kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. T

    Natafuta msichana wa kazi mwenye sifa hizi

    Sifa ya kwanza ni kuwa natafuta msichana maridadi/ mrembo/ mchangamfu anayeishi Dar ili tuweze kufanya biashara ya kutuma na kupokea fedha - mhusika ataanza kufuatilia michakato yote na kusimika hii biashara kwa usaidizi wangu. Biashara itafanyika katika moja ya suburbs za mji wa Dar. Awe ni...
  2. Z

    Agizo la Rais juu ya taasisi za Serikali kupewa kazi za ushauri liliishia wapi?

    Rais anaposonga mbele, aliyoagiza nyuma yanasahaulika. Muongozo ulitolewa na serikali ya awamu hii ikiwa ni pamoja na ofisi za serikali kuhamia majumba ya serikali, mikutano kufanyika nyumba za serikali, kazi za ushauri kufanywa na taasisi za serikakali. Nionacho ni mapambano kati ya tabia za...
  3. beth

    Mahakama Jijini Nairobi yafuta uamuzi wa Kenya Airways kumsimamisha kazi Mfanyakazi aliyerekodi Ndege ya Wachina ikitua JKIA

    Kenya Airways’ decision to suspend employee Gire Ali has been voided by a Nairobi court after he moved to court to challenge the move. At the same time, the court also stopped the Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) from arresting and charging Mr. Gire. Gire, an Assistant...
  4. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi The School of St Jude Arusha

    Position: Facilities Officer Ref: TSOSJ/ HR/BO/PR/FT/01/20 Location: Moshono Business Office, Arusha, TANZANIA. Job Summary The School of St Jude is an educational institution, entirely funded by charitable donations, that provides free, high-quality primary and secondary scholarships to...
  5. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi Baylor Tanzania

    Watoa Huwanyu (HBCs) (3) Posted by: Baylor Tanzania Location: Mbeya Baylor College of Medicine Childrens Foundation – Tanzania ni shirika lisilo la Kiserikali (NGO) maalum kwa kusaidia kutoa huduma zenye ubora wa hali ya juu, huduma fahamishi za maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (HIV/AIDS) na...
  6. J

    Siyo mzee Mangula tu hata Mbowe aliwahi kuanguka baada ya kufanya kazi kwa muda mrefu akalazwa hapo hapo Muhimbili

    Ni katika kuweka kumbukumbu sawa tu. Mwenyekiti wa CHADEMA aliwahi kuishiwa nguvu na kulegea ghafla hali iliyosababisha wasaidizi wake wamkimbize Hospitali ya Taifa Muhimbili. Taarifa ya madaktari ilieleza baadae kuwa hali hiyo ilisababishwa na uchovu baada ya Freeman kuwa amefanya kazi kwa...
  7. Analogia Malenga

    Askari aliyembaka mtoto wa askari mwenzake afukuzwa kazi

    Askari wa kikosi cha usalama barabarani, Willium Mwakatage anayedaiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa la saba, ambaye ni mtoto wa askari mwenzake amefukuzwa kazi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Salum Hamduni amesema taratibu za kijeshi zimekamilika ikiwa ni pamoja na kumfukuza kazi...
  8. K

    Bila kuchelewa, Serikali ya Tanzania ijipambanue kupata uchaguzi huru na haki ili kuondoa upotoshaji

    Kwanza naomba Mods, uzi huu usiunganishwe na nyengine. Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na kauli mbali mbali kuhusu Madai ya tume huru ya uchaguzi Tanzania. Si vyama vya upinzani tu lakini hata wadau wa maendeleo na demokrasia wamesikika wakihimiza kwa serikali kuleta tume huru ya uchaguzi...
  9. K

    Kwa wanasiasa wengi siasa ni kazi

    Kuna wanasiasa wachache sana kwenye nchi zetu zinazoendelea wanafanya kazi ya siasa kama wanaharakati wa maendeleo. Wengi wa wana siasa wanafanya siasa kama kazi. Nchi zetu hizi ambazo ndiyo zina jitahidi kuanza kuleta maendeleo watu wengi wanaona wanasiasa ndiyo wenye pesa na magari mazuri...
  10. Miss Zomboko

    Rwanda: Waziri wa Afya atimuliwa kazi kwasababu ya Corona

    Rais Paul Kagame wa Rwanda amfuta kazi Waziri wa Afya wa nchi hiyo Dkt Gashumba kwa madai kwamba Waziri huyo alimdanganya juu ya uwepo wa vifaa tiba kwa ajili ya kupima virusi vya Corona, Covid-19. Akizungumza katika mkutano wa kitaifa wa viongozi kujitathimini, Rais Paul Kagame alisema...
  11. Sky Eclat

