Suala la Usalama na Afya mahali pa kazi ni muhimu kuangaliwa kwa makini tunakoelekea kwenye uchumi wa kati unaoongozwa na viwanda ili kuokoa maisha ya wengi.
Shirika la kazi Duniani (ILO) limeonesha kuwa kila sekunde 15 mfanyakazi mmoja hupoteza maisha na ndani ya saa 24 wafanyakazi 5760...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 11, Febuari, 2020 anazindua Jengo la Manispaa ya Kigamboni na Jengo la Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni katika Eneo la Gezaulole Kigamboni Jijini Dar es Salaam
Rais Magufuli akikata utepe wa uzinduzi wa Jengo hilo...
Rais Magufuli akiwa leo anazindua Jengo la Manispaa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kigamboni amemsifu Waziri Jafo kwa kumsimamisha kazi lakini amesema yeye amemfukuza kabisa.
Amesema "Juzi nilimsikia Waziri Jafo, Mtu mmoja kule Kilosa nafikiri alichana Kitabu Kitabu Kitakatifu. Nashukuru ulichukua...
Nakubaliana kabisa na kauli hii ya mh Jaffo kwamba Rais Magufuli atakwenda peponi kutokana na kujitoa kwake kwa hali na mali katika kuwatumikia wananchi wanyonge.
Hata Yesu alisema si kila amuitaye Bwana....Bwana ataingia katika ufalme wa mbinguni bali wale wayatimizayo mapenzi ya Mungu.
Mh...
TPB Bank PLC is a Bank that provides competitive financial services to our customers and creates value for our stakeholders through innovative products.
TPB Bank PLC is a Bank, whose vision is “to be the leading bank in Tanzania in the provision of affordable, accessible and convenient...
The Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority (AUWSA) is a legally established entity responsible for the overall operations and management of water supply and sanitation services in Arusha City. It is among of the best Authorities in Tanzania.
The core function of the Authority is to...
Awamu iliyopita
Mainjinia 30 wanahitajika Tanesco.
Majina ya waalimu yanatoka lini?
Wanaotaka tubadilishane mikoa tukutane hapa (baada ya kupangiwa ajira).
Jamani nimechoka na hii kazi natamani nibadili licha ya mshahara mnono kwa sababu ya majungu.
Umebadilisha kazi mara ngapi hadi sasa?
Ni...
Hofu hiyo inatokana na kile alichokiita mfululizo wa vitisho vilivyotolewa na viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Hofu hiyo ya Zitto imeibuka baada ya Kiongozi Mkuu huyo ACT Wazalendo kuandika barua kwa Benki ya Dunia (WB) kuitaka kusitisha mkopo wa Dola za Marekani milioni 500...
Kwa wale wanaopenda kufanya kazi kwenye mashirika ya ndege, hapa kuna nafasi mpya moja ya kazi Precision Air. Maelezo yote soma kwenye PRECISION AIR VACANCIES
Dar es Salaam. Siku mbili baada ya Bunge la Seneti kumuondolea mashtaka yaliyokuwa yakimkabili Rais wa Marekani, Donald Trump amewafukuza kazi maofisa wake waandamizi wawili waliotoa ushahidi kwenye mchakato wa kumuondoa madarakani.
Trump ambaye alikuwa anakabiliwa na mashtaka ya matumizi...
Mtumishi wa Serikali aliyechana Quraan Tukufu asimamishwa kazi, Taarifa hiyo imetolewa leo na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Suleiman Jaffo.
RPC Morogoro Wilbroad Mutafungwa amethibitisha kukamatwa kwa kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Daniel Maleki, kwa kosa la kuchana na kuchoma moto kitabu cha...
“Tancoal is a limited liability company incorporated and operating in Tanzania. Tancoal is largely a Coal mining and trading company with its mine situated at Ngaka, Mbalawala Area, Mbinga District, Ruvuma Region. ’Tancoal welcomes candidates to join the company to fill the below mentioned post...
Job no: 492662
Work type: Regular Full-Time
Location: Tanzania - Dar es Salam
Categories: Technical/Clinical/Quality Improvement/Training
ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City, seeks highly...
The International Institute of Tropical Agriculture (IITA) on behalf of the International Rice Research Institute CIRRI) invites applications for the position of Seed Systems Specialist
Background:
IRRI develops and promotes new rice technologies such as high yielding varieties, climate and...
Job Description
Tanzania Tree Growers Associations Union (TTGAU) is a member based organization established in 2017 with headquarters in Njombe. TTGAU aims at promoting the interests of tree growers who are organized in tree growers associations (TGAs); build and strengthen networking amongst...
Position: QR22737 - Airport Services Duty Officer
Organisation:Qatar Airways
Job Function:Ground Services
Division:Kilimanjaro - JRO
Employment Type:Full Time - Permanent
City: Africa | Tanzania | Kilimanjaro
Last date of application:27-Feb-2020
Qatar Airways
Welcome to a world where ambitions...
Ninaenda kwenye uchaguzi Mkuu 2020 bila kujua mchango wa Mbunge wangu bungeni.
Bunge live lilisaidia wengi kutathmini japo sio kwa asilimia zote uimara wa Wabunge wetu kifikra.
Awali, aliyekuwa Waziri wa Habari alitoa tamko kuwa Bunge Live muda wa kazi linafanya watu waache kufanya kazi za...
SME Relationship Officers (8 posts)
AccessBank Tanzania (ABT) is a commercial bank with a special focus on microfinance. With very strong international shareholders such as AccessHolding, International Finance Corporation (World Bank), KfW, African Development Bank and MicroVest. ABT’s vision is...
Ebenezer Television ni kituo kipya cha habari ambacho kinatarajia kuanza kurusha matangazo yake kutokea Mikocheni Dar es Salaam. Kituo kinahitaji wafanyakazi katika Nyanja zifauatazo;
A. NAFASI ZA AJIRA
1. Mhariri Mkuu – Nafasi moja (1)
Awe na Shahada ya Uandishi wa Habari au Mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.