tour

  1. D

    JamiiForums Tanzania Top 10 Unique Things to See in Tanzania on Tanzania Tour Safari

    Experience the most extraordinary wildlife, landscapes, and cultural wonders on your Tanzania tour safari, from the Great Migration to the real Ngorongoro Crater. Tanzania is one of the most extraordinary safari destinations on earth. It is home to the greatest wildlife spectacle on the planet...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Top 5 Activities to Do in Khenifiss National Park with The Best Morocco Tour Company

    Experience the top 5 activities in Khenifiss National Park with the best Morocco tour company. Birdwatching, flamingos, lagoon views, and desert adventures. Khenifiss National Park sits on the Atlantic coast between Tan-Tan and Tarfaya. It is the only park in Morocco that combines a huge...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Top Spots to Visit on a Kampala City Tour on a Safari Uganda

  4. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Niko hapa Chicago downtown nafanya tour aisee panatisha

    Aman iwe watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Leo niko hapa Chicago downtown nafanya tour kwa njia ya you tube aisee ni pazuri sana sijapata kuona uzuri wa namna kama hii katika miji dunian Kuna siku moja nitaibuka huko Chicago nipaone live kabisa siyo kwa njia ya you tube tena One day yes...
  5. Mhaya

    JamiiForums Tanzania IShowSpeed asitisha Tour yake Nchini Namibia

    Nyota wa YouTube kutoka Marekani, IShowSpeed, amefutia ratiba ya ziara yake nchini Namibia kama sehemu ya safari yake ya “Speed Does Africa”, baada ya mamlaka za anga kushindwa kutoa vibali vinavyohitajika kwa wakati, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Namibia. Ziara iliyopangwa kufanyika...
  6. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Tanzania yatemwa kwenye Tour za IShowSpeed Africa Tour, Rwanda na Kenya zala Shavu

    Darren Jason Watkins Jr. (aliyezaliwa tarehe 21 Januari 2005), anayejulikana pia kwa jina la kisanii IShowSpeed au kwa kifupi Speed, ni YouTuber na mtiririshaji wa maudhui mtandaoni kutoka Marekani. Yeye ni miongoni mwa watiririshaji wa maudhui yya mtandaoni na miongoni mwa watu mashuhuri wa...
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Mchekeshaji Asmah wa Cheka Tu kanunua Mitsubishi Outlander: Kaleta na Outlander Tour!

    Kuna msanii wa kike wa vichekesho wa Cheka Tu, kipaji chake kimemlipa sasa amenunua ndinga, Mitsubishi Outlander 3rd generation ya mwaka 2016 hadi 2017. Inavyoelekea Wasanii wa comedy mambo yao yanaenda vizuri maana naona vijana wanatungua mandinga tu. Kila lakheri kwake. Outlander ni moja...
  8. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Natafuta noah road tour ama field tour

    Habari Natafuta noah road tour ama field tour tu offer ilokuwepo ni 13m isiwe imechezewa rangi niko dar nipe gari unayoijua tufanye biashara 0659756647 CALLS/WHATSAPP
  9. T

    JamiiForums Tanzania Tour de France 2025

    Wazee,kama kuna mpenzi wa mashindano ya baiskeli, naomba anijuze wapi ya mwaka huu 2025 ni live(king'amuzi gani). Hata Livestream nimetafuta hamna kitu.
  10. chiembe

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa, wape waandishi wa habari free tour ya uwanja wa Benjamin Mkapa watembelee kila mahali, usiwabane waone maeneo unayotaka

    Naona kama masuala ya uwanja huu yako restricted kwa free media tour. Nashauri Msigwa awaache waandishi wa habari wapite kila kona ikiwamo vyooni, vyumba vya kubadilishia nguo, VIP, waangalie viti, namba za viti, quiality, ticketing system na kila kitu wakiwa huru na wataalamu wa uwanja tu...
  11. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Tour Guide wa Kisasa: Maarifa Yako Ndiyo Silaha Yako"

    Kazi ya kuwa tour guide si tu kuonyesha maeneo – ni kuwa na uwezo wa kusimulia, kuelezea kwa usahihi na kuvutia, hadi mgeni ajione sehemu hiyo kwa moyo, si macho tu. Maarifa ya historia, utamaduni, na maisha ya watu ndio yanakufanya utofautiane na wengine. Unapozungumza kwa ufasaha, kwa lugha...
  12. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Tour Guide Feki, Leseni Feki – Mfumo Mnaulinda Weh, Lakini Sisi Tutaumbua Mpaka Mwisho

