the royal tour

Royal tours of Canada by the Canadian royal family have been taking place since 1786, and continue into the 21st century, either as an official tour, a working tour, a vacation, or a period of military service by a member of the royal family. Originally, official tours were events predominantly for Canadians to see and possibly meet members of their Canadian Royal Family, with the associated patriotic pomp and spectacle. However, nearing the end of the 20th century, such occasions took on the added dimension of a theme; for instance, the 2005 tour of Saskatchewan and Alberta by Queen Elizabeth II and Prince Philip, Duke of Edinburgh, was deemed to be a vehicle for the Queen and Canadians to honour "The Spirit of Nation Builders." The couple's tour in 2010 was themed "Honouring the Canadian Record of Service— Past, Present and Future." Official royal tours have always been vested with civic importance, providing a regionalised country with a common thread of loyalty.The first member of the royal family to visit Canada was the future King William IV, who arrived on the country's east coast in 1786 while an officer in the Royal Navy. His niece, Queen Victoria, never came to Canada, but during her reign her son, the future King Edward VII, made the first modern Canadian royal tour: partaking in official engagements, meeting politicians and the public, and reviewing troops. There had been many invitations since 1858 for the reigning monarch to tour Canada, but in 1939 King George VI was the first to do so. During that trip, the King's wife, Queen Elizabeth, initiated the tradition of the "royal walkabout", though her brother-in-law, the former King Edward VIII, had often met ordinary Canadian people in 1919; as he said: "Getting off the train to stretch my legs, I would start up conversations with farmers, section hands, miners, small town editors or newly arrived immigrants from Europe."Royal tours can take more than a year to organize. The planning is coordinated by the Canadian Secretary to the Queen. The regions to be visited are decided by a rotational formula. Modern tours have run with a theme; for instance the visit of Elizabeth II and the Duke of Edinburgh in 2010 was intended to highlight "the Canadian record of service—past, present and future"; themes are decided upon by the Queen's secretary together with the Minister of Canadian Heritage and the Office of the Prime Minister.

View More On Wikipedia.org
  1. ChoiceVariable

    The Royal Tour ya Rais Samia yarejesha heshima ya Utalii kama Sekta kinara ya kuleta fedha nyingi za kigeni baada ya miaka 4 ya kuporomoka

    Sekta ya Utalii imerejea tena kuwa Kinara wa kuingiza Fedha nyingi za Kigeni Kufuatia kuporomoka kwake miaka 4 iliyopita. Kwa kipindi chote hicho sekta ya Madini hasa dhahabu ndio ilikuwa inaiokoa Nchi kwenye Suala la Fedha za kigeni. Kurejea Kwa Utalii ni ushahidi na Ushindi mkubwa Kwa The...
  2. JanguKamaJangu

    Filamu ya “The Royal Tour” iliyotafsiriwa Kijapan yazinduliwa Japan

    Wageni wanaotembelea Banda la Tanzania katika Maonesho ya Kimataifa ya Utalii yanayoendelea nchini Japan wakiangalia Filamu ya "The Royal Tour" Tanzania imetumia Maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Japan (Japan Tourism Expo) yanayofanyika nchini humo kuanzia tarehe 22 – 25 Septemba 2022 kuzindua...
  3. Nasema Uongo Ndugu Zangu

    The Hidden Tanzania: Filamu itakayofuata baada ya The Royal Tour

    Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni nyota wa filamu ya Tanzania The Royal Tour ameahidi kuja na filamu nyingine itakayoitwa The Hidden Tanzania. Rais Samia amesema filamu hiyo italenga kuonesha vivutio ambavyo havikuonekana katika filamu yakwanza...
  4. Roving Journalist

    Rais Samia: Nilikuwa Tour Guider kwenye movie ya Royal Tour

    RAIS SAMIA AKISHIRIKI UZINDUZI WA FILAMU YA THE ROYAL TOUR - JNICC, DAR ES SALAAM Tulianzia Marekani kwa kuwa utalii uliathirika na COVID na watalii kutoka Marekani walipungua. Sekta ya Utalii inaajiri 4% ya watanzania na iliathirika sana wakati wa COVID19. Rais Samia. Filamu ilikamilika...
  5. Peter Madukwa

    The Royal Tour: Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA ampongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi nzuri

    Aliyekuwa mbunge wa Iringa mjini kupitia CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa amempongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi uzuri na ubunifu wa Filamu maarufu ya kitalii ya THE ROYAL TOUR. Kiongozi huyo wa CHADEMA wa nyanda za juu kusini amesema kuwa inawezekana labda kuna mapungufu madogomadogo...
  6. voicer

    Royal Tour! kulikoni wagharimiaji hawatajwi hadharani? Tunaishia kuambiwa ni Watu Binafsi

    Tangu Rais Samia ameingia nchini leo asubuhi. Ametoa hotuba mara mbili kupitia TBC. Moja ni pale Kwenye hafla fupi ya mapokezi uwanjani Kilimanjaro, leo asubuhi. Na nyingine ni pale AICC kwenye uzinduzi wa Royal Tour nchini jioni hii. Mara zote Mheshimiwa Raisi amelipa kipaumbele suala la...
  7. Mshana Jr

