Mtumishiwetu
Senior Member
- Jul 13, 2022
- 187
- 334
Kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram Waziri wa Kilimo Leo Julai 13, 2022 amekutana kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Bi. Victoria Kwakwa kujadili maeneo ya ushirikiano kwenye IDA20.
Pamoja na mambo mengine Bashe amesema mazungumzo yao pia yamegusia Swala la bei ya mbolea, na mpango wa serekali kutoa Ruzuku kwenye msimu unaokuja wa kilimo na kuwa swala la Ruzuku kuwa Temporary measure kipindi hiki ambacho hali ya mbolea kupanda linapewa kipaumbele.
Na uamuzi Wizara kurudisha mfumo wa Bulk procurement kwenye sekta ya mbolea ili kuwasaidia wazalishaji wa ndani, jambo hili Bashe alililikataa mwenyewe Bungeni wakati akihitimisha Bajeti ya Wizara ya Kilimo na Baadaye wakati wa kuhitimisha Bajeti Kuu ya Serikali na kwa nyakati zote alitumia lugha chafu za kumshambulia Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina kuwa amepotosha kuhusu suala la Mbolea alipohoji kwanini Serikali iliua mfumo wa Bulk Procument na kufuta bei elekezi ya mbolea iliyosababisha wakulima kuuziwa mbolea kwa bei kubwa sana.
Leo Bashe anaungana na ushauri wa Mpina na kuufanyia kazi kwa kurejesha mfumo wa BPS ambao ulisaidia sana kupunguza bei ya mbolea huku tayari Bashe alishalihadaa Taifa kupitia Bunge kwamba Mpina amepotosha.
Mpina alitaka iundwe Tume ya Bunge kuchunguza suala la bei ya Mbolea lakini hakusikilizwa.
Ushauri wangu kama Bashe amejitokeza hadharani na kuonesha kuwa yeye ndiye alidanganya kuna umuhimu bajeti nzima ikawa imejaa mambo ambayo sio ya kawaida mfano mdogo ni huu wa mbolea
@bashehussein?
Pamoja na mambo mengine Bashe amesema mazungumzo yao pia yamegusia Swala la bei ya mbolea, na mpango wa serekali kutoa Ruzuku kwenye msimu unaokuja wa kilimo na kuwa swala la Ruzuku kuwa Temporary measure kipindi hiki ambacho hali ya mbolea kupanda linapewa kipaumbele.
Na uamuzi Wizara kurudisha mfumo wa Bulk procurement kwenye sekta ya mbolea ili kuwasaidia wazalishaji wa ndani, jambo hili Bashe alililikataa mwenyewe Bungeni wakati akihitimisha Bajeti ya Wizara ya Kilimo na Baadaye wakati wa kuhitimisha Bajeti Kuu ya Serikali na kwa nyakati zote alitumia lugha chafu za kumshambulia Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina kuwa amepotosha kuhusu suala la Mbolea alipohoji kwanini Serikali iliua mfumo wa Bulk Procument na kufuta bei elekezi ya mbolea iliyosababisha wakulima kuuziwa mbolea kwa bei kubwa sana.
Leo Bashe anaungana na ushauri wa Mpina na kuufanyia kazi kwa kurejesha mfumo wa BPS ambao ulisaidia sana kupunguza bei ya mbolea huku tayari Bashe alishalihadaa Taifa kupitia Bunge kwamba Mpina amepotosha.
Mpina alitaka iundwe Tume ya Bunge kuchunguza suala la bei ya Mbolea lakini hakusikilizwa.
Ushauri wangu kama Bashe amejitokeza hadharani na kuonesha kuwa yeye ndiye alidanganya kuna umuhimu bajeti nzima ikawa imejaa mambo ambayo sio ya kawaida mfano mdogo ni huu wa mbolea
@bashehussein?