Ndoa nyingi kuwa na matatizo husababishwa na mfungisha kuchana cheti cha ndoa vipande viwili na kuwagawia kila mmoja kipande chake

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,907
Cheti xha ndoa huwa kina ukurasa mmoja ulio una vyeti viwili vinavyofanana

Waliotengeneza ukurasa mmoja walimaanisha watu hao wanakuwa kitu kimoja yaani wawili wanaungana kuwa ukurasa mmoja.Huwa zina sehemu mbili.lengo.likiwa kila mmoja again kutengeneza cheti kimoja cha ukurasa mmoja ili waanze ukurasa mmoja wa maisha

Sasa kivumbi huja pale wakishasaini vyeti .Mfunga ndoa badala ya kuwakabidhi chote kizima hukuchana pale pale pande mbili na kumkabidhi kila mmoja copy yake

Kitendo kile.cha kuchana kiimani na katika ulimwengu wa Roho ni sawa na kuchana vipande viwili ndoa iliyofungwa.Hivyo wanaondoka kama walivyokuja.Walikuja kila mtu kivyake wanaondoka kila mtu kivyake.Ndoa huanza kuvurugikia palepale kwa mfungishaji kuchana cheti akivunja na kuiharibu kwa kitendo chake cha kuchana cheti.Anapochana ni kama Anasema nanchang ndoa hii huko muendako iende imechanika


Wakifika mbele matatizo yanaanza kwenye ndoa hadi kupelekea kuvunjika

Kama cheti chako mlipofunga ndoa kilichanwa vipande viwili kila mmoja akapewa kipande chake ukiona mambo hayaendi jua sababu hiyo

Cha Kenya Mwombe Mungu sana akusaidie kwenye hiyo ndoa mpasuko na yenye misukosuko kibao

Kwa wale ambao bado kufunga .ndoa mwambie kabisa mfungishaji asichane cheti cha ndoa vipande.viwili awakabidhi kama kilivyo kama kuchana mtaenda kuchana wenyewe sio yeye..
 
PUNDAMILIA ni MZURI kwa kumtazama ukiwa porini kwa utalii, PUNDA wa mizigo na mikiki ndiyo hutulia nyumbani kazi ni kwako,
 

Attachments

  • Screenshot_20230707-093306~2.png
    Screenshot_20230707-093306~2.png
    256.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20230707-094713~2.png
    Screenshot_20230707-094713~2.png
    223.5 KB · Views: 3
Kuna Watu mnakipaji cha ujinga Sana.

Hakuna uhusiano baina ya kile Cheti cha ndoa na Ndoa yenyewe. Ni MTU mjinga anayeweza kuhusianisha kuachana au kupendana na Cheti cha ndoa au Ile Pete.
 
Kuna Watu mnakipaji cha ujinga Sana.

Hakuna uhusiano baina ya kile Cheti cha ndoa na Ndoa yenyewe. Ni MTU mjinga anayeweza kuhusianisha kuachana au kupendana na Cheti cha ndoa au Ile Pete.
Wanaojielewa wanaelewa nilichoandika.Hata darasani ukifundisha si.lazima wanafunzi wote waelewe.Wengine hutoka sifuri kabisa
 
Ndoa nyingi kuvunjika husababishwa na wana ndoa kila mmoja kuwa na ndoto zake binafsi tofauti na mwingne, zaman wanawake ili wabidi wafuate ndoto za mume wake ,jamii ilijengwa hivyo na walitii haswa , ila ndoa za sasa mwanaume ana taman kuwa mfanyabiashara mkubwa, mwanamke anataman kuongeza vijora awakomeshe mashoga zake , mwanaume anataman aweke heshima bar ,mwanamke anataman kujenga , apo lazima kuwe na tafrani ,ili ndoa idumu inabidi mmoja akubali kuishi ndoto za mwenzake ziwe ni mbaya au nzuri.
 
