunguki (zinazotumia internet access), kwa mfano uc browser turbo ilikua my favorite browser kwa fast downloading lakini saivi yaan hamna access kabisa mpaka nimeidownload dolphin ndio...
Habari wakuu,
Naomba niende Moja kwa Moja kwenye mada husika
Wakuu naombeni msaada ili niweze kupata platform itakayonipa nafasi ya kunisajilia uwezo na kipaji changu cha kuimba ili kutengeneza nafasi ya kuweza kupata udhamini
Pia kwa mwenye connection na wadau wa muziki nahitaji msaada wake...
Habari zenu wakuu,
Naomba msaada wa kidaktari, mimi mwana Jf mwenzenu ninatatizo la kiafya linalonipelekea kuhisi kwamba mwili wangu hauko timilifu kiutendaji, yaani mfumo wa fahamu unafanyakazi chini ya kiwango.
Ni hivi nimezaliwa nikiwa mzima wa afya sina tatizo lolote, ila baada ya kufikia...
Naomba mwenye ujuzi wa taratibu za kufuata ili niuze hisa zangu naomba mwongozo!Mwaka 2013 nilinunua hisa za benki ya Mwalimu.Hadi leo hakuna kinachoendelea nimeishiwa kupewa tu risiti.Kila nikiuliza nakutana na "uswahili"uliosheheni na majibu yasiyoeleweka!Naombeni utaratibu wa kuuza hisa hizo...
Hamjambo wana JamiiForum? Naombeni mnijuze, mtoto wangu kamaliza form six wiki hii iliyoisha.
Amesoma kombi ya HGE, hivi ni kozi zipi anaweza kusoma katika level ya university? Natanguliza shukurani kwenu.
Serikali ya China imeipatia Tanzania msaada wa Sh35.37 bilioni zitakazotumika katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo iliyokubaliwa na kuridhiwa na mataifa hayo mawili.
Hayo yameelezwa leo Jumatano Mei 12, 2021 na Katibu mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Emmanuel Tutuba wakati...
Msaada wa kurestore simu imejiweka pin Mara nyingi sasa inanipa 24 hours ndio niweze weka pin na mi nahitaji kutumia muda huu nisema ni flash kila kitu kitajifuta msaada wenu nitumie njia gani niweze weka pin bila kufuta vitu kwenye simu
Habari wakuu, naomba kwa anayeweza kujua hili tatizo anisaidie.
Nataka kufanya application ya hizi nafasi za ualimu zilizotangazwa, nakutana na changamoto moja, kila nikijaribu Ku log in naaambiwa unauthorized user, nikafili nakosea password.
Nikataka kubadili password ikashindikana, coz ili...
Naomba msaada kwa anaejua ofisi ya TBC hapa city centre wapo wapi?
Zamani walikua Zanaki Street, ila naambiwa wamehama ila sijui wapi, nataka kutoa tangazo, please.
Sitaki kejeli na mapovu. Ka huna jibu kaa kimya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.