YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
Wataalamu, kwanini Tanzania watu wanawahi kujenga kwanza ndipo Miundombinu inafuata wakishajenga?
Unakuta kuanzia barabara, maji, umeme nk, vinasubiri hadi watu wajenge kwanza ndipo wapeleke.
Kwanini wasiweke kabla miundombinu halafu watu wakienda kujenga iwe tayari ipo?
Unakuta kuanzia barabara, maji, umeme nk, vinasubiri hadi watu wajenge kwanza ndipo wapeleke.
Kwanini wasiweke kabla miundombinu halafu watu wakienda kujenga iwe tayari ipo?