    Royal Tour ni kichocheo tu, mamlaka zisijisahau

    Ni mwezi wa royal tour (jina haliakisi Utanzania) Bado tuna safari ndefu kujinasua kwenye makucha ya mabeberu, lakini hili si hoja yangu kwa leo. Wabongo tuna tatizo sugu na lazima tuliseme hapa wazi na hili ni tatizo mpaka kwenye mamlaka zetu Rasilimali watu hatuipi kipeumbele hata siku moja...
  8. Q

    Filamu ya The Royal Tour kuonyeshwa vituo vyote vya TV Mei 8

    "Kamati ya Kitaifa ya Rais ya Kutangaza Tanzania, imesema kuwa Mei 8, 2022 Filamu ya Tanzania ‘The Royal Tour’ itaoneshwa vituo vyote vya Runinga Nchini ili watanzania wote wapate nafasi ya kuiona."-Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi.
  9. Stroke

    Filamu ya Royal Tour Ingezinduliwa Tanzania Badala ya Marekani kuepuka gharama

    Tunaambiwa kwamba filamu ya Royal Tour yenye kupromote Utalii imegharimu Shilingi za Kitanzania Bilioni tisa. (9). Leo tunaambiwa Rais ana safari ya kikazi yeye na delegation yake marekani na moja wapo ya mambo atayoyafanya ni kuzindua filamu ya Roya Tour. Kwakua hizo kazi nyingine atazofanya...
  10. J

    CCM: Taarifa Kuhusu ROYAL TOUR 2022

    Taarifa ya CCM Kuhusu Uzinduzi Royal Tour Jumatatu, April 18, 2022 #ChamaImara #KaziIendelee
  11. Boss la DP World

    Nimeshindwa kumwelewa huyu Muingereza

    Habari za leo, nilikuwa napiga story na mwingereza mmoja ambaye amewekeza kwenye sekta ya utalii hapa nchini hususani katika hoteli za kitalii, tulizungumza mengi kuhusu utalii nchini Tanzania. Nilipo muuliza kuhusu namna alivyojipanga kupokea lundo la watalii baada ya filamu ya Royal Tour...
  12. Kasomi

    "THE ROYAL TOUR" official trailer

    "THE ROYAL TOUR" official trailer Video hii ni utangulizi rasmi (official trailer) wa filamu ya kihistoria ya "THE ROYAL TOUR" ambayo Rais wetu Samia Suluhu Hassan ameshiriki akiwa Mwongozaji Mkuu kutangaza Utalii, Uwekezaji na Nyanja nyingine mbalimbali zikiwemo za sanaa na utamaduni wetu...
  13. The Sheriff

    Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii

    Rais Samia Suluhu Hassan akiwa katika moja ya ziara zake kurekodi The Royal Tour, 2021 Tumesikia na kuona Rais Samia akiwa katika kile kilichojulikana kama The Royal Tour, lakini huenda kuna baadhi yetu hatujaelewa ni kitu gani hiki. Wapo wanaodhani Rais kajitungia jina na kutafuta wapiga...
  14. Stephano Mgendanyi

    President Samia's Royal Tour: A new gear for the country's tourism, trade & investment development

    WEDNESDAY SEPTEMBER 08, 2021 President Samia Suluhu Hassan is now spending over a week's time in preparation of the most awaited documentary that explores the finest attractions of the country's sites. Equally hit by the Covid-19 pandemic since late 2019, that has seen world's traveling and...
  15. Papaa Mobimba

    Serikali: Wanaosambaza picha za Rais Samia akiwa kwenye vivutio mbalimbali waache mara moja

    Wizara ya Maliasili na Utalii imesema kuwa picha za Rais Samia Suluhu Hassan zinazosambazwa mitandaoni zikimwonesha akiwa kwenye vivutio mbalimbali vya utalii, sio rasmi na hazina kibali cha serikali. Wizara imewaonya wote wanaohusika na kuwataka waache mara moja.
  16. Stephano Mgendanyi

    The royal tour kupaisha utalii na uchumi wetu wa Tanzania

    THE ROYAL TOUR KUPAISHA UTALII NA UCHUMI WETU WA TANZANIA Heko kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kuongoza na kurekodi kipindi Maalum cha The Royal Tour kuonyesha vivutio vyetu vya utalii,utamaduni wetu pamoja na vivutio vya Uchumi katika Taifa letu...
  17. Lord denning

    Rais Samia, The Royal Tour isiache maeneo haya...

    Amani iwe nawe Mama yangu! Kwanza napenda kukupongeza kwa hii creativity kubwa uliyokuja nayo ya kushiriki na kuiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia kupitia program maarufu ya “The Royal Tour” Program hii kwa ufahamu wangu imezinyanyua nchi nyingi sana katika sekta ya Utalii na Uwekezaji Mf...
  18. maiyanga1

    Maswali kwa Wizara ya Maliasili na Utalii kuhusu Royal Tour ya Rais Samia Suluhu

    Kwa sasa hivi rais Samia yuko kwenye Royal Tour akitengeneza filam ili kutangaza vivutio vya utalii kwa lengo la kuvutia watalii wa nje. Ni jambo jema sana. Maswali kwenu: 1. Gharama za kutengeneza filamu hiyo ni kiasi gani? 2. Je, gharama hizo zilipangwa kwenye bajeti ya 21/22? 3. Rais...
Back
Top Bottom