The National Assembly of Tanzania (Swahili: Bunge la Tanzania) and the President of the United Republic make up the Parliament of Tanzania. The current Speaker of the National Assembly is Job Ndugai, who presides over a unicameral assembly of 393 members.
Ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Spika amepewa Mamlaka ya kufuta Mchango wa Mbunge yoyote alioutoa bungeni..
Anaweza fanya hivyo kwa chuki, ubabe, bifu, au kumfurahisha Rais aliyepo madarakani.
Nashauri Sheria hii ifutwe kwani inaminya uhuru wa kujieleza..
Kama kuna...
05 May 2026
Dodoma, Tanzania
LIVE / MUBASHARA : Rais William Ruto Akihutubia Bunge la Tanzania || Mei 5, 2026
RUTO - MAADUI WETU SI WATANZANIA AU WAKENYA MAADUI WETU NI UKOSEFU WA AJIRA, UMASIKINI, MARADHI, NARUDIA WATANZANIA NA WAKENYA SI MAADUI WETU
https://m.youtube.com/watch?v=mimwwdurzMU...
https://www.youtube.com/watch?v=WEGofJlMUxU
Leo saa tano asubuhi, Rais wa Jamhuri ya Kenya, William Kipchirchir Samoei Arap Ruto, anatarajiwa kulihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikiwa ni mara ya kwanza katika historia kwa Rais wa Kenya kufanya hivyo.
Kwa upande mwingine...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais Wa Kenya Mheshimiwa William Rutto Anatarajiwa kuwasili Nchini kwa ziara ya kikazi Kwa Mualiko Maalumu Wa Rais wetu Mpendwa na Mbeba Maono wa Taifa letu Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Ambapo Mheshimiwa William Rutto katika ziara hiyo Atatua pia...
Rais wa Jamhuri ya Kenya Wiliam Ruto, anatarajiwa kuja Tanzania na kulihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, May 5, 2026 siku ya Jumanne Bungeni Jijini Dodoma.
Naibu Spika Daniel Baran Sillo (MB), ametoa taarifa hiyo kwa Wabunge wa Tanzania kuhusu ujio wa ugeni wa Rais wa Jamhuri ya...
Ni vyema sasa na wabunge wetu wakapewa nafasi ya kuwajibu hawa mabeberu wenye kushirikiana na vibaraka wao ambao kazi yao ni kuchafua taswira ya Tanzania.
Utashangaa kabunge kabinti hata ubwabwa wa shngo haujatoka kabasimama kuiongelea Tanzania vibaya
Habari ndugu zangu wa Tanzania.
Kwa jina la Hifadhi au Kificho naitwa Mr. X, na napenda kujitambulisha kwa jina hilo huku nikificha taarifa zangu zote za elimu, umri, na anuani ya makazi. Hata hivyo, niweke wazi tu kwamba mimi ni Mtanzania mwenye asili ya Tanganyika.
Nina jambo muhimu sana...
Napata wasiwasi kama hili ni Kwa ajili ya wananchi au lipo Kwa ajili ya mafisadi
Leo bunge la Ulaya litaketi kujadili mauaji ya halaiki TANZANIA ila Bunge letu lipo kimya wanakula posho
1. Spika wa bunge huoni ni hatari taasisi kubwa za kimataifa kuifungia nchi misaada na mikopo.
Kwanini...
Huu ni moja kati ya chaguzi ambazo zimekuwa very useless na hasara kubwa kwa taifa. Fikiria wale wabunge waliogonga meza na kupongeza (wengi hiyo ndiyo kazi kuu wawapo bungeni) ufisadi uliofanyika baada ya kampuni ya itel kupewa tenda ya ununuzi wa sukari, Leo hii wanataka kurejea...
Inasemekana ongezeko la ticket kuingia $45 na kutoka $45 jumla $90 kwa kila ticket za wageni na Watanzania wasafirio nchi ni deal ya Abdul na mkurugenzi wa taifa lakini sina uhakika.
Je ni bunge limepitisha hili? Na ni kwanini?
Aliyewahi kuwa Spika na aliyekuwa Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai amefariki Dunia, leo Agosti 6, 2025, taarifa ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani, Dkt. Tulia Ackson imeeleza kuwa msiba umetokea Dodoma
Dkt. Tulia amesema Ofisi ya Bunge...
Taarifa ya Kifo cha Job Ndugai: Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania Afariki Dunia
“Uongozi ni wito wa kutumikia watu — si nafasi ya kujitukuza.”
Maisha ya Job Ndugai kwa Ufupi
Jina kamili: Job Yustino Ndugai
Tarehe ya kuzaliwa: Januari 22, 1960
Eneo alilotumikia: Mbunge wa Jimbo la...
My Take
Maisha bila Chadema yanaendelea na maandalizi ya Uchaguzi yamepamba moto.
Ukisusia wanakula.
==============
Bunge la 12 la Tanzania limevunjwa rasmi leo kufuatia maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa Juni 27, 2025 wakati akihitimisha shughuli za bunge hilo jijini Dodoma...
Wakuu baada ya jana kusikiliza vijana pale bungeni wakijibu hoja za Gwajima nikajikuta natafakari kuhusu bunge kwa muda mfupi na hii ni namna ambayo nimeliona Bunge kwa mtazamo wangu.
Bunge la Tanzania.
Ni Bunge la Rais (SSH) sio la wananchi kwani hoja zao kila mara ni za kumsifia rais na...
Kifungu 107 B cha Katiba kinazuia mahakama ya Tanzania kuingiliwa na chombo chochote na hivyo kuwa huru kimaamuzi.
Leo hii Lissu akiachiwa wapo watakaojiuliza jee mahakama haijaingiliwa na Azimio la bunge la Ulaya katika kufanya maamuzi??
Wajuzi wa Sheria Pascal Mayalla njooni mjadili
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, ameonyesha kushangazwa na kimya cha Bunge la Tanzania katika kushughulikia masuala nyeti ya kitaifa, akilituhumu kuwa limekimbia majukumu yake ya msingi.
Akizungumza jijini Arusha hii leo Mei 8, 2025 katika mkutano wa TLS...
Nilimsikia Mbunge mmoja heti anasema yeye yupo tayari sisi wote tunywe maji ya kisima amesahau ni jinsi gani watanzania maskini wanatekwa naa kuuawa ovyo ovyo bila usalama wowote wengine wana bambikiwa kesi za uongo mabadiliko haya hepukiki sijaona cha msingi hili bunge lilicho jadiri wala hoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.