Huko nyuma watu waliojitenga na Kanisa katoliki kwa kumpinga Papa na maamuzi yake wakikuwa wanawaona wakaidi wenye shetani la uasi na waliopotoka
Baada ya yamko la Papa kuruhusu kubariki wapenzi wa Jinsia moja Papa kapingwa na mabaraza ya Maaskofu nchi nyingi tu
Moto unafukuta waumini wengi...
Serikali ingewapigia kelele mapema Hamas kuwa waachie Watanzania waliowateka wangewaachia kwa kuogopa kuharibika uhusiano kati ya Tanzania na Palestina
Kwa kweli ukimua wa serikali kwa Hamas unatoa meseji gani?
Kupiga yowe walishindwa au hata.
kuitisha press conference tu kulaani kutekwa kwa...
Hospital ya Alshifa Makao makuu ya jeshi la Hamas wakati wa ukoloni yalikuwa Makao makuu ya Jeshi la Mwingereza
Mwingereza alipoondoka hayo makao makuu ya Jeshi la Mwingereza ikageuzwa Hospitali ya rufaa kuficha lakini ikaendelea kuwa makao makuu ya jeshi la Hamas hadi leo
Ndio maana waziri...
Wataalamu, kwanini Tanzania watu wanawahi kujenga kwanza ndipo Miundombinu inafuata wakishajenga?
Unakuta kuanzia barabara, maji, umeme nk, vinasubiri hadi watu wajenge kwanza ndipo wapeleke.
Kwanini wasiweke kabla miundombinu halafu watu wakienda kujenga iwe tayari ipo?
Gwajima akihubiri kanisani kwake asema Mtume wao ni Mohamed ( SAW) na Kuruani yao wanaisoma kwa Kiarabu
Msikilize kwenye hii Video
Ama kweli kanisa limeingiliwa
https://www.youtube.com/watch?v=JN00GIgYmwU
Jamani ni tetesi naendelea kusaka taarifa za uhakika.
Inasemekana Baada ya Russia kuona Marekani anasaidia Ukraine na Ukraine anakuwa mgumu kumshinda sababu anapata support ya Marekani kijeshi Russia aliamua kusaidia Hamas wavamie Israeli akijua Marekani watajikita Israeli na kusahau Ukraine...
Kwenye vita Askari wanaruhusiwa kutekana nyara lakini Askari wa pande zote xinaxopigana hawaruhusiwi kuteka raia wa kawaida na kuwafanya mateka wa kivita.
Hamas kuteka Raia wakiwemo watanzania wenzetu wawili kivita haikubaliki popote kwenye Medani za vita ni kinyume kabisa na sheria za...
Kirefu cha chama tawala cha Palestine k cha FATAH kina jina la kifilisti kirefu ni Ḥarakat al-Taḥrīr al-Waṭanī l-Filasṭīnī yaani Chama cha wanaharakati wa kifilisti.
Wafilisti ni ndugu zake na Goliathi kwenye Biblia
Vyama vya siasa Tanzania viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina uliopo nchin kudai watanzania wenzetu wanaoshikiliwa mateka na Hamas waachwe huru
Palestina kuna makundi mawili yenye nguvu yanayoongoza Palestina.Moja ni la Raisi wa Sasa wa Palestina Mohamood Abbas ambaye ana jeshi lake la Palestine Liberation Amry ambalo ni muunganiko.wa wapiganaji wake wa Fatah na wengine wanaomuunga mkono wao Wao wanatawala West Bank ya Palestine
Mwaka...
Mungu kwenye Biblia alimwagiza Joshua ateketeze adui wote yeye akakaidi
Joshua 11:22 akabakiza watu wa Gaza,Gathi na Ashidodi
1 Samueli sura ya 17 ndiko alikotokea Goliathi kamanda wa vita aliyesumbua Israel
Ashdodi waliteka sanduku la Mungu la agano wakaenda kuliweka kwenye chumba cha Mungu...
Sintofahamu inayoendelea sasa hivi Issue ya Dp World ilitakuwa kuwa solved kidogo tu.
Viongozi wa serikali walikutana na viongozi wa dini kuhusu hilo swala Wakaeleza kutoridhikia na wakatoa maoni yao na kusihi serikali na bunge waangalie ushauri wao wawape mrejesho.
Matokeo serikali na bunge...
Mechi ya jana simba walielemewa kila upande dakika zote tisini
Kipa wa simba alikuwa busy dakika zote tisini hakuna kupumzika
Kipa wa Yanga muda mwingi hakuwa na kazi a relax muda wote wa dakika 90.Sababu yanga timu ilikuwa muda wote msitari wa mbele kuhakikisha simba haipeleki mpira golini...
Architecs waliosababisha CCM karibu iondoke madarakani 2015 ndio hao hao walioleta DP World lengo hasa lao ni kuwa walishindwa kufikia malengo yao kung'oa CCM wameingia part 2 ya kubuni agenda ili wengi wachukie CCM na 2025 wananchi waiondoe.
Wafanya mapinduzi mafisadi huwa wako smart kupanga...
Sababu za baadhi ya waajiri kupenda kuajiri wanaume waliooa kuliko vijana wasiooa
1 .Wanaume waliooa huwa wasikivu sana wakiongeoleshwa na mabosi sababu tabia hiyo ya kuwa wasikivu huipata nyumbani bako mke huongea na hataki kukatizwa akiongea
2.Wanaume waliooa huwahi sana kazini kukimbia...
Cheti xha ndoa huwa kina ukurasa mmoja ulio una vyeti viwili vinavyofanana
Waliotengeneza ukurasa mmoja walimaanisha watu hao wanakuwa kitu kimoja yaani wawili wanaungana kuwa ukurasa mmoja.Huwa zina sehemu mbili.lengo.likiwa kila mmoja again kutengeneza cheti kimoja cha ukurasa mmoja ili...
Ukisoma Biblia Mungu aliongea na Musa Misri
Ndipo imani ya Mungu wa Kweli ilipoanzia baadaye ikapelekwa Israel ambako Yesu ndiko alizaliwa tokana na kizazi kilichotoka Afrika na kwenda kuishi Israel kikiongozwa na Musa na Joshua.
Yesu kizazi cha Africa alipotaka kuuawa Israel akiwa mtoto...
Teknolojia imekuwa kisingizio cha kukaribisha wawekezaji wageni kutoka kila sehemu duniani
Watanzania pia teknolojia tunazo pia very advanced mfano kuruka kwa ungo kutoka sehemu moja hadi ingine bila kuonekana
Serikali haioni ni wakati muafaka kukaribisha wawekezaji kwenye hiyo sekta watumia...
Slava Ukraini
Urusi ni wazi kuwa toka ukomunisti uanguke haina Jeshi imara tena ndio maana wakakodi Wagner Group kuwasaidia kupigana na Ukraine
Hii vita imefichua siri za Jeshi la Urusi kuwa haliko fit kama lilivyokuwa likidhaniwa na propaganda za zurusi na washirika wao
Ni mara ya kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.