Kila kitu kizuri kinachoonekana mbele ya macho yako leo.,elewa ya kua ni mipango ya watu nyuma. Maisha ni kama story yana kila hatua na matukio mbalimbali.
Yakuhuzunisha, kufurahisha na hata kuvunja moyo ila isiwe kama sababu kwako au pengine tunatofautiana mpango wa fedha kutokana na familia...
Moja ya mambo ambayo yamekua changamoto kwa wadau wengi ni malalamiko juu ya umeme kuisha haraka pasipokujua nini sababu.
Leo kelphin ntakupa au ntakukumbusha jambo moja au zaidi ya kuzingatia. Ikiwa kuna mdau yupo anafahamu zaidi anaweza kuongezea pia.
Vifaa vyote vinavyotumia umeme hupimwa...
Habari ya wakati
Natumaini tuko salama
Fanya haya ili subwoofer yako na sound system yako idumu kwa muda mrefu
[emoji1314] usichajie simu sehemu ya kuchomeka frash disk
Sababu hi imekua ndio sababu kuu ya kuuwa system ya frash ya watu wengi zaidi Ile haikutengenzwa kwajiri ya kuchajia bali...
Ambwene mwasongwe kwenye wimbo wake wa nguvu ya kujua kuna sehemu anasema “Moyo wa mtu ni kichaka, umehifadhi mambo mengi”
Neno maisha ni fupi ila lina namna zaidi ya moja ya kulielezea, Watu wanapitia mambo mazito sana,
Kikazi
Mahusiano
Na familia kiujumla
Mengine ni aibu kubwa,huwezi...
Nitumie mfano harisi kwenye maisha yangu mwenyewe,
Hi ikupe mwanga wewe kuendelea kupigana kwenye hicho unachokifanya.
Tangia mdogo nlipenda sana mambo ya ufundi,hasa umeme na electonics kiujumla. Hata nyuzi zangu humu zimejikita zaidi kwenye mambo hayo.
Pengine nlikosa ada yakusomea mambo...
Habari wakuu....
Ninae rafiki yangu wa karibu (tunafanya kazi pamoja)
Ana mahusiano na dada mmoja kwa muda sasa
Na wameshafanya mambo kadhaa pamoja...
Changamoto ni kua huyu jamaa yangu anaemdogo wake
Mdogo wake nae anamtongoza huyu dada bila ya kujua kama kaka yake ndio usingizi wake..
Je...
Ajari mbaya ya basi la isamilo imetokea muda hu,
Ilikua inatokea Mwanza kwenda Mbeya. Inasemekana wamefaliki watu wa nne (wahudumu wa basi,na abilia mmoja)pia kuna majeruhi kadhaa
Ila madereva wote wawili wamepona (aliekua anaendesha basi na lori pia). Ajali imetokea nje ya kidogo ya kijiji...
Hi..
Hi ni kwa wapenda luxury [emoji6]
Hi ni wireless mouse inayounganisha pc au desktop na smartphones iwe android au iPhone
Anza kwa ku downlod remote mouse kwenye computer yako
Kisha download tena kwenye simu yako, kisha onanisha ziwasiliane kwenye mtandao mmoja,
Mfano washa hotspots kwenye...
Hi mambo niaje...
Kwa wale wapenda burudani ya music kama mimi,
Equlizer Apo ni software ya window inayokupa uwezo wakuset usikivu wa music kwa naamna unavyotaka wewe
Software hi inakuja na uwezo wa
Kuongeza gain ya music( sauti kua kubwa bila kuweka makelele)
Kupangilia music kadri ya...
Dunia ina mengi ambayo yapo kwenye mazingira yetu ya kila siku,ila wengine wanajua wewe haujui.
Wewe unajua wengine hawajui,
Share unacho kijua tuongeze ujuzi.
Karibu.
Hellow,
Kumekua na malalamiko mengi sana juu ya ajira kua zimekua ngumu lakini kulalamika kwetu bado hakuleti tija, zaidi ya vyote kila mwaka wanachuo wapya wengine wanazidi kumaliza idadi yao wanakua wengi zaidi mtaani ikilinganishwa na utokaji wa ajira
Hi ikufikie wewe kujana mmojawapo...
Nilikua ninawazo la biashara ya kuuza T na Subwoofers
Je kwa kima cha chini cha mtaji itafaa niwe na shingapi?
Location ni Iringa wilayani?
Je risk zake zimekaaje?
Connection ya kuzipata kiurahisi na bei nzuri nichukulie wapi?
Na mengineyo ya kibiashara
Karibu
Hellow mambo vipi,
Kama ilivyo ada ya urafiki kwa Watanzania. Kwa ujuzi wangu kiasi nilionao na dhati kabisa ya moyo wangu ,nimeamua kuanzisha uzi hu
Kwako kijana mwenzangu unaependa kujua kusuka na kurekebisha matatizo madogo na makubwa ya audio amplifier kiujumla ni eneo lako.
Karibu...
Habari za wakati wakubwa
Kuna jambo linanitatiza
Ambalo kwa hakika humu ndimo sehemu ya kupata majibu.
Nafahamu ya kua kwenye gari kuna engine-transmission line(gia box)-kisha wheels
Nafahamu kua kwenye engine kuna piston na shafti ile inayofungwa hizo piston , na ile head pale juu
Sasa je...
Ni wazo tu kwa wasomi na mafundi wenzangu wa masuala ya umeme. Kwasababu tumetofautiana elimu na uelewa
Je hatuwezi ku design distribution board au wengine wanaita mainswitch ya nyumbani au hata kiwanda pia ambayo itakua inafanya kazi kwa mfumo wa ki electronic
Iwe na display ambayo inaonesha...
Ikiwa inakusumbua,ikiwa unataka kufahamu chochote kinachokutatiza.
Karibu
Nieleze kidogo kuhusu subwoofer
Je, unataka kununua, basi zingatia haya.
Zipo za aina mbili old model na digital. Siyo majina hapana ,yaani inaweza kua rising,seapiano,codjec,aborder au vyovyote Ila itakua digital au...
Jumapili iliyopita wananchi walikua na Jambo lao pale Mkapa stadium,.wasanii kadhaa waliimba mbele ya wananchi.
Lakini alipokuja harmonize alijaribu na akafanikiwa kwa asilimia nyingi kuonesha utofauti na kuthubutu kuipamba onesho lake,japo kunamakosa kiasi yalijitokeza.
Tukiliangalia tukio...
Wakuu salaam!
Kwa yeyote mwenye home theater mbovu, iliyoungu haiwaki, hauna kabisa mpango wakuilekebisha, hata Kama imeshatolewa circuit zake za ndani, yaani kifupi bovu bovu tu ninahitaji.
Utanipa Bei yako, tukikubaliana unaniuzia, Ila speaker zake na housing viwepo, remote Sina shida nayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.