    Jamani hebu tuwe real kidogo... tusiwe wanafiki walahi! Hii sekta ya utalii na utamaduni imeingiliwa na watu wa ajabu ajabu, yaani watu wa mtaani wanavua magwanda ya boda boda, kesho unamkuta anakwambia “Hey I’m your professional guide, welcome to Tanzania” – kumbe jamaa hata hajui tofauti ya...
  13. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Wale Ma-Tour Guide na Tour Operators: Huu Ndio Uzi wa Kupiga Pesa Kiroho Safi kwa Digital Marketing, Wageni Waje Wenyewe

    familia, ma-savage wote wa hii game ya utalii — kama uko field kama tour guide, operator, dereva wa safari, au hata uko chuo unasomea tourism — hii ndo time yako ya kuamka kichwa baridi. Sahau story za kusubiri ajira serikalini au NGO, hizo ndo zile za watu wanaishi kwa matarajio na kuamka kila...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Ombi kwa Rais na Wizara ya Utamaduni – Royal Tour sehemu ya pili

    OMBI KWA RAIS NA WIZARA YA UTAMADUNI – ROYAL TOUR SEHEMU YA PILI Napenda kutoa wazo la dhati kwa Mheshimiwa Rais na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kuhusu kuanzishwa kwa Royal Tour Sehemu ya Pili, ambayo itakuwa ni sehemu muhimu katika kuonesha historia ya viongozi wetu wa jadi – Watemi...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 DJ wa Diamond, RJ the DJ atangaza "Mama Tour" kuzunguka zaidi ya mikoa 10 kumuunga mkono Rais Samia

    Wakuu DJ maarufu wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, RJ The DJ, ametangaza ziara yake ya muziki inayojulikana kama "RJ The DJ Mama Tour", ikiwa ni sehemu ya kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kaulimbiu ya "Naungana na Mama, Mitano Tena." Ziara hiyo itapita katika mikoa...
  16. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania itengeneze world-class golf course pembezoni mwa beach za wilaya ya pangani na kuomba kujiunga na PGA tour

    Katika beach nzuri za Tanzania ukitoa za zanzibar basi nyingine zipo wilaya ya pangani zile beach white sand beach ni nzuri sana Mandhari Pembeni mwa beach ni nzuri sana nini kifanyike Wilaya yote ya pangani ipimwe kisasa Kutengwe makazi ya wananchi wa kawaida Kutengwe makazi kwa ajili ya wale...
  17. Technophilic Pool

    JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki Anaependa Tour Tuwe tunasafiri kila mwaka kwenda nchi mbali mbali!

    Wakuu niko na obsession ya kusafiri kama wale youtuber shida sijapata company . Au mtu mwenye hoby kama yangu. So naishia kugairi kila mara Imagine sijafika hata BURUNDI tu. Kusafiri mwenyewe naona ni Risk sana hasa nchi za ugenini. Tuanze na nchi za Africa kwanza Mawazo tafadhari
  18. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania The Citizen: Sekta ya utalii yaongoza mapato ya nchi 2023/24; kongole kwa Royal Tour

    Kweli Rais Samia kafungua nchi, angalia takwimu hapa kwa mujibu wa The Citizen kama zilivyoletwa kutoka ripoti za BOT:- Kwenu muliobeza Royal Tour, ruksa kutoa povu. Ila nchi inasonga mbele
  19. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania I will describe the spotted leopard based on my 12 years of experience as a tour guide with a fearsome experience.

    The spotted leopard, scientifically known as Panthera pardus, is a highly adaptable and elusive big cat native to various parts of Africa and Asia. In the Serengeti National Park, these remarkable creatures exhibit several distinct characteristics: ### Characteristics: 1. Appearance: Spotted...
  20. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Unakuta tu amefika mji fulani kikazi anaanza kusema "duh huu mji una guest houses nyingi". Sasa unajiuliza jamaa akaenda kufanya sex tour ama nini😂

    Wewe umejuaje ni nyingi,😂😂😂 Shauri yako na wakati huu mtakondeana kama mshumaa kwa maana USAID wamed*nda hawatoi mavidonge ya bure
Back
Top Bottom