Sifa ya kwanza ni kuwa natafuta msichana maridadi/ mrembo/ mchangamfu anayeishi Dar ili tuweze kufanya biashara ya kutuma na kupokea fedha - mhusika ataanza kufuatilia michakato yote na kusimika hii biashara kwa usaidizi wangu. Biashara itafanyika katika moja ya suburbs za mji wa Dar.
Awe ni...
Rais anaposonga mbele, aliyoagiza nyuma yanasahaulika. Muongozo ulitolewa na serikali ya awamu hii ikiwa ni pamoja na ofisi za serikali kuhamia majumba ya serikali, mikutano kufanyika nyumba za serikali, kazi za ushauri kufanywa na taasisi za serikakali. Nionacho ni mapambano kati ya tabia za...
Kenya Airways’ decision to suspend employee Gire Ali has been voided by a Nairobi court after he moved to court to challenge the move.
At the same time, the court also stopped the Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) from arresting and charging Mr. Gire.
Gire, an Assistant...
Position: Facilities Officer
Ref: TSOSJ/ HR/BO/PR/FT/01/20
Location: Moshono Business Office, Arusha, TANZANIA.
Job Summary
The School of St Jude is an educational institution, entirely funded by charitable donations, that provides free, high-quality primary and secondary scholarships to...
Watoa Huwanyu (HBCs) (3)
Posted by: Baylor Tanzania
Location: Mbeya
Baylor College of Medicine Childrens Foundation – Tanzania ni shirika lisilo la Kiserikali (NGO) maalum kwa kusaidia kutoa huduma zenye ubora wa hali ya juu, huduma fahamishi za maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (HIV/AIDS) na...
Ni katika kuweka kumbukumbu sawa tu.
Mwenyekiti wa CHADEMA aliwahi kuishiwa nguvu na kulegea ghafla hali iliyosababisha wasaidizi wake wamkimbize Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Taarifa ya madaktari ilieleza baadae kuwa hali hiyo ilisababishwa na uchovu baada ya Freeman kuwa amefanya kazi kwa...
Askari wa kikosi cha usalama barabarani, Willium Mwakatage anayedaiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa la saba, ambaye ni mtoto wa askari mwenzake amefukuzwa kazi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Salum Hamduni amesema taratibu za kijeshi zimekamilika ikiwa ni pamoja na kumfukuza kazi...
Kwanza naomba Mods, uzi huu usiunganishwe na nyengine.
Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na kauli mbali mbali kuhusu Madai ya tume huru ya uchaguzi Tanzania.
Si vyama vya upinzani tu lakini hata wadau wa maendeleo na demokrasia wamesikika wakihimiza kwa serikali kuleta tume huru ya uchaguzi...
Kuna wanasiasa wachache sana kwenye nchi zetu zinazoendelea wanafanya kazi ya siasa kama wanaharakati wa maendeleo. Wengi wa wana siasa wanafanya siasa kama kazi. Nchi zetu hizi ambazo ndiyo zina jitahidi kuanza kuleta maendeleo watu wengi wanaona wanasiasa ndiyo wenye pesa na magari mazuri...
Rais Paul Kagame wa Rwanda amfuta kazi Waziri wa Afya wa nchi hiyo Dkt Gashumba kwa madai kwamba Waziri huyo alimdanganya juu ya uwepo wa vifaa tiba kwa ajili ya kupima virusi vya Corona, Covid-19.
Akizungumza katika mkutano wa kitaifa wa viongozi kujitathimini, Rais Paul Kagame alisema...
Kuanzia kazi kijijini kunaweza kuwa nafasi bingo ya maisha, vijana wengi hawapendi kuanzia kazi vijinini. Hii ni kutokana na miundo mbinu kuwa mibovu zaidi huko vijijini
Fikiria unaanza kazi kama tabibu, nesi, mwalimu, bwana kilimo kijijini. Unakuta kuna nyumba yenye maji na umeme, japo...
Chuo Kikuu cha Ghana kimesimamisha wahadhiri wawili, Profesa Ransford Gyampo na Dk Paul Kwame Butakor, kwa vipindi tofauti bila mshahara
Video iliyochukuliwa na waandishi ilionyesha udhalilishaji wa kijinsia wa wahadhiri hao katika taasisi kubwa huko Afrika Magharibi. Wote walikana madai hayo...
Come.to think of it.
Asilimia kubwa ya watu wanao jiingiza katika ujasiriamali WA kukusanya makopo na chupa za plastiki na kisha kwenda kuziuza viwandani huwa wanaishia kuwa wehu kabisa na kuanza kuokota makopo Ile ya kiuwehu wehu kabisa.
Binafsi nimewashuhudia watu wengi Tu ambao...
Afisa Tarafa ya Moshi Magharibi Bwana Senzia Lushino mwishoni mwa wiki hii ametembelea Shule ya Sekondari Korongoni iliyoko manispaa ya Moshi Mjini katika kata ya Soweto na kukuta Mwalimu mtoro sugu bwana Honest Shirima hayupo.
Mwalimu huyo anatumia muda mwingi kuendesha Bajaj mjini moshi muda...
Binadamu ni kiumbe aliyejaliwa uwezo mkubwa sana kuliko viumbe wengine wengi Duniani.
Binadamu leo anaweza kuumba ayatakayo ikiwa tu atauelewa ilimwengu wa ndani unavyofanya kazi yake. Kwanza kabisa tunapaswa kujua hakuna kitu chochote alichokiumba mwanadamu ambacho hakijaanzia ndani yake.
Leo...
JOB TITLE: MARKETING OFFICER II - 1 POST
JOB CATEGORY(S): MARKETING,MEDIA AND BRAND
EMPLOYER: Open University of Tanzania - OUT
APPLICATION DEADLINE: February 24, 2020
VIEW & APPLY
JOB ANNOUNCEMENT
Management and Development for Health (MDH) is a non-profit, non-governmental organization whose primary aim is to contribute to addressing public health priorities. All job positions below require significant field work. MDH seeks to recruit qualified individuals to fill the...
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.No.EA.7/96/01/K/154
11th February 2020
VACANCIES ANNOUNCEMENT
On behalf of The Open University of Tanzania (OUT), The Eastern Africa Statistical Training Centre (EASTC) and The Office of the Solicitor...
Natafuta msichana wa kazi za ndani wa kukaa na mama yangu. Awe mtu mzima mwenye uwezo mzuri wa kazi. Awe tayari kulala nyumbani ninapoishi na siyo wa kwenda na kurudi.
Awe na stamina ya kudumu kwenye kazi na siyo mbabaishaji.
Mshahara Tshs 80,000 /- akifanya vizuri naweza kumwongeza baada ya...
Inawezekana kweli ametenda kosa kuchana Qurani, amewaudhi wengine, Lakini
1. Kuna taratibu tumejiwekea za kushughulka na watu kama hao wanaoamsha hasira za wengine! Uliapa kulinda katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo. Kunatartibu! Wewe huna mamlaka ya kisheria kumwajibisha. Mihemko ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.