Hamas kuteka Raia kivita haikubaliki popote kwenye Medani za vita ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,906
Kwenye vita Askari wanaruhusiwa kutekana nyara lakini Askari wa pande zote xinaxopigana hawaruhusiwi kuteka raia wa kawaida na kuwafanya mateka wa kivita.

Hamas kuteka Raia wakiwemo watanzania wenzetu wawili kivita haikubaliki popote kwenye Medani za vita ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa za mambo ya vita na Geneva Convention agreements.

Hamas wameteka raia wakiwemo watanzania wenzetu na kuwachukua mateka na kuwafanya human shield yao na tool of negotiation na Israel.

Hii kitu ni unyama na uvunjaji haki za binadamu raia tena wengine wa nchi nyingine kama hao watanzania wenzetu.
 
Kwenye vita Askari wanaruhusiwa kutekana nyara lakini Askari wa pande zote xinaxopigana hawaruhusiwi kuteka raia wa kawaida na kuwafanya mateka wa kivita.

Hamas kuteka Raia wakiwemo watanzania wenzetu wawili kivita haikubaliki popote kwenye Medani za vita ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa za mambo ya vita na Geneva Convention agreements.

Hamas wameteka raia wakiwemo watanzania wenzetu na kuwachukua mateka na kuwafanya human shield yao na tool of negotiation na Israel.

Hii kitu ni unyama na uvunjaji haki za binadamu raia tena wengine wa nchi nyingine kama hao watanzania wenzetu.

Ni uoga uliopitiliza unaosababisha UGAIDI.
 
Kwenye vita Askari wanaruhusiwa kutekana nyara lakini Askari wa pande zote xinaxopigana hawaruhusiwi kuteka raia wa kawaida na kuwafanya mateka wa kivita.

Hamas kuteka Raia wakiwemo watanzania wenzetu wawili kivita haikubaliki popote kwenye Medani za vita ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa za mambo ya vita na Geneva Convention agreements.

Hamas wameteka raia wakiwemo watanzania wenzetu na kuwachukua mateka na kuwafanya human shield yao na tool of negotiation na Israel.

Hii kitu ni unyama na uvunjaji haki za binadamu raia tena wengine wa nchi nyingine kama hao watanzania wenzetu.
Kuna mipaka ya Israel na Palestine kwa mujibu wa umoja wa mataifa, Israel anaifuata!?..kuifanya Gaza kuwa gereza la wazi ni kufuata sheria za umoja kimataifa!?..kubomoa magereza ya Gaza kila siku kabla ya vurugu hizi na kuua wapelestina akiwemo yule mwandishi,ni kufuata sheria za kimataifa!?..kukamata na kuwafunga wapelestina kwenye magereza ya Israel ni kufuata sheria?!..walowezi wa kiisrael kuanzisha makazi kwenye maeneo ya wapelestina kinyume na jumuiya ya kimataifa na kuwawinda wapelestina ni kufuata sheria za kimataifa!?
 
Kwenye vita Askari wanaruhusiwa kutekana nyara lakini Askari wa pande zote xinaxopigana hawaruhusiwi kuteka raia wa kawaida na kuwafanya mateka wa kivita.

Hamas kuteka Raia wakiwemo watanzania wenzetu wawili kivita haikubaliki popote kwenye Medani za vita ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa za mambo ya vita na Geneva Convention agreements.

Hamas wameteka raia wakiwemo watanzania wenzetu na kuwachukua mateka na kuwafanya human shield yao na tool of negotiation na Israel.

Hii kitu ni unyama na uvunjaji haki za binadamu raia tena wengine wa nchi nyingine kama hao watanzania wenzetu.
Hamas siyo jeshi bali ni wanamgambo wasioruhusiwa hata kuwa na kifaru kimoJa!.Vp,hizo sheria za vita ziwahusu?.
 
