YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
Jamani ni tetesi naendelea kusaka taarifa za uhakika.
Inasemekana Baada ya Russia kuona Marekani anasaidia Ukraine na Ukraine anakuwa mgumu kumshinda sababu anapata support ya Marekani kijeshi Russia aliamua kusaidia Hamas wavamie Israeli akijua Marekani watajikita Israeli na kusahau Ukraine ili Wakati Marekani anahangaika kuelekeza misaada kijeshi Israeli kule Ukraine wawe dhaifu awapige.
Ndio maana nchi nyingi unga mkono Russia wanaunga mkono Hamas na wako tayari kutoa vifaa vya kivita na Askari kupiga Israel toka pande mbalimbali.
Ukisikiliza Hamas wakijieleza wanasena wazi kuwa plan ya safari hii kuvamia Israeli ilichukua miaka miliwi ambayo ndio hiyo hiyo ambayo Russia anapigana na Ukraine.
Maana yake toka day one ya kwenda kuvamia Ukraine, Russia alianza kuwaandaa Hamas kwa uvamizi mkubwa Israeli.
Uvamizi ule una mkono wa Russia.
Pia mapinduzi mengi nchi za magharibi mwa Afrika yaliyokuwa chini ya ufaransa yanaongozwa na Russia lengo likiwa kuifanya ufaransa ihangaike huko inches kusaidia Ukraine sababu ufaransa ni mtoaji mkubwa pia wa misaada ya kijeshi Ukraine.
Mapinduzi hayo hayakutokea ghafla urusi kayapanga muda huo.wa miaka miwili ya vita na Ukraine.
Inasemekana Baada ya Russia kuona Marekani anasaidia Ukraine na Ukraine anakuwa mgumu kumshinda sababu anapata support ya Marekani kijeshi Russia aliamua kusaidia Hamas wavamie Israeli akijua Marekani watajikita Israeli na kusahau Ukraine ili Wakati Marekani anahangaika kuelekeza misaada kijeshi Israeli kule Ukraine wawe dhaifu awapige.
Ndio maana nchi nyingi unga mkono Russia wanaunga mkono Hamas na wako tayari kutoa vifaa vya kivita na Askari kupiga Israel toka pande mbalimbali.
Ukisikiliza Hamas wakijieleza wanasena wazi kuwa plan ya safari hii kuvamia Israeli ilichukua miaka miliwi ambayo ndio hiyo hiyo ambayo Russia anapigana na Ukraine.
Maana yake toka day one ya kwenda kuvamia Ukraine, Russia alianza kuwaandaa Hamas kwa uvamizi mkubwa Israeli.
Uvamizi ule una mkono wa Russia.
Pia mapinduzi mengi nchi za magharibi mwa Afrika yaliyokuwa chini ya ufaransa yanaongozwa na Russia lengo likiwa kuifanya ufaransa ihangaike huko inches kusaidia Ukraine sababu ufaransa ni mtoaji mkubwa pia wa misaada ya kijeshi Ukraine.
Mapinduzi hayo hayakutokea ghafla urusi kayapanga muda huo.wa miaka miwili ya vita na Ukraine.