Viongozi wanaojikweza alioomba Rais Samia tuwataje

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
Wana Bodi Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Njombe ametuomba watanzania kumpatia orodha ya wateule wake ambao wanajikweza na hawatekelezi kikamilifu majukumu yao kwa mujibu wa viapo vyao ili aweze kuwachukua hatua.

Namba tutumie fursa hii tutaja majina ya viongozi ambao hawatekelezi majukumu yao ipasavyo na kusababisha manung'uniko mengi kwa wananchi na hata kusababisha kuvuruga maisha ya wananchi ya kila siku na kuharibu kabisa uchumi wa nchi yetu tukufu.

January Yusuph Makamba, Waziri wa Nishati ambaye ameonyesha wazi wazi kujikweza kulikopitiliza hadi kufikia hatua ya kuwatukana wabunge wa Bunge letu Tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwaita ni wapuuzi.

Kisa cha kufanya hivyo ni kwa sababu tu wamehoji kupitia Taarifa ya Kamati ya Bunge ya Uwekezaji, Biashara na Mazingira kwanini Umeme unakatikatika zaidi ya mara 10 kwenye viwanda na kusababisha viwanda vingi kuzalisha chini ya kiwango na kusababisha uhaba wa bidhaa muhimu kwa wananchi na kusababisha bidhaa nyingi kupanda bei mara dufu na kutuumiza wananchi.

Pili Kamati ya Nishati ya Bunge chini ya Mwenyekiti wake Dustan Kitandula ilihoji sababu za kuchelewa kukamilika kwa mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambalo kwa mujibu wa Mkataba lilikuwa likamilike Juni 2022 lakini hadi jana Waziri anasema ujenzi umefikia Asilimia 67 tu bila kutoa maelezo ya sababu zilizosababisha mradi huo kuchelewa huku kukiwa hakuna tatizo la fedha.

Mbaya zaidi Makamba anasimama kwenye Mkutano wa hadhara huko Kanda ya Ziwa na kutamka hadharani kwamba kama watu hawaridhiki na utendaji wake basi waende wakamuue huko ni kukijweza kulikopitiliza kwa kiongozi aliyepewa dhamana ambapo Mhe Samia ameomba tumsaidie kumuonyesha viongozi wa aina hiyo.

Makamba huyo huyo siku ya kusoma bajeti ya Wizara yake Juni 2, 2022 kwa makusudi aliamua kulidharau Bunge kwa kuchelewa kuingia bungeni na Bunge likaahirishwa kumsubiri hadi afike ndio liendee ilikuwa ni kujikweza kwa hali ya juu sana kwa kiongozi mwenye dhamana kubwa kama yake.

Makamba alidaiwa kuwaandaa wabunge maalumu wachangie bajeti yake ili wamsifie kwamba ni Msomi mkubwa aliyesoma Chuo Kikuu cha Havard Marekani huku akijua fika kuwa hakuwa na sifa za kusoma chuo hicho na wala hajawahi kusoma chuo hicho.

Makamba anafanya ziara ya kugawa mitungi ya Taifa Gas mikoani na kuvunja sheri ya ushindani lakini wananchi walipopiga kelele yeye alijibu wanaopinga mpango huo waende wakatapike huko ni kujikweza kwa hali ya juu kwa Waziri wa Serikali.

Lakini Pia tumeshuhudia Rais mwenyewe yuko ziarani mikoa ya Nyanda ya Juu kusini lakini waandishi wanaoripoti taarifa zake ni wa kutoka mikoa hiyo hiyo lakini Makamba yeye anainunua ITV, Mwanchi na Clouds na kutembea na jkundi la waandishi wa vyombo hivyo kutoka Dar es Salaam na kuwaacha wale wa mikoani wanaoripoti habari za Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na mawaziri wengine wanaofanya ziara mikoani huko nako ni kujikweza kulikopitiliza.

Mengine mtaendelea wenzangu ya kujikweza kwa Makamba na Viongozi wengine.

Rais Samia Suluhu Hassan amewaonya wateule wake kuacha kujikweza na badala yake wahudumie wananchi kulingana na viapo vyao.

Mkuu huyo wa nchi amesema hayo leo Jumatatu Agosti, 2022 wakati aliposimama na kuwasalimu wananchi wa Kijiji cha Mayale kitongoji cha Halali kilichopo wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe.

