Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,521
- 86,076
Walimu hawajui kipaumbele vyao, full kujipendekeza! Hii Kada sometimes wanajidhalilisha Sana aidha kwa kujua au kwa kutokujua. Inawezakana vipi mchangishane kumchukulia Form Mgombea ambaye hata muda WA uchaguzi haujafika na mkashindwa kuchangishana mkawanunulia Viti Walimu wenzenu?
Baadhi ya Walimu mna laana wallah hio sio kawaida kabisa.
Baadhi ya Walimu mna laana wallah hio sio kawaida kabisa.