Wanaojielewa wanaelewa nilichoandika.Hata darasani ukifundisha si.lazima wanafunzi wote waelewe.Wengine hutoka sifuri kabisa

Ndoa Ipo moyoni.
Kiroho ndoa Ipo rohoni na wala haipo kwenye hizo karatasi au Pete.

Ni Watu wajinga na wenye Akili fupi ndio hufikiri Ile karatasi ya Ndoa au Ile Pete inauhusiano wowote na Ndoa.

Hata Mwalimu mjinga huwa na Darasa la Wanafunzi wajinga
 
Ndoa nyingi zinavunjia sababu wengi wameolewa na watu ambao sio wa kwao

Yaani mume au mke sio wa Agano lako..
 
Ndoa Ipo moyoni.
Kiroho ndoa Ipo rohoni na wala haipo kwenye hizo karatasi au Pete.

Ni Watu wajinga na wenye Akili fupi ndio hufikiri Ile karatasi ya Ndoa au Ile Pete inauhusiano wowote na Ndoa.

Hata Mwalimu mjinga huwa na Darasa la Wanafunzi wajinga
Cheti ni ushahidi wa kisheria unaojitegemea kuwa mtu kama au kuolewa sio zile ndoa za kubebana tu ambazo ukitaka kuthibitisha kuwa umeoa au kuolewa mashahidi nanatakiwa ukoo.mzima na majirani mtaa mzima kuthibitisha kuwa umeoa au kuolewa walete.ushahodi wa kuchonga.midomo
 
Cheti xha ndoa huwa kina ukurasa mmoja ulio una vyeti viwili vinavyofanana

Waliotengeneza ukurasa mmoja walimaanisha watu hao wanakuwa kitu kimoja yaani wawili wanaungana kuwa ukurasa mmoja.Huwa zina sehemu mbili.lengo.likiwa kila mmoja again kutengeneza cheti kimoja cha ukurasa mmoja ili waanze ukurasa mmoja wa maisha

Sasa kivumbi huja pale wakishasaini vyeti .Mfunga ndoa badala ya kuwakabidhi chote kizima hukuchana pale pale pande mbili na kumkabidhi kila mmoja copy yake

Kitendo kile.cha kuchana kiimani na katika ulimwengu wa Roho ni sawa na kuchana vipande viwili ndoa iliyofungwa.Hivyo wanaondoka kama walivyokuja.Walikuja kila mtu kivyake wanaondoka kila mtu kivyake.Ndoa huanza kuvurugikia palepale kwa mfungishaji kuchana cheti akivunja na kuiharibu kwa kitendo chake cha kuchana cheti.Anapochana ni kama Anasema nanchang ndoa hii huko muendako iende imechanika


Wakifika mbele matatizo yanaanza kwenye ndoa hadi kupelekea kuvunjika

Kama cheti chako mlipofunga ndoa kilichanwa vipande viwili kila mmoja akapewa kipande chake ukiona mambo hayaendi jua sababu hiyo

Cha Kenya Mwombe Mungu sana akusaidie kwenye hiyo ndoa mpasuko na yenye misukosuko kibao

Kwa wale ambao bado kufunga .ndoa mwambie kabisa mfungishaji asichane cheti cha ndoa vipande.viwili awakabidhi kama kilivyo kama kuchana mtaenda kuchana wenyewe sio yeye..
ndoa siyo cheti
 
Ndoa nyingi zinavunjia sababu wengi wameolewa na watu ambao sio wa kwao

Yaani mume au mke sio wa Agano lako..
Akuna Mume wa mtu na mke wa mtu ndio maana mbegu za kiume hazichagui huyu ni mke wa mtu au mume wa mtu zinarutubisha tu yai, labda tu kale kaustarabu tulichojiwekea binadamu kujitofautisha na wanyama wengne kama igo yetu ilivyotuelekeza ,kinyume na apo ni imani tu .
 
Back
Top Bottom