Amesema kama kuna kiongozi hatekelezi hayo apewe taarifa ili achukue maamuzi kwakuwa wamekula kiapo ili kuwahudumia wananchi.

"Lengo ni Tanzania yote ipate maendeleo inanyanyuka watu wote wawe na furaha uchumi ukue na maisha yaendelee" amesema Samia.

Source: Mwananchi Digital AUGUST 08 2022
 
Nchi haiendeshwi kwa majungu, Samia apige kazi asitolewe kwenye Focus.
 
Wana Bodi Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Njombe ametuomba watanzania kumpatia orodha ya wateule wake ambao wanajikweza na hawatekelezi kikamilifu majukumu yao kwa mujibu wa viapo vyao ili aweze kuwachukua hatua.

Namba tutumie fursa hii tutaja majina ya viongozi ambao hawatekelezi majukumu yao ipasavyo na kusababisha manung'uniko mengi kwa wananchi na hata kusababisha kuvuruga maisha ya wananchi ya kila siku na kuharibu kabisa uchumi wa nchi yetu tukufu.

January Yusuph Makamba, Waziri wa Nishati ambaye ameonyesha wazi wazi kujikweza kulikopitiliza hadi kufikia hatua ya kuwatukana wabunge wa Bunge letu Tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwaita ni wapuuzi.

Kisa cha kufanya hivyo ni kwa sababu tu wamehoji kupitia Taarifa ya Kamati ya Bunge ya Uwekezaji, Biashara na Mazingira kwanini Umeme unakatikatika zaidi ya mara 10 kwenye viwanda na kusababisha viwanda vingi kuzalisha chini ya kiwango na kusababisha uhaba wa bidhaa muhimu kwa wananchi na kusababisha bidhaa nyingi kupanda bei mara dufu na kutuumiza wananchi.

Pili Kamati ya Nishati ya Bunge chini ya Mwenyekiti wake Dustan Kitandula ilihoji sababu za kuchelewa kukamilika kwa mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambalo kwa mujibu wa Mkataba lilikuwa likamilike Juni 2022 lakini hadi jana Waziri anasema ujenzi umefikia Asilimia 67 tu bila kutoa maelezo ya sababu zilizosababisha mradi huo kuchelewa huku kukiwa hakuna tatizo la fedha.

Mbaya zaidi Makamba anasimama kwenye Mkutano wa hadhara huko Kanda ya Ziwa na kutamka hadharani kwamba kama watu hawaridhiki na utendaji wake basi waende wakamuue huko ni kukijweza kulikopitiliza kwa kiongozi aliyepewa dhamana ambapo Mhe Samia ameomba tumsaidie kumuonyesha viongozi wa aina hiyo.

Makamba huyo huyo siku ya kusoma bajeti ya Wizara yake Juni 2, 2022 kwa makusudi aliamua kulidharau Bunge kwa kuchelewa kuingia bungeni na Bunge likaahirishwa kumsubiri hadi afike ndio liendee ilikuwa ni kujikweza kwa hali ya juu sana kwa kiongozi mwenye dhamana kubwa kama yake.

Makamba alidaiwa kuwaandaa wabunge maalumu wachangie bajeti yake ili wamsifie kwamba ni Msomi mkubwa aliyesoma Chuo Kikuu cha Havard Marekani huku akijua fika kuwa hakuwa na sifa za kusoma chuo hicho na wala hajawahi kusoma chuo hicho.

Makamba anafanya ziara ya kugawa mitungi ya Taifa Gas mikoani na kuvunja sheri ya ushindani lakini wananchi walipopiga kelele yeye alijibu wanaopinga mpango huo waende wakatapike huko ni kujikweza kwa hali ya juu kwa Waziri wa Serikali.

Lakini Pia tumeshuhudia Rais mwenyewe yuko ziarani mikoa ya Nyanda ya Juu kusini lakini waandishi wanaoripoti taarifa zake ni wa kutoka mikoa hiyo hiyo lakini Makamba yeye anainunua ITV, Mwanchi na Clouds na kutembea na jkundi la waandishi wa vyombo hivyo kutoka Dar es Salaam na kuwaacha wale wa mikoani wanaoripoti habari za Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na mawaziri wengine wanaofanya ziara mikoani huko nako ni kujikweza kulikopitiliza.

