Habari zenu ndugu zangu!
Mimi ni kijana (ME) mwenye umri wa miaka 23, naishi Dar es salaam, Elimu yangu-Shahada ya usimamizi wa rasilimali watu ( Bachelor degree in Human resource management).
Natafuta kazi itakayo nipatia kipato cha halali, kazi ambazo ninaweza kuzifanya ni kama ifuatavyo...
Watumishi wa Mungu aliye hai huwa wana msemo wanautumia hasa wakiudhiwa
"Usicheze na masihi wa BWANA"
Nakumbuka kuna bifu kali kati ya RC mpendwa na masihi wa BWANA.
Ila nakumbuka masihi wa Bwana alitoa maneno makali Sana kibiblia yanaitwa LAANA.
Najaribu kuwaza tu,kwamba it was a matter of...
Taarifs kwa watumiaji wa gesi,
Kuanzia tar 5 feb gesi itapanda rasmi usishangae mabadiliko haya kwenye maduka madogo ya gesi
Beo wanazotakiwa kuuza n
Kg 15 54'000
Kg 6. 22'000
KG 38. 105" 000
Kumbuka hii ni bei elekezi tu muuzaji anaweza kupanda zaidi ya hapa
Ahsanteni kwa uvumilivu wenu...
1. Position: Mkuu wa Shule
ELCT- ECD
Job Summary
SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA MKUZA inatafuta MKUU WA SHULE haraka!
SIFA ZA MWOMBAJI:
Awe na Shahada ya kwanza ya Elimu au Shahada ya uzamili ya Elimu
Awe na uzoefu wa zaidi ya miaka mitano katika nafasi ya Mkuu wa Shule/Makamu Mkuu wa...
Jengo la hospitali kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wa corona katika jimbo la wuhan nchini China limekamirika ndani ya siku 10 na limeanza kupokea wagonjwa.
Angalia hapa 👇
Company: Buckreef Gold Company Ltd
Location: Tanzania
State: Geita
Job type: Full-Time
Background
Buckreef gold company ltd is a joint venture company between state mining corporation (stamico) and tanzam2000 ltd, a subsidiary of tanzanian gold corporation is seeking to employe “suitable...
MILAMBO CU (2018) LTD - REG. NO. 5604
Milambo Co - operative Union Limited (Milambo CU Ltd) is vested with the duties of providing high quality services to all tobacco farmers within the two District Councils (Urambo and Kaliua), now is wishing to recruit highly motivated and dynamic staffs to...
Company: TAFFA
Location: Tanzania
State: Dar Es Salaam Jobs
Job type: Full-Time
Job category: Administrative/Secretarial Jobs in Tanzania
Job Description for the position of Chief Executive Officer
Main Purpose of the Job
The position entails the overall management and administration of the...
Background
Braeburn International School Arusha is a co-educational day and boarding school catering for both the international and Tanzanian community. Accredited by the Council of International Schools, we have earned a reputation for high academic standards, a rich extra-curricular programme...
Tutawaletea Moja kwa Moja Mkutano wa Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na Wandishi wa Habari wa Tanzania na wakimataifa Kuhusu Mambo mbalimbali ya Nchi
Updates
------------
Mbowe atahadharisha hali ya hatari uchaguzi mkuu, Amlima Barua Rais
-------------
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe...
Hi to you all.
Kuna mtu anatafuta dada wa kazi ya kuuza duka la cosmetics. Umri 20 to 30 awe anaishi Tanga. Ambaye yuko interested ani PM Mawasiliano yake for more details.
Asanteni.
.....na copy na ku paste words, lakini imekataa ku copy wala ku paste words toka kwenye picha.
Yaani inakuwa km ina copy picture yote badala ya ku copy words peke yake, maana Mimi nina shida na words nilizopiga picha
Wajuvi naombeni muongozo wenu.
cc: ma chief wote wa jukwaa la tech.
Kwa wale wote mlioomba kazi katika shirika la msalaba mwekundu huu ndo uwanja wenu wa kupeana taarifa zozote zinahusu shirika hili,na kwa wale ambao hawajaomba niwakumbushe tu leo ndio mwisho.nataka nione ufanisi wa saili kwa mashirika ya huko nyumbani
Haijalishi umeomba kitengo gani, Tupeane...
Hili swala la kuchepuka sisi tunalichukulia tofauti sana na wanawake. Nikigundua mwanamke wangu anachepuka ugomvi wake sio wa kitoto na uhusiano unafia hapo hapo.
Mwanamke anaweza gundua unachepuka halafu ikawa ishu ndogo tu ikaisha kirahisi sana.
Nina mwanamke wangu anafanya kazi mkoani, kila...
Pre/Order:-MASHINE YAKUKANDIA UNGA.
Hii ni mashine yakukandia unga wa ngano kwaajili ya kazi mbalimbali kama vile keki,mikate,maandazi nk
Zipo size tofauti tofauti na bei ziko tofauti tofauti angalia kwenye picture bei zake na size zake.
KARIBUNI SANA.
Tunaleta bidhaa hii kwa ODA TU
Sielewi ziara za viongozi wakubwa zote Chato.
Naona harakati za kuikuza Dodoma zinadumaa kwa style hii.
Na kwa style hii tunachanganya watendaji hatujui nguvu waeke wapi Dodoma au Chato?
Kuna muda itafika tutawalaumu mawaziri na manaibu wao bure tu.
Naendelea kuuliza je mipango hii ilikuwepo...
Watu milioni 470 ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au hawana kazi nzuri ya kuwawezesha kujenga mustakabali bora. Hayo ni kulingana na ripoti ya kila mwaka ya Shirika la Kazi Duniani ILO
Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu milioni 470 kwa sasa ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au...
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Félix Tshisekedi ametishia kuwafuta kazi Mawaziri wake na hata kulivunja bunge, iwapo washirika wake wa kisiasa ambao wanaegemea katika mrengo wa rais wa zamani Joseph Kabila, wataendelea kumdharau.
Tshisekedi amesema kuna baadhi ya Mawaziri ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.