Hatma ya biashara za mtandaoni kwa Mtanzania

Samedi Amba

JF-Expert Member
Nov 13, 2018
227
178
Habarini za asubuhi wanajamvi,

Kama tunavyojua, maisha baada ya Korona imekuwa remote. Sites kama vile upwork, fiverr na PeoplePerHour zimeshika kasi katika kuajiri "digital nomads", na waajiri wengi wamechukua njia hiyo kuhakikisha kazi zao zinaenda.

Sasa naangalia maisha yangu kama Mbongo. Tuseme niamue kufanya haya:
  1. Kufungua website yangu, ambatz.com
  2. Kuweka blog pale kwa ajili ya kuwapa watu elimu kuhusu huduma ninayotoa.
  3. kufungua account ya paypal, payoneer na skrill kwa ajili ya kupokea malipo
Najua hivi ni vitu wengi wetu tumefanya humu. Ila swali ni kwamba, gharama za uendeshaji inakuwaje? Tuna sheria ya mitandao: hii inanihusu vipi?

Niliwahi kusikia kuwa mbongo haruhusiwi kuwa na account ya benki nje ya Tanzania. Paypal na Payoneer je?

Ningependa kujua mipaka ya sheria katika kazi zangu kama mjasiriamali wa mtandaoni.

Wataalam karibuni mtushauri.
 
Mimi nina ccount ya paypal ikiwa lined na account tano yani citibank Marekani (USD), account na account nyingine kama unavyoona hapo chini na nimekwua nazo toka 2015.

Paypal nina account ya Kenya kama unavyoona hapa chini


Na ninazo account za paypal mbili kila moja ina kazi yake.

Hakuna tatizo ila unachobidi ufahamu payoneer inapokea pesa kutoka kwa makampuni, siyo kama account za kawaida kwamba individual client akulipe direct from his/her card au bank account to your payoneer account, hilo haliwezekani.
Safi sana. Inaridhisha kuona wabongo wakijitutumua kupata maisha mtandaoni. Kweli kazi zipo, it's just a matter of sisi kujiegesha vizuri na kutafuta fursa.
 
Mkuu Nafaka Paypal kwa kutumia Safaricom bado zinapiga kazi? Kuna uzi niliwahi ona humu jamaa analalamika kuwa hazipigi kazi siku hizi halafu ndio nilikuwa nataka nikanunue.

If yes bado zinapiga kazi, wanalimit yoyote ya amount withdraw??? Umewahi withdraw hadi $$$ ngapi at highest as single transaction?
 
Mkuu Nafaka Paypal kwa kutumia Safaricom bado zinapiga kazi? Kuna uzi niliwahi ona humu jamaa analalamika kuwa hazipigi kazi siku hizi halafu ndio nilikuwa nataka nikanunue.

If yes bado zinapiga kazi, wanalimit yoyote ya amount withdraw??? Umewahi withdraw hadi $$$ ngapi at highest as single transaction?
Zinapiga ila watakudai documents wakati wa kusign up mkuu. Aisee siwezi sema nimedraw kiasi gani lakini kwenye milion nane na kuendelea mkuu sina figure maalum mkuu
 
Zinapiga ila watakudai documents wakati wa kusign up mkuu. Aisee siwezi sema nimedraw kiasi gani lakini kwenye milion nane na kuendelea mkuu sina figure maalum mkuu
Wanadai documents gani tena mkuu??
Kama imefika around 8M basi sio mbaya.
 
Habarini za asubuhi wanajamvi,

Kama tunavyojua, maisha baada ya Korona imekuwa remote. Sites kama vile upwork, fiverr na PeoplePerHour zimeshika kasi katika kuajiri "digital nomads", na waajiri wengi wamechukua njia hiyo kuhakikisha kazi zao zinaenda.

Sasa naangalia maisha yangu kama Mbongo. Tuseme niamue kufanya haya:
  1. Kufungua website yangu, ambatz.com
  2. Kuweka blog pale kwa ajili ya kuwapa watu elimu kuhusu huduma ninayotoa.
  3. kufungua account ya paypal, payoneer na skrill kwa ajili ya kupokea malipo
Najua hivi ni vitu wengi wetu tumefanya humu. Ila swali ni kwamba, gharama za uendeshaji inakuwaje? Tuna sheria ya mitandao: hii inanihusu vipi?

Niliwahi kusikia kuwa mbongo haruhusiwi kuwa na account ya benki nje ya Tanzania. Paypal na Payoneer je?

Ningependa kujua mipaka ya sheria katika kazi zangu kama mjasiriamali wa mtandaoni.

Wataalam karibuni mtushauri.
Wajuzi wa mambo hii imekiaaje eti mbongo kutoruhusiwa kuwa na acc nje
 
Binafsi few months to come nina mpango wa kwenda kufungua bank account nchi jirani, nisije nikakwama, au ni documents gani znatakiwa
 
Hapo inakuaje kuaje sasa, watu wana verify vipi bila hizo docs?
Zamani ulikuwa waweza fungua ukaitumia kwa muda bila verification, pia mimi zangu niliziverify na fake docs ambazo now watu wakijaribuw anazikataa, ila mimi zangu hawajawahi kuzifunga. Siku hizi kufungua account imekuwa issue
 
Zamani ulikuwa waweza fungua ukaitumia kwa muda bila verification, pia mimi zangu niliziverify na fake docs ambazo now watu wakijaribuw anazikataa, ila mimi zangu hawajawahi kuzifunga. Siku hizi kufungua account imekuwa issue
Huwa wanaomba docs gani na gani? Kuna manzi yupo Kenya anaweza kuwa msaada.

Ile njia ya kutumia Paypal ya UK then ukatuma pesa kwa Xoom bado unatumia pia mkuu?
 
Huwa wanaomba docs gani na gani? Kuna manzi yupo Kenya anaweza kuwa msaada.

Ile njia ya kutumia Paypal ya UK then ukatuma pesa kwa Xoom bado unatumia pia mkuu?
Sijaitumia muda mkuu. Leseni, au kitambulisho cha taifa na utility bill au bank statement
 
Sijaitumia muda mkuu. Leseni, au kitambulisho cha taifa na utility bill au bank statement
Hapo mtihani na kati ya hizo docs watasema lazima iwe na jina la account ya paypal mtihani unaanzia hapo.
 
Back
Top Bottom