Search results

  1. J

    Usikipe sifa ya utukufu chochote, mimi ni Mungu mwenye wivu!

    Wana JF, naombeni mnipe tafsili ya ni nn kinachowafanya baadhi ya watu wavipe utukufu vitu hivi: 1-Mapinduzi "matukufu"! 2-Bunge "tukufu"! Hivi ni viashiria vipi ambavyo vinatoa utukufu kwa hivi vitu? maana isije kua tunabeba laana kwa kukubaliana na semi hizi. Ni kama kulikua na bia XYZ...
  2. J

    Athanas Myonga aibuka Mshindi wa kwanza wa Shindano la Stories of Change 2023

    Ila si walisema ni milion 20! Mbona hapo ukipiga hesabu inakomea 17 wajameni! Au kuna round two🤭🤭
  3. J

    Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

    Ila hili pendekezo mbona hata bungeni lilitolewa na Spika....mlipiga kelele? Huenda watu ndio wanafanyia kazi ushauri kifupi siki hiz kupata kazi ni kazi. Walianza na vigezo vya kupita JKT...watu wakawa wanapigwa chini...sa hii imeletwa gia mpya! KUJITOLEA. Tutanyoooka tu😅😅😅
  4. J

    Rais Samia anatakiwa kujitokeza hadharani kutuomba radhi watanzania kwa kuikashifu Katiba

    Kitabu chenu kitakatifu wewe na nani? Mbona unatujumuisha na sisi ambao hicho kwetu si kitakatifu? Unajua maana ya utakatifu lakini?
  5. J

    Kati ya mwanasiasa na mwanataaluma yupi apewe kipaumbele kufanya maamuzi yenye kugusa maslahi ya watu na Taifa?

    Ni kaswali nimekaa tu nikatafakarii nikaona hemu niwaletee na ninyi wadau? Wanasiasa na wana taaluma someni comment za wadau mtapata kitu.
  6. J

    Temporary Employment Opportunities at Tanzania Airports Authority (TAA)

    Ukituma kwa email utaambiwa mfumo umejaaa!! 😅😅😅Full ukanjanja kanjanja tu
  7. J

    SoC03 Mfumo wa Elimu na ajira: Mabadiliko ya kifikra kwa Wazazi katika kutatua changamoto ya ajira

    Kwa mujibu wa ripoti ya Tasisi ya Utafiti na Kupunguza umaskini Tanzania(REPOA) ya 2019, wasomi milioni moja huzalishwa kwa mwaka alhali idadi ya ajira zinazozalishwa serikalini na katika sekta binafsi ni 250000. Nayo taarifa ya muenendo wa ajira toka Ofisi ya Taifa ya Takwimu inaonesha hali ya...
  8. J

    SoC03 Elimu na wasaidizi wa kazi, puuzo lenye kuogofya katika ustawi wa familia

    Maisha ya uchakarikaji na utafutaji kuleta mkate wa kila siku katika familia ni hitaji lisilo na ukomo katika maisha ya mwanadamu. Hali hii imesababisha mgawanyo wa majukumu katika malezi na usimamizi katika familia nyingi mijini na vijijini. Kufuatia hali hii hitaji la mtu aitwae msaidizi wa...
  9. J

    SoC03 Kilimo biashara na ustawi wa jamii za wakulima: Jitihada wezeshi kumtua jembe la mkono mkulima wakitanzania

    Katika zama hizi za vijana tujiajiri! Dhana korofi na swali tatanishi limekua ni kwa jinsi gani serekali inaweza kukabiliana na suala tambuka la ukosefu wa ajira. Kwa kurahisisha wengi huishia kusema, " ardhi ni kubwa vijana kwa nini msijiajiri..." wengi (wasomi na vijana wasio na ajira) huhisi...
  10. J

    SoC03 Vijana na ushiriki katika shughuli za mitaa/"nzengo"

    Nzengo ni nini? Kwa mujibu wa kamusi ya mtaani! Nzengo ni jumuishi ya eneo /mtaa aghalabu ukihusisha kaya taklibani 50, lenye mpaka wa kiutawala ukiwa na wakazi wa kudumu na wakuhama hama( wapangaji) na wakiwa na katiba, uongozi na tamaduni/ sheria ndogondogo zina zoongoza shughuli za kila siku...
  11. J

    SoC03 Mabadiliko ya tabia nchi: Tufanye nini kuirudisha Eden katika miji na majiji?

    Duu! Hatuna budi kuwakumbusha wahusika pasi na kuchoka. Climate change C Climate change mkuu
  12. J

    SoC03 Mabadiliko ya tabia nchi: Tufanye nini kuirudisha Eden katika miji na majiji?

    Ni dhahili hali sasa inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyoenda. Mwanadamu amekua akifurahia na kuvumbua dhana mbalimbali za kumsaidia kazi! Maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia yamepamba moto katika nyanja mbalimbali....kilimo, usafirishaji, mawasiliano, viwanda, afya nakadhalika. Yote haya...
  13. J

    SoC03 Utumishi wa Umma: Je, muda umefika sasa wa mwananchi kuwa na nguvu ya kisheria kumtoa mtumishi asiyewejibika ipasavyo?

    Mei mosi oyee! Ajira katika utumishi wa umma imekua ni ndoto ya wasomi na wasio wasomi wengi hapa nchini, wengi wa watu hawa hulenga ama kupata kipato na wengine kuhudumu kwa kutoa huduma takwa na wananchi. Serikali kwa kulitambua hilo imekua ikitoa ajira za muda mrefu ama muda mfupi lengo...
  14. J

    SoC02 Kesho ya Afrika ipo katika mtandao

    Ni nzuri, lakin nchi za afrika zianze kwa kuimarisha mfumo wa mawasiliano ndani kwa ndani kwanza.
  15. J

    Makinda abadili gia angani, asema kuhesabiwa ni siku saba

    Faida ya kutofanya maamuzi kiweredi!...wangejiri makarani wengi..kupunguza siku na gharama( waliosoma project planning wataelewa namaanisha nn)
  16. J

    Gap la kukosekana Walimu wengi kwenye zoezi la sensa limeonekana, Serikali mjifunze speed ndogo

    We sema wameajili.watu wasiona sifa!.. kujuana kwingi miksa rushwa acha waende slow slow.
Back
Top Bottom