Kweli kabisa wafuasi wake wanapenda sana shari na uchochezi. Wanahamasisha watu kuandamana wakati wao wanamaisha mazuri. Lissu yupo huko nje ya nchi anataka kuvunja amani ya nchi
Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameanza kurekodi kipindi maarufu cha 'The Royal Tour' kwa lengo la kuitangaza Tanzania kwenye Sekta ya Utalii, Biashara na Uwekezaji.
Faida ya Mhe. Rais kurekodi Kipindi cha 'The Royal Tour'
● Kipindi kitarushwa kwenye Mabara na Nchi Kubwa kama...
DAda zangu wa mjini nawapa angalizo, Kama boyfriend wako aliwahi kukuambia kajenga nyumba kijijini kwao ambayo hujawahi kuiona, halafu leo kwa namna yoyote ile umemsikia au umemshudia akilalamika kuhusu kulipa kodi ya majengo kwa LUKU, achana nae, hana nyumba huyo. ALIKUDANGANYA. Kwanini nasema...
Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija...
Nimekuwa natafakari sana kauli aliyosema Rais Samia Hassan wakati akihutubia wazee wa Dar es salaam siku chache zilizopita kuwa ataanza safari za kujitambulisha kwa majirani zetu bila kupata jibu.
Sasa jibu nimelipata, kumbe Rais Samia ni mwanamikakati na mchumi mzuri sana anasafiri kimkakati...
Hivi karibuni tumeshuhudia wimbi kubwa la vijana wa CHADEMA nchini wakitofautiana kabisa na mawazo ya mwenyekiti wao wa Taifa, hii inakuja baada ya vijana hao kuona kuna haja ya Chama hicho kuanza kujitafakari chenyewe kwanza kabla ya kuanzisha vuguvugu la kudai katiba mpya ya nchi nzima. Suala...
Katika hali isiyo ya kawaida vijana wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kutoka mkoa wa Iringa wametoa tamko kali kuhusu suala la mchakato wa katiba mpya, mchakato ambao wao kama chama ndiyo wameushikia kidedea licha ya mh Rais kuonesha nia na kwamba wampe muda kwasababu kwanza ndiyo...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewahakikishia Watanzania kuwa chanjo ni salama na kamwe hawezi kuwaletea chanjo ambayo ina madhara kwa kuwa yeye ni Kiongozi Mkuu wa Nchi anayejali afya za wananchi wake.
Rais Samia ameyasema hayo wakati akipata chanjo ya...
Kumekuwa na nguvu kubwa sana kutoka ndani na nje ya nchi kuhusu kukumatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kwa tuhuma za ugaidi nchini Tanzania.
Vyombo vya habari vya nje mfano BBC, Aljazeera, VOA na vingine vingi na magazeti mbalimbali ya mtandaoni yamekuwa mstari wa mbele kulaumu kuwa...
Baada ya kilio cha muda mrefu cha juu ya kutokuwepo kwa Pesa mfukoni mwa wananchi, Serikali ya Awamu ya Sita imeanza kulishughulikia tatizo hilo.
Kwa kutumia tozo za miamala ya simu na mafuta Serikali imeshazipeleka kwenye utekelezaji wa miradi ya Barabara Vijijini pamoja kulipa madeni ya...
Kuna Msemo usemao Roma Haikujengwa kwa Siku moja. Msemo huu inaonekana wengi huwa hawauelewi.
Msemo huu pamoja na tafsiri nyingi unaimanisha kuwa Uzuri wa Roma katika kila nyanja ulichukua muda mwingi kujengwa kupitia kodi na nguvu nyingi za watu wa taifa ile.
Nimeona nianze na msemo huu...
Tozo mpya iliyoanzishwa na Serikali ya Awamu ya Sita kupitia mitandao ya simu na mafuta katika vyombo vya usafiri, zinaenda kuwanufaisha wananchi wa vijijini kwa kufungua mtandao wa barabara vijijini.
Waziri wa Nchi Ofisi Rais Tamisemi (OR-TAMISEMI), Mhe. Ummy Mwalimu (Mb) amesema hayo wakati...
Siku za karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan Amekuwa akisema na kusisitiza kuwa Tanzania kupitia mapendekezo ya wataalamu wa Afya Nchini,Serikali ya Tanzania imeamua kupokea chanjo ya Ugonjwa wa Corona au COVID19 ikiwa ni njia mojawapo na sahihi ya kupambana...
Serikali ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuendelea kuiunganisha nchi kwa kutengeneza miundombinu mipya ya barabara katika maeneo yasiyofikika ambayo kwa asilimia kubwa yapo vijijini.
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amesema ili kuhakikisha kwamba lengo la Mhe...
Serikali ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuendelea kuiunganisha nchi kwa kutengeneza miundombinu mipya ya barabara katika maeneo yasiyofikika ambayo kwa asilimia kubwa yapo vijijini.
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amesema ili kuhakikisha kwamba lengo la Mhe...
Watanzania kutoka maeneo mbalimbali wamefurahishwa na hatua ya Mhe. Rais wa Samia Suluhu Hassan, juu ya jitihada zake za kuhakikisha anainua uchumi wa Watanzania na akisisitiza suala la Katiba Mpya apewe muda kidogo.
Watanzania hao kutoka mikoa mbalimbali ikiwemo ya Arusha, Mwanza, Dar es...
Siku 100 za uongozi sio kipimo sahihi cha kumpima mtu hasa kiongozi kwa nafasi kubwa kama ya Urais kwenye kusimamia na kutekeleza majukumu, lakini zinatosha sana kupima Nia na dhamira yake kwa Taifa.
Ndani ya siku 100 Rais Samia ameweza kuitisha vikao na wawekezaji wa ndani na nje nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.