Mengine mtaendelea wenzangu ya kujikweza kwa Makamba na Viongozi wengine.

Rais Samia Suluhu Hassan amewaonya wateule wake kuacha kujikweza na badala yake wahudumie wananchi kulingana na viapo vyao.

Mkuu huyo wa nchi amesema hayo leo Jumatatu Agosti, 2022 wakati aliposimama na kuwasalimu wananchi wa Kijiji cha Mayale kitongoji cha Halali kilichopo wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe.

Amesema kama kuna kiongozi hatekelezi hayo apewe taarifa ili achukue maamuzi kwakuwa wamekula kiapo ili kuwahudumia wananchi.

"Lengo ni Tanzania yote ipate maendeleo inanyanyuka watu wote wawe na furaha uchumi ukue na maisha yaendelee" amesema Samia.

Source: Mwananchi Digital AUGUST 08 2022
Yaani inaonyesha wazi kabisa kuwa huyu mtu January Makamba unamu-admire sana ndani rohoni kwako ila kwa nje hutaki kukiri hilo. Ukifanya hivi kwa mtu yeyote yule, chances ni kwamba lazima tu utamchukia na pasipo kuwa na sababu za msingi. The real working principle is: YOU MUST APPRECIATE PEOPLE FOR THE BEST QUALITIES THEY HAVE.

Kamwe usijaribu kabisa kuwachukia watu kutokana na ubora wao wa asili waliojaliwa na Mwenyezi Mungu
Kwa nini orodha iwe ni January Makamba peke yake? Wewe ulitakiwa uje na orodha kwanza kama ulivyotaja kwenye kichwa cha habri yako. Jina moja haliwezi kuwa orodha
 
Wana Bodi Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Njombe ametuomba watanzania kumpatia orodha ya wateule wake ambao wanajikweza na hawatekelezi kikamilifu majukumu yao kwa mujibu wa viapo vyao ili aweze kuwachukua hatua.

Namba tutumie fursa hii tutaja majina ya viongozi ambao hawatekelezi majukumu yao ipasavyo na kusababisha manung'uniko mengi kwa wananchi na hata kusababisha kuvuruga maisha ya wananchi ya kila siku na kuharibu kabisa uchumi wa nchi yetu tukufu.

January Yusuph Makamba, Waziri wa Nishati ambaye ameonyesha wazi wazi kujikweza kulikopitiliza hadi kufikia hatua ya kuwatukana wabunge wa Bunge letu Tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwaita ni wapuuzi.

Kisa cha kufanya hivyo ni kwa sababu tu wamehoji kupitia Taarifa ya Kamati ya Bunge ya Uwekezaji, Biashara na Mazingira kwanini Umeme unakatikatika zaidi ya mara 10 kwenye viwanda na kusababisha viwanda vingi kuzalisha chini ya kiwango na kusababisha uhaba wa bidhaa muhimu kwa wananchi na kusababisha bidhaa nyingi kupanda bei mara dufu na kutuumiza wananchi.

Pili Kamati ya Nishati ya Bunge chini ya Mwenyekiti wake Dustan Kitandula ilihoji sababu za kuchelewa kukamilika kwa mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambalo kwa mujibu wa Mkataba lilikuwa likamilike Juni 2022 lakini hadi jana Waziri anasema ujenzi umefikia Asilimia 67 tu bila kutoa maelezo ya sababu zilizosababisha mradi huo kuchelewa huku kukiwa hakuna tatizo la fedha.

Mbaya zaidi Makamba anasimama kwenye Mkutano wa hadhara huko Kanda ya Ziwa na kutamka hadharani kwamba kama watu hawaridhiki na utendaji wake basi waende wakamuue huko ni kukijweza kulikopitiliza kwa kiongozi aliyepewa dhamana ambapo Mhe Samia ameomba tumsaidie kumuonyesha viongozi wa aina hiyo.

Makamba huyo huyo siku ya kusoma bajeti ya Wizara yake Juni 2, 2022 kwa makusudi aliamua kulidharau Bunge kwa kuchelewa kuingia bungeni na Bunge likaahirishwa kumsubiri hadi afike ndio liendee ilikuwa ni kujikweza kwa hali ya juu sana kwa kiongozi mwenye dhamana kubwa kama yake.

