kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,079
- 14,381
Ambwene mwasongwe kwenye wimbo wake wa nguvu ya kujua kuna sehemu anasema “Moyo wa mtu ni kichaka, umehifadhi mambo mengi”
Neno maisha ni fupi ila lina namna zaidi ya moja ya kulielezea, Watu wanapitia mambo mazito sana,
Unapoona mtu amejinyonga au kunywa sumu ajiuwe kwa hari ya kawaida unaweza kumlaumu au hata kuaani vikali(sina maana kua nnakubaliana nao) hapana. Siwezi kuzuia ila elewa kua kuna wakati unafikia
Kuna ambao utatamani kuwasikiliza. Na pengine wengine usiombe hata waendelee na mikasa yao. Watu wanaishi na makovu makubwa ndani yao,wengine wanavisasi na hasira kuu
Unapoona mama furani (l,r) ameolewa ikiwa ametoka tu kumzika mumewe kikawaida tutaona kwa namna yetu ila hatujui mengi nyuma yake! Hata kwa wanaume vivyo hivyo
Hii haina uhusiano na jinsia ya mwanadamu. Mwanaume anachukuliwa kama ni mtu mgumu kwa namna ya kani ila haina maana kua maumivu ya ndani yanatofautina. Mwanaume anaumia sana pale
Ni kwasababu hakuna unafuu,haiupi moyo wako nafasi ya kupumua. Hivyo ni heri ukiishi nayo!..
Maisha ni hadithi. Maisha ni filamu unayoiigiza na kuitazama mwenyewe na kuwapa watu nafasi kidogo watu wengine waitazame. Shiriki huduma za jamii ishi na shilikiana na watu vyema. Ishi maisha yako, timiza wajibu na malengo yako. Mengine yaache kama yalivyo.
Neno maisha ni fupi ila lina namna zaidi ya moja ya kulielezea, Watu wanapitia mambo mazito sana,
- Kikazi
- Mahusiano
- Na familia kiujumla
Unapoona mtu amejinyonga au kunywa sumu ajiuwe kwa hari ya kawaida unaweza kumlaumu au hata kuaani vikali(sina maana kua nnakubaliana nao) hapana. Siwezi kuzuia ila elewa kua kuna wakati unafikia
- Unahisi hakuna sehemu salama kwako kupiga hatua
- Huwezi kusimama kwasababu hauna pakushika
- Huoni kama kuna asubuhi mbele yako
- Hauhisi kama kuna siku mpya itakuja,
- Mwisho unaona Afadhali kama usiwepo sababu uwepo wako ndio umekupa hayo!
Kuna ambao utatamani kuwasikiliza. Na pengine wengine usiombe hata waendelee na mikasa yao. Watu wanaishi na makovu makubwa ndani yao,wengine wanavisasi na hasira kuu
Unapoona mama furani (l,r) ameolewa ikiwa ametoka tu kumzika mumewe kikawaida tutaona kwa namna yetu ila hatujui mengi nyuma yake! Hata kwa wanaume vivyo hivyo
Hii haina uhusiano na jinsia ya mwanadamu. Mwanaume anachukuliwa kama ni mtu mgumu kwa namna ya kani ila haina maana kua maumivu ya ndani yanatofautina. Mwanaume anaumia sana pale
- Anaposhindwa kutimiza majukumu yake (kwa namna yoyote ile)
- Au malengo yake yanapokwama
- Au ngome yake kuingiliwa
Ni kwasababu hakuna unafuu,haiupi moyo wako nafasi ya kupumua. Hivyo ni heri ukiishi nayo!..
Maisha ni hadithi. Maisha ni filamu unayoiigiza na kuitazama mwenyewe na kuwapa watu nafasi kidogo watu wengine waitazame. Shiriki huduma za jamii ishi na shilikiana na watu vyema. Ishi maisha yako, timiza wajibu na malengo yako. Mengine yaache kama yalivyo.