biashara za mtandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwl.RCT

    SoC03 Biashara za Mtandaoni: Fursa za Kujiajiri kwa Vijana wa Tanzania

    Mada: Biashara za Mtandaoni: Fursa za Kujiajiri kwa Vijana wa Tanzania Mwandishi: MwlRCT Utangulizi Biashara za mtandaoni ni biashara zinazotumia intaneti kuuza au kununua bidhaa au huduma. Biashara hizi zinaweza kuwa za aina mbalimbali, kama vile: Kuuza bidhaa za kimwili au za kidijitali...
  2. Sildenafil Citrate

    Unakutana na Vikwazo gani unapofanya Biashara kwa njia ya Mtandao?

    Mauzo ya Biashara za Mtandaoni yanakadiriwa kufikia Kiasi cha dola za Kimarekani Trilioni 6.3 mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 10.4 ikilinganishwa na mwaka 2022. Ongezeko kubwa zaidi linatajwa kutokea ifikapo mwaka 2026 ambapo zaidi dola za kimarekani Trilioni 8.1 zitakusanywa kutokana...
  3. J

    Dkt. Ndugulile: Kutoza kodi Mapema kwenye Biashara za mitandaoni kutaua ajira za Vijana wengi na kudumaza e-Commerce

    Mbunge wa Kigamboni, Dr Faustine Ndugulile ni kama amepingana na mbunge wa viti maalumu Neema Rugangira anayetaka biashara za mitandaoni zitozwe kodi. Dkt. Ndugulile aliyewahi kuwa waziri wa Mitandao amesema kutoza kodi mapema kwenye biashara za mitandaoni kutauwa AJIRA za Vijana wengi na...
  4. The Sheriff

    China yafuta akaunti za mitandao ya kijamii za mhamasishaji maarufu wa biashara za mtandaoni

    Huang Wei China imefuta akaunti za mitandao ya kijamii za mhamasishaji maarufu katika sekta ya biashara ya mtandaoni nchini humo. Huang Wei, anayejulikana kwa jina maarufu la Viya, ni mmoja wa watangazaji maarufu zaidi katika sekta ya biashara ya mtandaoni nchini humo ambayo imekua kwa kasi...
  5. A

    SoC01 Jinsi ya kujua kama biashara unayotaka kujiunga ni ya utapeli / network marketing

    Biashara za network marketing zipo nyingi sana, makampuni haya yapo mengi sio tu Tanzania, duniani kote. Wanashawishi watu watafutaji, wenye nia ya kufanikiwa kwenye maisha kujiunga na hivyo wao kuwatapeli kwa kutumia nia njema za hawa watu na tamaa yao ya kufanikiwa. Wote tunatafuta, watu wa...
  6. J

    Karibu kwenye Mjadala kuhusu Biashara Mtandaoni kupitia Clubhouse ya Jamii Forums

    Siku ya Jumanne, kupitia Mtandao wa Clubhouse, Jamii Forums tutaendesha mjadala anuai kuhusu masuala mazima ya Biashara na Mtandao. Mjadala huu wa wazi utawahusisha wataalam, wadau na watu mbalimbali wanaotumia au kuguswa kwa namna moja au nyingine jinsi Biashara zinafanyika mtandaoni. Ungana...
  7. Allist

    SoC01 Mifumo yetu ya malipo, Benki, utumaji pesa na ulipaji Kodi kuendana na Kasi ya Teknolojia (kutumia Blockchain technology)

    Mifumo yetu ya malipo, Benki, utumaji pesa na ulipaji Kodi iendane na spidi ya Teknolojia (kutumia Blockchain technology). Blockchain technology ni teknolojia mpya iliyogunduliwa mwaka 2008 na kushika kasi kuanzia 2014, ni mfumo madhubuti ambao ni ngumu Ku hack na kuiba data au pesa. kwa...
  8. Analogia Malenga

    Dkt. Ndugulile: Tutaweka mazingira wezeshi ya biashara za mtandaoni

    Katika Uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Miaka Mitano wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Fausine Ndugulile amesema watahakikisha maeneo yote yanakuwa yanatambulika kwa PostCodes Pia itawezesha suala la Posta Kiganjani ili mtu asiwe anaenda posta kufuata barua bali zimfuate...
  9. Samedi Amba

    Hatma ya biashara za mtandaoni kwa Mtanzania

    Habarini za asubuhi wanajamvi, Kama tunavyojua, maisha baada ya Korona imekuwa remote. Sites kama vile upwork, fiverr na PeoplePerHour zimeshika kasi katika kuajiri "digital nomads", na waajiri wengi wamechukua njia hiyo kuhakikisha kazi zao zinaenda. Sasa naangalia maisha yangu kama Mbongo...
Back
Top Bottom