Makamba alidaiwa kuwaandaa wabunge maalumu wachangie bajeti yake ili wamsifie kwamba ni Msomi mkubwa aliyesoma Chuo Kikuu cha Havard Marekani huku akijua fika kuwa hakuwa na sifa za kusoma chuo hicho na wala hajawahi kusoma chuo hicho.

Makamba anafanya ziara ya kugawa mitungi ya Taifa Gas mikoani na kuvunja sheri ya ushindani lakini wananchi walipopiga kelele yeye alijibu wanaopinga mpango huo waende wakatapike huko ni kujikweza kwa hali ya juu kwa Waziri wa Serikali.

Lakini Pia tumeshuhudia Rais mwenyewe yuko ziarani mikoa ya Nyanda ya Juu kusini lakini waandishi wanaoripoti taarifa zake ni wa kutoka mikoa hiyo hiyo lakini Makamba yeye anainunua ITV, Mwanchi na Clouds na kutembea na jkundi la waandishi wa vyombo hivyo kutoka Dar es Salaam na kuwaacha wale wa mikoani wanaoripoti habari za Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na mawaziri wengine wanaofanya ziara mikoani huko nako ni kujikweza kulikopitiliza.

Mengine mtaendelea wenzangu ya kujikweza kwa Makamba na Viongozi wengine.

Rais Samia Suluhu Hassan amewaonya wateule wake kuacha kujikweza na badala yake wahudumie wananchi kulingana na viapo vyao.

Mkuu huyo wa nchi amesema hayo leo Jumatatu Agosti, 2022 wakati aliposimama na kuwasalimu wananchi wa Kijiji cha Mayale kitongoji cha Halali kilichopo wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe.

Amesema kama kuna kiongozi hatekelezi hayo apewe taarifa ili achukue maamuzi kwakuwa wamekula kiapo ili kuwahudumia wananchi.

"Lengo ni Tanzania yote ipate maendeleo inanyanyuka watu wote wawe na furaha uchumi ukue na maisha yaendelee" amesema Samia.

Source: Mwananchi Digital AUGUST 08 2022
January Makamba na Mwigulu Nchemba wanajikuta wapo juu sana.. kwenye changamoto wanna majibu ya hovyo sana..ikukupendeza tubadilishie hao watu tafadhali.
 
WAZIRI MKUU KASIMU
(1)ALIJIFANYA MUNGU
Akiwa Njombe msikitini alituambia marehemu YUPO busy anapiga KAZI, bila kutuambia anapiga wapi KAZI mbinguni au
Motoni
(2)Amekuwa anatoa amri kwa TAKUKURU kama amiri jeshi mkuu eti ikamate watumishi wakati hiyo ni taasisi ya ikulu
 
Mbona hukumtaja yule mbwa jini jiwe aliyekuwa anaua watu? Makamba ndiyo the next president.
 
Makamba alisema tumuue sasa sijui alimaanisha??

Tena alisema kwa zereu kubwa akaongezea kama tuna kichefuchefu tutapike.

Sasa sijui Rais wetu mpendwa alimteua ili Raia wasimuulize chochote??
 
Chuki,Chuki,Chuki. Majungu ya kutosha kabisa. Utaendelea kuumia hadi 2040, utakufa kwa chuki
 
Wana Bodi Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Njombe ametuomba watanzania kumpatia orodha ya wateule wake ambao wanajikweza na hawatekelezi kikamilifu majukumu yao kwa mujibu wa viapo vyao ili aweze kuwachukua hatua.

Namba tutumie fursa hii tutaja majina ya viongozi ambao hawatekelezi majukumu yao ipasavyo na kusababisha manung'uniko mengi kwa wananchi na hata kusababisha kuvuruga maisha ya wananchi ya kila siku na kuharibu kabisa uchumi wa nchi yetu tukufu.

January Yusuph Makamba, Waziri wa Nishati ambaye ameonyesha wazi wazi kujikweza kulikopitiliza hadi kufikia hatua ya kuwatukana wabunge wa Bunge letu Tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwaita ni wapuuzi.

