bus terminal

A bus station is a structure where city or intercity buses stop to pick up and drop off passengers. While the term bus depot can also be used to refer to a bus station, it generally refers to a bus garage. A bus station is larger than a bus stop, which is usually simply a place on the roadside, where buses can stop. It may be intended as a terminal station for a number of routes, or as a transfer station where the routes continue.
Bus station platforms may be assigned to fixed bus lines, or variable in combination with a dynamic passenger information system. The latter requires fewer platforms, but does not supply the passenger the comfort of knowing the platform well in advance and waiting there.

View More On Wikipedia.org
  1. Bull Bucka

    Utapeli unaofanywa na baadhi ya "maajenti" wasio waaminifu pale Magufuli Bus Terminal ukomeshwe!

    Pamoja na kwamba Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli kimetengeneza ajira kwa watu wengi, lakini kuna jambo moja linaloendelea pale na linaonekana kufumbiwa macho na mamlaka husika. Jambo hilo ni utapeli. Juzi nikiwa kwenye pitapita zangu, nikaona watu wamemzingira mama mmoja wa makamu. Mama...
  2. B

    RC Kunenge apokea kilio cha wanaotumia mabasi ya mwendo kasi kituo cha Kibaha bus terminal

    Mkuu Mkoa wa Pwani Mhe. Alhaj Aboubakar Kunenge, akizungumza na abiria kwenye Kituo Kikuu cha Mbasi Kibaha Mei 2, 2023. WANANCHI wanaotumia usafiri wa mabasi ya Mwendo Kasi (DART) kwenye Kiituo Kikuu cha mabasi Kibaha Mkoani Pwani, (Kibaha Bus Terminal) wametoa malalamiko yao kwa Mkuu Mkoa wa...
  3. Balozi Mzalendo

    Janjajanja ya wakatisha tickets za kuingia Magufuli Bus Terminal

    Mara kadhaa nimekuwa nikiingia kituo kikuu cha mabasi ya mikoani D'Salaam (Magufuli Bus Terminal). Kinachofanyika kwa baadhi ya wanaochukua ushuru wa kuingia mule ndani kimeniacha na maswali. Unapofika getini na kulipa pesa ili kuingia ndani, baadhi ya wakusanya ushuru wakishirikiana na...
  4. J

    Mfugale fly over, Daraja la juu la Kijazi, Magufuli Bus Terminal, Soko la Chifu Kingalu na Soko la Ndugai miradi iliyotukuka

    Ni miradi iliyofunguliwa na hayati Magufuli. Ni miradi yenye kumbukumbu nzuri katika kurahisisha shughuli za jamii kwa maeneo husika. Ni miradi itakayokumbukwa kwa muda mrefu. Nawasalimu kwa jina la JMT!
  5. barafuyamoto

    Magufuli Bus Terminal hakuna mabadiliko yoyote, ni kama imetelekezwa

    Habari zenu, Inasikitisha ila ndio ukweli, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kituo hiki mara ya mwisho nilifika kabla JPM hajafariki, ingawa kilikua hajikakamilika ila kulikua na kurupushani kidogo ukiona wajenzi wanafanya kazi. Leo nimepita tena ila sijaona mabadiliko yoyote makubwa...
  6. M

    Kituo cha Mabasi Magufuli bei ya pango hadi Tsh. 1,200,000/= kwa siku

    Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha...
  7. M

    Magufuli Bus Terminal - Dar es Salaam fire and frozen rents about the illusory project that will never perform

    THIS THREAD CAN BE WELL UNDERSTOOD IF THE ORIGINAL DOCUMENT ATTACHED HEREWITH CAN BE PERUSED. Before he died, President Magufuli stood upright in the crowd of the global prominent leaders as the welfare president of the 21st Century. As for the implementation of the Chama cha Mapinduzi (CCM)...
  8. Analogia Malenga

    Dar: Kuanzia Novemba 30 Mbezi Luis Terminal itaanza kutumika rasmi

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam anawatangazia wananchi wote kuwa kutakuwa na mabadiliko ya kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani. Kuanzia Novemba 30, 2020 mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani yataanza kutumia kituo cha Mbezi Luis na sio Ubungo kama ilivyo sasa...
  9. FRANCIS DA DON

    Nimepata mshtuko mkubwa Ubungo Bus Terminal leo alfajiri!

    Ilikuwa ni saa kumi na robo alfajiri ya leo, mlio wa simu yangu unanikurupusha toka usingizini, nakumbuka nina appointment ya kumfuata bibi yangu nyumbani alikokuwa amefikia na kumpeleka Ubungo bus terminal tayari kwa safari ya kurudi Kondoa. Ile naingia pale getini tu, nikapigwa na butwaa...
Back
Top Bottom