Watanzania wenzetu wameenda kusoma kwanawachukua mateka halafu unakuta misikitini hata hawaongelei watanzania wenzetu waachiwe na Hamas inauma sana

Somalia wwaislamu watupu wanauana huwezi sikia Hamas au waislamu wa misikitini Tanzania wakitoa tamko kulaani hizo vita


Sudan kaskazini waislamu watupu wanauana kule huwezi i sikia Hamas au waislamu wa Tanzania misikitini wakilaani hayo mauaji yanaendelea

Congo wanauana hakuna Tamko la Hamas,Palestina wala waislamu misikitini Tanzania

Dafur waislamu weusi watupu wanabomolewa sana na waislamu waarabu kundi la janjaweed husikii Hamas au Palestina au misikiti ya Tanzania kupiga yowe kulaani hizo vita

Lakini hamas wakiguswa tu na Israel misikiti ya Tanzania vipaza sauti vyote ohh tuko pamoja na wapalestina tena wanaongea kwa hisia kali hivi waislamu wa Tanzania wanerogwa na Palestina au? Misiba ya waafrika iwe Somalia, Dafur ,Sudan nk hawashiriki hata kutoa tamko tu misikitini lakini kwao wakiguswa misikiti ypte Tanzania yowe Palestina, Palestina

Waislamu wa Tanzania wajitathmini kuhusu sera zao za Palestina kama ziko sawa

Misiba gani ya kulia upande mmoja tu ukifiwa waafrika tukifiwa wanakaa kimywa huoni misikiti ya Palestina ikitangaza tatixo la Darfur sudani kaskazini,Congo ,na kuongelea watanzania wenzetu waliotekwa nk

Uhai wa waafrika hauna maana kwa wapalestina na mashehe wa misikiti ya Tanzania sababu hawatoi tamko hata siku.moja misikitini
 
Ni uoga uliopitiliza unaosababisha UGAIDI.
Unapoingia ulingoni kupambana na mtu aliyefungwa mikono na miguu,akikung'ata utasema katumia njia hisiyofaa?.
Hamas siyo jeshi kamili na hawaruhusiwi hata kuwa na kifaru kimoja achilia mbali kuwa na ndege vita.Wakati huo wao ndiyo wategemewa wa wanyonge(Wapalestina) pamoja na kufungwa kamba mikono na miguu,unawezaje kuwaona waoga wanapotumia meno kumng'ata adui?.
 
Watanzania wenzetu wameenda kusoma kwanawachukua mateka halafu unakuta misikitini hata hawaongelei watanzania wenzetu waachiwe na Hamas inauma sana

Somalia wwaislamu watupu wanauana huwezi sikia Hamas au waislamu wa misikitini Tanzania wakitoa tamko kulaani hizo vita


Sudan kaskazini waislamu watupu wanauana kule huwezi i sikia Hamas au waislamu wa Tanzania misikitini wakilaani hayo mauaji yanaendelea

Congo wanauana hakuna Tamko la Hamas,Palestina wala waislamu misikitini Tanzania

Dafur waislamu weusi watupu wanabomolewa sana na waislamu waarabu kundi la janjaweed husikii Hamas au Palestina au misikiti ya Tanzania kupiga yowe kulaani hizo vita

Lakini hamas wakiguswa tu na Israel misikiti ya Tanzania vipaza sauti vyote ohh tuko pamoja na wapalestina tena wanaongea kwa hisia kali hivi waislamu wa Tanzania wanerogwa na Palestina au? Misiba ya waafrika iwe Somalia, Dafur ,Sudan nk hawashiriki hata kutoa tamko tu misikitini lakini kwao wakiguswa misikiti ypte Tanzania yowe Palestina, Palestina

Waislamu wa Tanzania wajitathmini kuhusu sera zao za Palestina kama ziko sawa

Misiba gani ya kulia upande mmoja tu ukifiwa waafrika tukifiwa wanakaa kimywa huoni misikiti ya Palestina ikitangaza tatixo la Darfur sudani kaskazini,Congo ,na kuongelea watanzania wenzetu waliotekwa nk

Uhai wa waafrika hauna maana kwa wapalestina na mashehe wa misikiti ya Tanzania sababu hawatoi tamko hata siku.moja misikitini
Hivi hii sifa ya u-great thinker huwa tunaitendea haki kweli?.