Kisa cha kufanya hivyo ni kwa sababu tu wamehoji kupitia Taarifa ya Kamati ya Bunge ya Uwekezaji, Biashara na Mazingira kwanini Umeme unakatikatika zaidi ya mara 10 kwenye viwanda na kusababisha viwanda vingi kuzalisha chini ya kiwango na kusababisha uhaba wa bidhaa muhimu kwa wananchi na kusababisha bidhaa nyingi kupanda bei mara dufu na kutuumiza wananchi.

Pili Kamati ya Nishati ya Bunge chini ya Mwenyekiti wake Dustan Kitandula ilihoji sababu za kuchelewa kukamilika kwa mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambalo kwa mujibu wa Mkataba lilikuwa likamilike Juni 2022 lakini hadi jana Waziri anasema ujenzi umefikia Asilimia 67 tu bila kutoa maelezo ya sababu zilizosababisha mradi huo kuchelewa huku kukiwa hakuna tatizo la fedha.

Mbaya zaidi Makamba anasimama kwenye Mkutano wa hadhara huko Kanda ya Ziwa na kutamka hadharani kwamba kama watu hawaridhiki na utendaji wake basi waende wakamuue huko ni kukijweza kulikopitiliza kwa kiongozi aliyepewa dhamana ambapo Mhe Samia ameomba tumsaidie kumuonyesha viongozi wa aina hiyo.

Makamba huyo huyo siku ya kusoma bajeti ya Wizara yake Juni 2, 2022 kwa makusudi aliamua kulidharau Bunge kwa kuchelewa kuingia bungeni na Bunge likaahirishwa kumsubiri hadi afike ndio liendee ilikuwa ni kujikweza kwa hali ya juu sana kwa kiongozi mwenye dhamana kubwa kama yake.

Makamba alidaiwa kuwaandaa wabunge maalumu wachangie bajeti yake ili wamsifie kwamba ni Msomi mkubwa aliyesoma Chuo Kikuu cha Havard Marekani huku akijua fika kuwa hakuwa na sifa za kusoma chuo hicho na wala hajawahi kusoma chuo hicho.

Makamba anafanya ziara ya kugawa mitungi ya Taifa Gas mikoani na kuvunja sheri ya ushindani lakini wananchi walipopiga kelele yeye alijibu wanaopinga mpango huo waende wakatapike huko ni kujikweza kwa hali ya juu kwa Waziri wa Serikali.

Lakini Pia tumeshuhudia Rais mwenyewe yuko ziarani mikoa ya Nyanda ya Juu kusini lakini waandishi wanaoripoti taarifa zake ni wa kutoka mikoa hiyo hiyo lakini Makamba yeye anainunua ITV, Mwanchi na Clouds na kutembea na jkundi la waandishi wa vyombo hivyo kutoka Dar es Salaam na kuwaacha wale wa mikoani wanaoripoti habari za Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na mawaziri wengine wanaofanya ziara mikoani huko nako ni kujikweza kulikopitiliza.

Mengine mtaendelea wenzangu ya kujikweza kwa Makamba na Viongozi wengine.

Rais Samia Suluhu Hassan amewaonya wateule wake kuacha kujikweza na badala yake wahudumie wananchi kulingana na viapo vyao.

Mkuu huyo wa nchi amesema hayo leo Jumatatu Agosti, 2022 wakati aliposimama na kuwasalimu wananchi wa Kijiji cha Mayale kitongoji cha Halali kilichopo wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe.

Amesema kama kuna kiongozi hatekelezi hayo apewe taarifa ili achukue maamuzi kwakuwa wamekula kiapo ili kuwahudumia wananchi.

"Lengo ni Tanzania yote ipate maendeleo inanyanyuka watu wote wawe na furaha uchumi ukue na maisha yaendelee" amesema Samia.

Source: Mwananchi Digital AUGUST 08 2022
Imeandikwa: Wale wenye kuutafuta urais kwa kuhonga ili kutimiza azma yao ya kupata mali na fahari ya ukuu kamwe hawatafikia ndoto yao; ila wale wenye kujinyenyekeza kwa wananchi kwa kuwasaidia kua huru na kupata maendeleo kiuchumi watajikuta kuwekwa mbele kuongoza na umma wa wananchi wenye kutaka haki na usawa kwenye uchumi wa nchi hii
 
Wana Bodi Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Njombe ametuomba watanzania kumpatia orodha ya wateule wake ambao wanajikweza na hawatekelezi kikamilifu majukumu yao kwa mujibu wa viapo vyao ili aweze kuwachukua hatua.

