Anae hitaji mashine ya kukamua alizeti,
soya,
karanga zenye maganda,
tung seed,
flax seed,
mbegu za pamba,
palm kernel.
Mashine moja inayoweza kufanya kazi zote izo inaitwa YZYX70, YZYX90,
YZYX10(95), YZYX10-6/8/9.
Kutokana na mabadiliko ya teknologia, tumeona namna ambavyo kwa sasa...
Mashine za kutengeneza mkaa wa taka zinarahisisha sana Maisha ya wajasiriamali mbali mbali.
Piga 0756 591 943. Tukuletee mashine hadi nyumbani.
Tukianza na taka zinazotumika kutengenezea mkaa kwenye izi mashine.
Ni taka kama:
Biomass shells: Coffee husk, olive shells, palm shells, bamboo...
Tukianza kwa kufahamu viwanda jinsi vilivyo chambuliwa.
Tuna manufacturing industries (viwanda vikubwa vya utengezaji).
Retail industries (viwanda vidogo vya reja reja ).
Alafu tuna viwanda vingine ambavyo havipo kwenye makundi hayo mawili( rest of the world industries)
Kwa jina la kiswahili...
Umeshawahi kutafuta kwa mda mrefu kwa mfano mashine ya kuosha magari au mashine za kukausha dagaa. Na mashine zingine zinazohitajika sana kwa mfano mashine ya kukamua alizeti na ile ya kukamua juisi za miwa na ukakosa?
Hauitaji kujisumbua kutafuta, tupigie na utuagize tukuletee hadi mlangoni...
Wewe kama mwanafunzi wa chuo, una nafasi nzuri ya kufanya biashara. Kutokana na wingi wa watu waliokuzunguka na kuwa na uwezo wa kujua mahitaji yao. Kwanza inakubidi kutambua mahitaji ya kila siku ya wanafunzi wenzako. Nikimaanisha kuwa mara nyingi mahitaji yako ya kilasiku, ndio mahitaji ya...
Ttcl kwa arusha ipo vizuri kama yote. Lakini kikubwa wajitahidi kwenye swala la kutupatia waya liwe bure. watuachie tu tununue router.
Na kama watanihakikishia kuwa kupata waya wao ni bure mi najiunga mazima.
kingine ni kwamba, watuwekee bei nzuri ya radio transmission internet ili watanzania...
Those are customer testimonials: If you will become one of our customer, we will give you the chance to talk about our services.
We are legit and if you will be interested in our products you better call or visit us for more information.
Jiunge mapema na group letu la telegram: Upate taarifa mbali mbali na uone huduma za kisasa zinazotolewa kwa wajasiriamali na wafanyabiashara: Jiunge sasa
kwa hawa wanaitwa AA Tanzania China na Unaagiza kwa kupitia ofisini na sio direct online. Ukiwapigia simu kama upo tayari kufanya nao biashara watakupa mwongozo kamili.
Haya ni maneno kutoka kwa moja ya wateja wetu: Wa kampuni ya AA Tanch Trading Company.
Kwanza nianze kwa kusema mimi mwenyewe pia, nlikua moja ya watu wanaotafuta kampuni nzuri na ya kuaminika. Ya kuagiza vifaa mbali mbali kutoka china. Lakini baada ya kusikia kampuni hii ya AA Tanch Trading...
Karibuni sana: na Kila siku tunakupa elimu mpya Blogs - AA TANCH TRADING kwa kupitia tovuti yetu. Ukipenda pia ku Agiza bidhaa kutoka china . Tupo Arusha Makao Mapya au Tupigie kwa namba 0756 591 943.Kwa maswali na majibu ya huduma zetu.
Au jiunge kwenye group yetu ya telegram kuwa wa kwanza...
Kuanza biashara kunahitaji maandalizi. Nikimaanisha unahitaji kuwa na maarifa flani tofauti kulinganisha na wale uliowakuta ili ata nao pia wajifunze kutoka kwako. Ikiwezekana na wewe uendelee kujifunza kutoka kwao. Kwenye kipengele hiki tutaenda kuangalia namna ya kufungua biashara ukiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.