 
Kwenye vita Askari wanaruhusiwa kutekana nyara lakini Askari wa pande zote xinaxopigana hawaruhusiwi kuteka raia wa kawaida na kuwafanya mateka wa kivita.

Hamas kuteka Raia wakiwemo watanzania wenzetu wawili kivita haikubaliki popote kwenye Medani za vita ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa za mambo ya vita na Geneva Convention agreements.

Hamas wameteka raia wakiwemo watanzania wenzetu na kuwachukua mateka na kuwafanya human shield yao na tool of negotiation na Israel.

Hii kitu ni unyama na uvunjaji haki za binadamu raia tena wengine wa nchi nyingine kama hao watanzania wenzetu.

US President Joe Biden has revealed plans to expel Uganda, Gabon, Niger and the Central African Republic (CAR) from a special US-Africa trade programme.
The countries were either involved in "gross violations" of human rights or not making progress towards democratic rule, the president said.
The US introduced the African Growth and Opportunity Act (Agoa) in 2000.
It gives eligible sub-Saharan African countries duty-free access to the US for more than 1,800 products.
President Biden said that Niger and Gabon - both of which are currently under military rule following coups this year - are ineligible for Agoa because they "have not established, or are not making continual progress toward establishing the protection of political pluralism and the rule of law".
He also said that the removal of the CAR and Uganda from the programme was due to "gross violations of internationally recognised human rights" by their governments.
In May, the US government had said it was considering removing Uganda from Agoa and introducing sanctions on the country after it passed a controversial anti-homosexuality law.
The law, which imposes a death penalty on people found guilty of engaging in certain same-sex acts, has faced global criticism.
"Despite intensive engagement between the United States and the Central African Republic, Gabon, Niger, and Uganda, these countries have failed to address United States concerns about their non-compliance with the Agoa eligibility criteria," President Biden said on Monday, in a letter addressed to the speaker of the US House of Representatives.
The four countries are yet to react to the announcement, which comes just before South Africa is due to host the 20th Agoa forum from Thursday this week.
Their expulsion from Agoa is set to take effect from the start of next year and is likely to impact their economies, as Agoa has been credited with promoting exports, economic growth and job creation among participating countries.
CAR is likely to be the least impacted by the Agoa expulsion, as it only recorded $881,000 (£722,300) in US exports in 2022, according to US government data.
The country, however, imported goods worth $23m from the US in the same year, creating a massive trade deficit between the two countries.
US data also show that Uganda exported goods worth $174m to the US last year, while Gabon and Niger recorded US exports of $220m and $73m respectively in the same period.
Last month, Ugandan President Yoweri Museveni said that several American companies had already stopped importing textiles - which fall under the Agoa trade deal - from Uganda because of the passing of the anti-homosexuality law.
"The homosexuals in the US are interfering with our export of textiles. Some of the orders have been cancelled there," Mr Museveni was quoted as saying by the privately owned Daily Monitor newspaper.
In August, Mr Museveni banned the importation of second-hand clothes, a move thought to target the US, which is a major supplier of the used garments to Uganda and other African countries.
The threat to exclude Niger and Gabon from Agoa is the latest US government action against the two junta-led countries.
The US State Department announced last week that it had suspended most foreign aid to Gabon and would only resume assistance if Gabon's transitional government establishes democratic rule.
In August, US Secretary of State Antony Blinken announced a similar measure against Niger, saying that the US "is pausing certain foreign assistance programs benefitting the government of Niger".
Burkina Faso, Mali and Guinea have all previously been expelled from Agoa after military coups in those countries.
 
Back
Top Bottom