Namba tutumie fursa hii tutaja majina ya viongozi ambao hawatekelezi majukumu yao ipasavyo na kusababisha manung'uniko mengi kwa wananchi na hata kusababisha kuvuruga maisha ya wananchi ya kila siku na kuharibu kabisa uchumi wa nchi yetu tukufu.

January Yusuph Makamba, Waziri wa Nishati ambaye ameonyesha wazi wazi kujikweza kulikopitiliza hadi kufikia hatua ya kuwatukana wabunge wa Bunge letu Tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwaita ni wapuuzi.

Kisa cha kufanya hivyo ni kwa sababu tu wamehoji kupitia Taarifa ya Kamati ya Bunge ya Uwekezaji, Biashara na Mazingira kwanini Umeme unakatikatika zaidi ya mara 10 kwenye viwanda na kusababisha viwanda vingi kuzalisha chini ya kiwango na kusababisha uhaba wa bidhaa muhimu kwa wananchi na kusababisha bidhaa nyingi kupanda bei mara dufu na kutuumiza wananchi.

Pili Kamati ya Nishati ya Bunge chini ya Mwenyekiti wake Dustan Kitandula ilihoji sababu za kuchelewa kukamilika kwa mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambalo kwa mujibu wa Mkataba lilikuwa likamilike Juni 2022 lakini hadi jana Waziri anasema ujenzi umefikia Asilimia 67 tu bila kutoa maelezo ya sababu zilizosababisha mradi huo kuchelewa huku kukiwa hakuna tatizo la fedha.

Mbaya zaidi Makamba anasimama kwenye Mkutano wa hadhara huko Kanda ya Ziwa na kutamka hadharani kwamba kama watu hawaridhiki na utendaji wake basi waende wakamuue huko ni kukijweza kulikopitiliza kwa kiongozi aliyepewa dhamana ambapo Mhe Samia ameomba tumsaidie kumuonyesha viongozi wa aina hiyo.

Makamba huyo huyo siku ya kusoma bajeti ya Wizara yake Juni 2, 2022 kwa makusudi aliamua kulidharau Bunge kwa kuchelewa kuingia bungeni na Bunge likaahirishwa kumsubiri hadi afike ndio liendee ilikuwa ni kujikweza kwa hali ya juu sana kwa kiongozi mwenye dhamana kubwa kama yake.

Makamba alidaiwa kuwaandaa wabunge maalumu wachangie bajeti yake ili wamsifie kwamba ni Msomi mkubwa aliyesoma Chuo Kikuu cha Havard Marekani huku akijua fika kuwa hakuwa na sifa za kusoma chuo hicho na wala hajawahi kusoma chuo hicho.

Makamba anafanya ziara ya kugawa mitungi ya Taifa Gas mikoani na kuvunja sheri ya ushindani lakini wananchi walipopiga kelele yeye alijibu wanaopinga mpango huo waende wakatapike huko ni kujikweza kwa hali ya juu kwa Waziri wa Serikali.

Lakini Pia tumeshuhudia Rais mwenyewe yuko ziarani mikoa ya Nyanda ya Juu kusini lakini waandishi wanaoripoti taarifa zake ni wa kutoka mikoa hiyo hiyo lakini Makamba yeye anainunua ITV, Mwanchi na Clouds na kutembea na jkundi la waandishi wa vyombo hivyo kutoka Dar es Salaam na kuwaacha wale wa mikoani wanaoripoti habari za Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na mawaziri wengine wanaofanya ziara mikoani huko nako ni kujikweza kulikopitiliza.

Mengine mtaendelea wenzangu ya kujikweza kwa Makamba na Viongozi wengine.

Rais Samia Suluhu Hassan amewaonya wateule wake kuacha kujikweza na badala yake wahudumie wananchi kulingana na viapo vyao.