    Kuanzia kazi kijijini kunaweza kuwa nafasi bingo ya maisha

    Kuanzia kazi kijijini kunaweza kuwa nafasi bingo ya maisha, vijana wengi hawapendi kuanzia kazi vijinini. Hii ni kutokana na miundo mbinu kuwa mibovu zaidi huko vijijini Fikiria unaanza kazi kama tabibu, nesi, mwalimu, bwana kilimo kijijini. Unakuta kuna nyumba yenye maji na umeme, japo...
  12. Analogia Malenga

    Wahadhiri wawili wasimmisha kazi kwa shutuma za unyanyasaji wa kijinsia

    Chuo Kikuu cha Ghana kimesimamisha wahadhiri wawili, Profesa Ransford Gyampo na Dk Paul Kwame Butakor, kwa vipindi tofauti bila mshahara Video iliyochukuliwa na waandishi ilionyesha udhalilishaji wa kijinsia wa wahadhiri hao katika taasisi kubwa huko Afrika Magharibi. Wote walikana madai hayo...
  13. LIKUD

    Tetesi: Hii ndio sababu ya kiroho kwanini watu wanaookota chupa za plastiki wengi huwa wanaishia kuwa wendawazimu

    Come.to think of it. Asilimia kubwa ya watu wanao jiingiza katika ujasiriamali WA kukusanya makopo na chupa za plastiki na kisha kwenda kuziuza viwandani huwa wanaishia kuwa wehu kabisa na kuanza kuokota makopo Ile ya kiuwehu wehu kabisa. Binafsi nimewashuhudia watu wengi Tu ambao...
  14. M

    Bwana Senzia Lushino, Afisa Tarafa Kata ya Moshi Magharibi Amsimamisha Kazi Mwalimu Honest Shirima kuanzia leo

    Afisa Tarafa ya Moshi Magharibi Bwana Senzia Lushino mwishoni mwa wiki hii ametembelea Shule ya Sekondari Korongoni iliyoko manispaa ya Moshi Mjini katika kata ya Soweto na kukuta Mwalimu mtoro sugu bwana Honest Shirima hayupo. Mwalimu huyo anatumia muda mwingi kuendesha Bajaj mjini moshi muda...
  15. Victor Mlaki

    Nguvu ya uumbaji ilishafanya kazi yake nzuri ya uumbaji, ni binadamu ndiye aliye uwanjani sasa

    Binadamu ni kiumbe aliyejaliwa uwezo mkubwa sana kuliko viumbe wengine wengi Duniani. Binadamu leo anaweza kuumba ayatakayo ikiwa tu atauelewa ilimwengu wa ndani unavyofanya kazi yake. Kwanza kabisa tunapaswa kujua hakuna kitu chochote alichokiumba mwanadamu ambacho hakijaanzia ndani yake. Leo...
  16. I

    Nafasi ya kazi Open University of Tanzania - Marketing Officer II

    JOB TITLE: MARKETING OFFICER II - 1 POST JOB CATEGORY(S): MARKETING,MEDIA AND BRAND EMPLOYER: Open University of Tanzania - OUT APPLICATION DEADLINE: February 24, 2020 VIEW & APPLY
  17. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi Dar es Salaam na Geita katika Taasisi ya Management and Development for Health (MDH)

    JOB ANNOUNCEMENT Management and Development for Health (MDH) is a non-profit, non-governmental organization whose primary aim is to contribute to addressing public health priorities. All job positions below require significant field work. MDH seeks to recruit qualified individuals to fill the...
  18. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi kutoka Kituo cha Ufundishaji Data cha Afrika Mashariki, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania na Ofisi ya Mwanasheria ya Serikali

    UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.EA.7/96/01/K/154 11th February 2020 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of The Open University of Tanzania (OUT), The Eastern Africa Statistical Training Centre (EASTC) and The Office of the Solicitor...
  19. J

    Natafuta msichana wa kazi za ndani

    Natafuta msichana wa kazi za ndani wa kukaa na mama yangu. Awe mtu mzima mwenye uwezo mzuri wa kazi. Awe tayari kulala nyumbani ninapoishi na siyo wa kwenda na kurudi. Awe na stamina ya kudumu kwenye kazi na siyo mbabaishaji. Mshahara Tshs 80,000 /- akifanya vizuri naweza kumwongeza baada ya...
  20. R

    Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

    Inawezekana kweli ametenda kosa kuchana Qurani, amewaudhi wengine, Lakini 1. Kuna taratibu tumejiwekea za kushughulka na watu kama hao wanaoamsha hasira za wengine! Uliapa kulinda katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo. Kunatartibu! Wewe huna mamlaka ya kisheria kumwajibisha. Mihemko ya...
Back
Top Bottom