kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi The 2030 Water Resources Group (2030 WRG)

    Position: Country Coordinator Local Term Appointment (One Hunched and Fifty (150) days, Renewable) Location: Dar Es Salaam, Tanzania Hosted by the World Bank, the 2030 Water Resources Group (2030 WRG – www.2030wrg.org) is a public-private- civil society partnership that supports governments and...
  2. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi ICAP

    Job no: 492769 Work type: Regular Full-Time Location: Tanzania – Kagera Categories: Program Management/Implementation/Support The Field Assistant supports day-to-day field implementation of a community-based HIV testing and prevention program targeting key and vulnerable populations (KVP). S/he...
  3. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi Halmashauri ya wiliya ya Ulanga

    MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III - NAFASI MOJA (I) SIFA ZA MWOMBAJI Awe na elimu ya kidato cha nne (IV) au sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo Utawala, Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamazi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii, Hombolo Dodoma au Chuo chochote...
  4. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi TPC

    POST POSTAL OFFICER II – 46 POST POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION TAXATION AND SOCIAL PROTECTION EMPLOYER TANZANIA POSTS CORPORATION TPC APPLICATION TIMELINE: 2020-03-07 2020-03-21 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES To check counter’s imprest for stamps, cash and other saleable...
  5. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi Vodacom

    1. Position EHOD: Dar-Coast & Lake(2 posts) Posting Country: Tanzania, United Republic of Full Time / Part Time: Full Time Contract Type: Permanent Joining Vodacom is more than a job, what we do matters. We don’t just carry minutes, texts and data – we carry people’s lives. And that’s a huge...
  6. Makirita Amani

    USHAURI: Kama umehitimu shahada na huna kazi, fanya mambo haya matano

    Karibu rafiki kwenye makala yetu ya ushauri wa changamoto inayokuzuia kufikia mafanikio makubwa uliyopanga kufikia. Hakuna mtu asiye na changamoto, wale unaowaona wamefanikiwa sana, siyo kwamba hawana changamoto, ila wanakabiliana nazo na kuzivuka. Hivyo usiombe kutokuwa na changamoto, bali...
  7. Dukani

    Nahitaji kazi yoyote ya kutumia nguvu

    Kutokana na ugumu wa maisha natafuta kazi yoyote. Kama kuna mwenye connection na miradi ya barabara, maji nk, aniunganishe nipo tayari kuchimba hata mitaro. Nipo Arusha.
  8. Sky Eclat

    Harry na Meghan wako London kumalizia majukumu yao ya mwisho ya kazi za Kifalme.

    Meghan ameamua kuvaa gauni la blue bahari lilitengenezwa na kampuni ya mitindo ya Victoria Beckham gharama za gauni ni £950. Hii ilikua hatua yake ya kumaliza ugomvi wake na Victoria. David na Victoria walikuwa ni baadhi ya wageni walioalikwa kwenye harusi ya Harry na Meghan. Baada ya hapo...
  9. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi VETA

    The Vocational Education and Training Authority (VETA) is an autonomous Government Agency established by the Act of Parliament No. 1 of 1994. VETA is responsible for regulating, coordinating, financing and providing Vocational Education and Training in Tanzania. VETA is an equal opportunity...
  10. Pascal Mayalla

    Habari njema za uchumi wa Tanzania kimataifa: IMF yakubali Magufuli anapiga kazi nzuri, kumuunga mkono kwa kuimwagia mabilioni ya maendeleo mwezi Mei

    Wanabodi, Angalizo la kuzuia kukereka. Kuna members humu wanakereka na kukasirika pale serikali ya Tanzania, au rais Magufuli na serikali yake anapofanya vizuri kustahili pongezi, Hivyo tusiharibiane siku leo mwanzo wa weekend, wewe kama uko kundi hili, naomba uishie hapa ili usije kuharibu...
  11. Erythrocyte

    Sasa ni dhahiri Mbatia akubali kufanya kazi ya CCM

    Hapa akizuga kukamatwa ili ionekane hakutumwa Hapa akifanya kazi halisi aliyotumwa kuitekeleza ya kupokea walioitwa wanachama wa Chadema , hakuna mwanaccm wala mwingine wa chama kingine . Swali ni hili , kazi hii aliyopewa na kulipwa ujira wake ataweza kuifanya au itamtokea puani ? ...
  12. Parabora

    Viongozi wasio na maono, weledi na ubovu wa mifumo unaifanya serikali kulipa watumishi wengi wasiokuwa majukumu ya kazi

    Nasema hili nikiwa nimeliona katika ofisi nyingi za serikali baada ya kurudi likizo huko nyumbani, Serikali inatumia gharama nyingi sana kulipa mishahara na posho za watumishi lakini ni wachache sana, wachache mno wanaofanya kazi, wengi wao wanaripoti na kupiga soga mda wote wakiwa kazini...
  13. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi, Udereva na Associate Project Manager EGPAF

    The Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation is a global leader in the fight against pediatric HIV and AIDS, working in 19 countries and supporting close to 6,000 sites around the world to prevent the transmission of HIV to children, and to facilitate access to services for those already...
  14. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi Istituto Oikos

    Istituto Oikos is an independent association founded in 1996 in Milan, which operates in Europe, Africa, Asia and South America, to promote the conservation and sustainable management of natural resources as a tool for economic and social development. To this end, it encourages cooperation and...
  15. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi(22) DIT

    Dar es Salaam Institute of Technology Dar es laam Institute of Technology (DIT) which is an equal opportunity Public employer invites qualified Public Servants to fill the following vacant posts at MWANZA and MYUNGA CAMPUSES by transfers. 1.0. GENERAL CONDITIONS All applicants must be Public...
  16. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi, House manager, Ubalozi wa Marekani

    The U.S. Embassy is seeking for an individual for the position of House Manager for a senior level diplomat. OPEN TO: ALL ORDINARILY RESIDENT (OR) APPLICANTS. MUST HAVE THE REQUIRED WORK AND/OR RESIDENCY PERMITS TO BE ELIGIBLE FOR CONSIDERATION. OPENING DATE: March 4, 2020 CLOSING DATE...
  17. M

    Nafasi ya kazi ya Office Messenger Dar es Salaam

    Affluence Training Ltd inatangaza nafasi 1 ya kazi ya Office Messenger- Dar Es Salaam kwa mkataba wa muda maalum. SIFA: Awe kijana wa Kiume, anayefahamu baadhi ya Mitaa ya Jiji la Dar Es Salaam, Awe anajua Kusoma na Kuandika tu, awe ana uwezo wa kujieleza kwa ufasaha, awe tayari kufanya kazi za...
  18. Mema Tanzania

    Je, wajua kazi zinazofanywa na wanawake zingetengeneza nusu ya ajira?

    Wanawake nchini Tanzania hutumia wastani wa zaidi ya masaa 6 kwa siku kufanya kazi zisizokuwa na malipo kama kupika, kuchota maji - ukilinganisha na masaa 3 tu wanayotumia wanaume. Kama kazi wanazofanya zingegeuzwa kuwa za malipo zingetengeneza zaidi ya nusu ya ajira zilizopo. #IWD2020 #EachforEqual
  19. T

    Natafuta msichana wa kazi mwenye sifa hizi

    Sifa ya kwanza ni kuwa natafuta msichana maridadi/ mrembo/ mchangamfu anayeishi Dar ili tuweze kufanya biashara ya kutuma na kupokea fedha - mhusika ataanza kufuatilia michakato yote na kusimika hii biashara kwa usaidizi wangu. Biashara itafanyika katika moja ya suburbs za mji wa Dar. Awe ni...
Back
Top Bottom