Mkuu huyo wa nchi amesema hayo leo Jumatatu Agosti, 2022 wakati aliposimama na kuwasalimu wananchi wa Kijiji cha Mayale kitongoji cha Halali kilichopo wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe.

Amesema kama kuna kiongozi hatekelezi hayo apewe taarifa ili achukue maamuzi kwakuwa wamekula kiapo ili kuwahudumia wananchi.

"Lengo ni Tanzania yote ipate maendeleo inanyanyuka watu wote wawe na furaha uchumi ukue na maisha yaendelee" amesema Samia.

Source: Mwananchi Digital AUGUST 08 2022
Mawaziri vijana wanne wanaichafua TASWIRA ya urais wa S100, nashauri wafukuzwe haraka.

1. Makamba. 2. Nape 3. Mwigulu 4. Riz1.
 
Mawaziri vijana wanne wanaichafua TASWIRA ya urais wa S100, nashauri wafukuzwe haraka.

1. Makamba. 2. Nape 3. Mwigulu 4. Riz1.
Tusiwaonee watu Riz hajawahi kujikweza na hata kazi aliyopewa hatujawahi kusikia akimjibu mtanzania Mpuuzi wala akiwatukana wabunge amelelewa vizuri na Baba yake Jakaya Mrisho Kikwete au kama unaoushahidi wa maneno ya aina hiyo karibu utuwekee hapa.
 
Tusiwaonee watu Riz hajawahi kujikweza na hata kazi aliyopewa hatujawahi kusikia akimjibu mtanzania Mpuuzi wala akiwatukana wabunge amelelewa vizuri na Baba yake Jakaya Mrisho Kikwete au kama unaoushahidi wa maneno ya aina hiyo karibu utuwekee hapa.
Vp, mbona umegeuka mtetezi tena?

Me naona watolewe wote, wenye kujikweza, low capacity na waliowekwa Kwa MBELEKO.

Hii Si Nchi ya kifalme, kwamba Kiongozi lazima azae kiongozi wa kumrithi.

Ameeeen.
 
Vp, mbona umegeuka mtetezi tena?

Me naona watolewe wote, wenye kujikweza, low capacity na waliowekwa Kwa MBELEKO.

Hii Si Nchi ya kifalme, kwamba Kiongozi lazima azae kiongozi wa kumrithi.

Ameeeen.
Sio Mtetezi weka utovu wa nidhamu na kushindwa kusimamia majukumu yake kwa Ridhiwani Kikwete tusimhukumu kwa kosa la kuzaliwa Mtoto wa Rais kama anazo sifa za uongozi hakuna shida mbona wako watoto wa viongozi wengi tu na wanafanya kazi vizuri kwa misingi ya kisheria na kizalendo Mfano Dk. Hussein Ali Mwinyi Rais wa SMZ.
 
Sio Mtetezi weka utovu wa nidhamu na kushindwa kusimamia majukumu yake kwa Ridhiwani Kikwete tusimhukumu kwa kosa la kuzaliwa Mtoto wa Rais kama anazo sifa za uongozi hakuna shida mbona wako watoto wa viongozi wengi tu na wanafanya kazi vizuri kwa misingi ya kisheria na kizalendo Mfano Dk. Hussein Ali Mwinyi Rais wa SMZ.
Kuhamishwa Kwa nguvu WAMASAI Ngorongoro ktk Ardhi Yao wanayoimiliki kisheria, Yeye akiwa waziri ni DOA tayari.

Maendeleo duni kwenye Jimbo lake ni Ishara pia kuwa ni MBELEKO.

Kwa maono Yako Unadhani HAKUNA mtoto ktk Ukoo wa Nyerere au hata mjukuu mwenye uwezo kuwa WAZIRI au nafasi za juu?

Mbona familia hiyo ya Nyerere hawajitutumui? Acheni ubinafsi.
 
Tusiwaonee watu Riz hajawahi kujikweza na hata kazi aliyopewa hatujawahi kusikia akimjibu mtanzania Mpuuzi wala akiwatukana wabunge amelelewa vizuri na Baba yake Jakaya Mrisho Kikwete au kama unaoushahidi wa maneno ya aina hiyo karibu utuwekee hapa.
Riz yupo vizuri.....ila hizo njegere zingine Ni shida
 
Back
Top Bottom