Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais Samia atakuwa na ziara mkoani mwanza mwishoni mwa mwezi January 2024. Namshauri atoe maelekezo kwamba yaongezwe maeneo ya hifadhi ya mazalia ya samaki ambayo yatakuwa na kinga ya kisheria...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Nimeona akina Yoda, Tindo, Mshana Jr nk wanalalamikia msafara wa bodaboda zinazomsindikiza Komredi Makonda kwenye mikutano yake ya Chama Niwashauri tu wangeanza kuhoji Matumizi mabaya ya ruzuku...
8 Reactions
67 Replies
3K Views
Nimeshangaa sana leo. Hapa Arusha kuna ujio wa Mwenezi wa CCM Taifa bwana Makonda. Cha kushangaza barabara zimefungwa. Watu wanalazimishwa kufunga biashara zao ati waka msikilize Makonda...
1 Reactions
1 Replies
397 Views
Siku chache tangu aliyekuwa Waziri wa Utalii na Mambo ya kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Simai Mohammed Saidi kujiuzulu nafasi hiyo leo, Jumamosi Januari 27.2024 Rais wa Zanzibar na...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Siasa michezo au mchezo duty? Bandugu ba Jamii forum nimeanza kurecover kidogo kidogo baada ya kifo cha mwanangu maana imefika pahala nalazimika kuamini yakuwa kweli Binti yangu kipenzi sipo nae...
3 Reactions
8 Replies
963 Views
Tuliahidiwa kuwa mtambo namba utawashwa kati ya January mwishoni na February mwanzoni. Nawakubusha tu Tanesco kuwa muda wa kutimiza ahadi hii nayo ambayo ni kama ahadi ya 12 hivi kuhusiana na...
6 Reactions
6 Replies
477 Views
Katika Historia yetu sioni mawaziri wa fedha na wa viwanda na biashara waliofanya makubwa sana kuibadilisha nchi hii. Wahindi wamekuwa wanafanya vizuri sana huko duniani hasa katika sekta ya...
17 Reactions
115 Replies
4K Views
Wanabodi, Hii ni Nipashe Jumapili ya leo 19 Nov. 2023. Kama kawa, leo nimepata fursa tena kuwaletea makala elimishi ya uchambuzi wangu wa muswada huu wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa mkoani singida Makonda Januari 25, 2024 amesema kuwa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuna...
4 Reactions
71 Replies
6K Views
Sikiliza Dakika 6 za Paul Makonda akiongea na Bashe kuhusu sukari kwenye video hapa Chini: Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amewahakikishia Watanzania kuwa hali ya upatikanaji wa bei ya sukari...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna andiko linazunguka hapa jukwaani likisema Makonda anatumia ziara zake kumjenga MAKONDA AJAE NA SIO CCM Swali makondoka anajengeka? Nani hasiyemjua Bashi dhidi malove davi yake juu ya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameiweka katika uangalizi Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Lindi (Luwasa) kwa kipindi cha mwezi mmoja na kuahidi kuleta timu itakayowasaidia kuandaa...
0 Reactions
0 Replies
402 Views
Tundu Antipas Lissu amesema Maandamano ya jana ni mwanzo tu na hawatakubali tena kuburuzwa na kulaghaiwa na serikali Lissu amesema hakuna alitewahurumia na kuwaruhusu kuandamana kwani haki ya...
13 Reactions
58 Replies
5K Views
Kwenye Ujumbe huo, Emeltha alimpa Rais Samia siku 4 kutimiza kusudi la Mungu la Kinabii la kurudisha mali za wavuvi zilizopokonywa na Serikali, kuwatoa jela wavuvi waliopewa kesi za uwongo...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Ifike mahali tutenganishe siasa na kazi, nimechukizwa sana na Hawa watu wanaojifanya ni viongozi wa Chama cha kijani kuingilia majukumu ya watumishi. Tena nitoe Kongole la nguvu kwa huyu daktari...
12 Reactions
117 Replies
15K Views
Hii nchi haitawaliwi Kijeshi bali inatawaliwa kidemokrasia kwa maana hiyo Chama kilichoshinda Uchaguzi Ndio chenye dhamana ya kuunda serikali na kuisimamia Katibu wa Itikadi na Uenezi ndiye...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM, Paul Makonda akiwa Himo Mkoani Kilimanjaro katika ziara yake kutembelea mikoa 20 nchini kufuatilia utekelezaji Ilani ya CCM amesema. "Wenzetu wa...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Hamad Masoud Hamad katibu mkuu wa CUF asema hakuna haja ya kuweka mbinyo miswada ya sheria ya uchaguzi na sheria ya Tume ya Uchaguzi zibadilishwe kupitia maandamano ya amani yaliyoitishwa na...
1 Reactions
45 Replies
3K Views
Walimu hawajui kipaumbele vyao, full kujipendekeza! Hii Kada sometimes wanajidhalilisha Sana aidha kwa kujua au kwa kutokujua. Inawezakana vipi mchangishane kumchukulia Form Mgombea ambaye hata...
16 Reactions
76 Replies
4K Views
Back
Top Bottom